Mbona mzee katoa hisa zake tu kwa K-lyn na watoto wake. Walioenda mahakamani bado wamebaki na 70% na iligawanywa mapema sana.So sijaelewa argument humu ni nini? kwama walitaka na hizo 30% wapate mgao tena na washakuwa watu wazima? Hao watoto wadogo watalelewaje?
Kwa mwendo huo haimake SENSE lazima madogo wapate sharehujakosea mkuu Sun of a beach.
Kumbee ndio ulikofikia hukoEATV, East Africa radio alianzisha marehemu MUTIE Mengi, alipofariki Regina ndo kaisimamia mpaka sasa, kwa hiyo Regina ana nguvu zake humo kwenye mali, i stand with Regina na Abdiel Mengi([emoji23][emoji23][emoji23] kwanza Abdiel hajaoa siwezi jua labda atanioa mie [emoji14][emoji14][emoji14])
Mahakama Kuna watu wenye akili.gadeeeeeeem,ishakula kwao,sasa jamaa kashaandika wosia na kasema wakishinda kesi walipwe buku ha ha haaaaaa,k lyn ni nyoko
nielimishe,wana uwezo wa kupindua wosia alioandika marehemu???itathibitishwaje kuwa aliandika akiwa kachanganyikiwa wakati now hayupo???kisheria ikoje???Mahakama Kuna watu wenye akili.
Kwani kitabu au vitabu vikubwa duniani huwa vinaandikwa kwa mwaka mmoja au miezi?Itakuwa wanataka kutuamisha kuwa hata kitabu alichoandika amekiandika wakati akiwa taahira(mwendawazimu/mentally insane).
Mjukuu aliachwa hai huyo?Ni kweli K.Lyn ana wakati mgumu kuthibitisha uhalali WA wosia huo Mahakamani.
Lakini MTU anaweza akamwachia urithi wake wote wa Mali KWA MTU yeyote yule anayempenda, hata kama siyo ndugu yake, mwenye mali ana haki ya kufanya hivyo. K.Lyn kilichomgharimu hapo ni kutokana na "shule ndogo kichwani", NA ushauri mbovu alioupata kutoka KWA washauri wake.
Kabla Mzee Mengi hajafariki dunia, yeye K.Lyn angemshawishi mzee ili aandike wosia ambao ni lazima " ungeshuhudiwa NA Mahakama ", NA wala siyo Wakili au kamishina WA viapo WA kawaida kama ilivyofanyika. Angemshawishi KWA nguvu zote ili akubali kuacha wosia ambao ni lazima " Ushuhudiwe NA Mahakama", tena angechagua Mahakama ya juu, kama vile Mahakama ya Wlaya, mkoa, au Mahakama KUU, NA sana sana ingekuwa Mahakama KUU ndio ingependeza zaidi.
Endapo kama Mzee Mengi angeacha wosia ambao umeshuhudiwa NA Mahakama, vurugu zote hizi zisingetokea hata kidogo.
Kuna watu ambao Mimi binafsi nawafahamu vizuri kabisa waliwahi kukumbana NA mkasa na kesi kama hii.Baba yao mzazi aliacha wosia NA kuwanyima Mali zake zote kabisa watoto wake wa kuwazaa wapatao watano, badala yake alimkabidhi urithi wake wote KWA mjukuu wake mmoja tu ambaye alikuwa anamjali. Mzee huyo alipofariki dunia, ulizuka ugomvi mkubwa sana sana WA kugombea urithi kati ya watoto wa marehemu NA mjukuu wake aliyeachiwa urithi.Kesi ilikuwa nzito ilienda mpaka Mahakama KUU, kwa kukatiwa rufaa. Mwisho WA siku mwaka 2007 mjukuu alishinda Kesi hiyo, NA hatimaye Mali zote za urithi zilirejeshwa na kukabidhiwa KWA mjukuu aliyeachiwa urithi.
Nakumbuka watoto wa mmarehemu walinyang'anywa kila kitu, mashamba, nyumba tatu, magari, etc.Tena waliondolewa kwenye nyumba za urithi za marehemu baba yao mzazi kWA nguvu NA Jeshi LA Polisi baada ya mjukuu kushinda rufaa yake ya Kesi Mahakama KUU.
Kitu kilichomuokoa mjukuu kushinda Kesi ni kwamba wosia WA mgawo WA mali za urithi/mirathi uliidhinishwa NA Mahakama, Mzee mwenyewe binafsi kabla hajafa alienda kuandika wosia Mahakamani, na kisha Mahakama iliidhinisha Wosia huo, Baba yao aliamua kuwafunza adabu watoto KWA sababu watoto wake walikuwa NA viburi , walikuwa wanamdharau Mzee wao. Ktk kuwakomesha watoto wake wenye viburi, baba yao mzazi aliamua kuwanyima mirathi, wote waliambulia patupu. Mjukuu alikabidhiwa Mali zote za marehemu.
Watoto wana shea zote za marehemu mama yao kwny makampuni yote. Pia wakati mengi anatengana na marehemu mkewe aliwagawia kina regina mali, kila mmoja alipewa nyumba na biashara aliyotaka kufanya (wakati huo) na alipokufa mama yao zile hisa zake zote wakarithishwa watoto (kina regina) sema bas tu binadam haturidhikiSIO FAIR HATA KIDOGOOO YAAANI WATOTO WA MKE WA KWANZA WANAWEKWA KANDOOOO?????
Watoto wana shea zote za marehemu mama yao kwny makampuni yote. Pia wakati mengi anatengana na marehemu mkewe aliwagawia kina regina mali, kila mmoja alipewa nyumba na biashara aliyotaka kufanya (wakati huo) na alipokufa mama yao zile hisa zake zote wakarithishwa watoto (kina regina) sema bas tu binadam haturidhiki
Lazima watambue wale wadogo zao bado wadogo wana safar ndefu kufika kama wao hasa ukizingatia maisha waliyokulia. Leo hii wamnyanganye jack hzo mali, watalea wale wadogo zao? Waache ubinafsi
Kile kitabu alikipigia promo tokea anaanza kukiandika na kuanzia ule muda wenzetu wadai alishakuwa taahira, okay let's say alikianza kabla bado itakuwa inamaana alikihitimisha na kuki'launch akiwa ameshawehuka. I bet that's your point, hivyo chizi huyo ndiye aliyehitimisha na ku'launch kitabu(amazingly good and sensible book) na hali kadhalika ndiye aliyeandika will(probably good will as well).Kwani kitabu au vitabu vikubwa duniani huwa vinaandikwa kwa mwaka mmoja au miezi?
K'lyn was legally married, hiyo term mchepuko itafutie inapohusika.Umecomment pumba , kwa kua baba yako alikusomesha , umekua akakupa Zawadi ya nyumba na gari una maanisha urithi wake akachukue mchepuko kwa kua alikupa nyumba na akakusomesha na mkamsaidia kuendesha family business?
Alifanyaje kwani?Yulee dada ni mafia sio wakuonea huruma maana Yeye hana chembe yoyote ya huruma.
K'lyn was legally married, hiyo term mchepuko itafutie inapohusika.
Pale mtu pumba anapoona mwenzie kaandika pumba, you're a psych case.
Nadhani walifanya hivyo na ndio maana kabla ya huyu alikuwepo madame Rita Marley nadhani story yao ipoToo late. Watoto wa Mengi walijisahau kumshauri baba yao kwamba asioe hao mamiss na bongo movie. Tena mm huyo mzee angekua baba yangu ningemtafutia zigo moja la maana lingepewa nyumba gari ili limpoze faza wakati huo nahakikisha mtoto wa uswazi tu asiyewaza ndoa wala show off. Hamna kitu kibaya kama ndoa ya ushahidi kanisani au msikitini endapo ukiwa tajiri.
Zilifungwa au hazikufungwa? au wewe ndiye kiherehere mtambuzi na mhalalisha ndoa?Kuna ndoa mbili za kanisani ? [emoji15][emoji15][emoji15]
Kitabu kile alianza kukiandika muda mrefu sanaaa na nauhakika hujawahi kukisoma.Kile kitabu alikipigia promo tokea anaanza kukiandika na kuanzia ule muda wenzetu wadai alishakuwa taahira, okay let's say alikianza kabla bado itakuwa inamaana alikihitimisha na kuki'launch akiwa ameshawehuka. I bet that's your point, hivyo chizi huyo ndiye aliyehitimisha na ku'launch kitabu(amazingly good and sensible book) na hali kadhalika ndiye aliyeandika will(probably good will as well).
Hahahaha, kamati ya roho mbayaK Lyn wazee wa kasulu,Kibondo na Manyovu wako nyuma yako! Usiogope.
Ulinzi jnao madhubuti..