hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,678
- 63,304
Yaani anachokifanya jack ni uchawi
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani kuna kiasi fulani cha pesa ambacho binadamu huwa kinamtosheleza?
Mkuu mali ni za baba yao katafuta na mama yao na wao wanamchango wao, ni haki yao kabisa.
Yaani kajitu kaingilie miaka 4 tu akombe kila kitu watoto walioishi na mzee zaidi ya miaka 40 wakose.
Hii haiko sawa kabisa.
Sent using Jamii Forums mobile app