Watoto wa Mengi wamburuza mahakamani Jacqueline Mengi "Klynn"

Yaani anachokifanya jack ni uchawi
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakazia
Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji16][emoji16]aisee mbona unaongea pumba kiasi hicho... hivi unajua kuwa hata chanzo cha EATV lilikuwa ni wazo la mtoto wa mengi...wakati huo huyo gold digger wako alikuwa bado bado ananuka vumbi...

Yaani watu watafute mali waitunze..then yeye aje awapore kirahisi tu.... Huo ujinga sijawahi kuubariki.. na shauri wampoteze tu kabisa..ili iwe fundisho kwa malaya wenye tabia kama zake.... Aisee zile mali sio nengi pekee aliye zifikisha pale..hata wanae wakubwa walivuja jasho kuhakikisha kwamba kampuni zinaendelea kufanya vyema... so anacho kitafuta huyo kahaba mwenzenu atakipata... Yaani kama huo ndio wosia aliouacha marehemu nashawishika kuamini kwamba marehemu kifo chake kilikuwa na utata
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mutie hakufaidi utoto wake baba yake alikuwa anamfungia ndani ili wajaze wino peni za Bic.
Watoto wana mchango mkubwa sana aiseee.
Yeye Jack hakuwa na akili.
Alitakiwa mzee akiwa hai ambembeleze apewe miradi ya peke yake na wanae iwasaidie kule wasiguse, lakini bogus yule a kakazana kuspend na mzee na wapambe wake wakina Luca Na Nancy.
Hivi mpaka mzee amefariki Jack ana mradi gani mkubwa? Anahangaika tu mara shule mara Furniture mara maua.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Akili hiyo hata itoa wapi,wakati mawazo yake yy yalikuwa ktk udangaji,ili ajipigie hela za mzee.Sometimes inabidi hata yy mwenyewe aone aibu ,ila kwa kuwa ana tamaa basi tamaa yale inazidi mpaka kuifunika aibu yake.

Hata akipewa kampuni za Mengi nazo zitakufa au atazulumiwa sababu hana analo lijua ktk biashara kwani biashara anayo ijua yy ni kudanga tu na kutembeza K kwa matajiri.
 
Lol..! Wishful thinking na matusi juu, don't panic kwenye mambo yasiyo na impact yoyote kwenye maisha yetu.
Kila mtu yuko entitled na maoni yake.
Hao watoto wa marehemu kama ni kweli hawajaandikwa kwenye urithi wafunge mkanda watafute vya kwao,narudia na kusisitiza 'kama ni kweli hawajaandikwa kwenye urithi'.
NB;Naunga mkono uchunguzi 'independent' wa kifo cha marehemu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 


Ati nini?


Sent using Jamii Forums mobile app
 


Hivi kwa nini hakuna uchunguzi mpaka sasa , I am 100% sure huyu dem kausika
 
Incase akishinda,trust me,atakufa !
Sina hamu na wachaga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unafikiri wanamuua kikawaida? Hiyo ni kimazingara trust me
Anatupiwa hata liugonjwa tu anahangaika nalo mpk anakufa
IPP ndio mwisho wake. Huyu Mama hataishi Tz hivyo itabidi auze vitu asepe.
Akiuawa watuhumiwa wa kwanza ni Watoto na ndugu za Mengi hivyo wanakuwa wwmekosa wote

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo ni very ignorant way thinking, kuna vipengele vya sheria vinavyo wapa haki wahusika ya ku contest the will especially cama hakukuwa na consideration. Jisomeshe kidogo sheria huwezi jua ukawa next😎
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…