Watoto wa Mengi wamburuza mahakamani Jacqueline Mengi "Klynn"

Watoto wa Mengi wamburuza mahakamani Jacqueline Mengi "Klynn"

hiyo haiwezi kuwa hoja yaan huwezi shinda kesi kwa kusema tu 2015-2019 ni muda mchache hivyo asipewe urithi, utashindwa kesi vibaya mnoo!
Na utaingizwa kwenye list ya tetezi za kipumbavu kama zile ambazo huwa zinatolewa na mawakili wa serikali
 
Kumbe gazeti la shigongo

Hata sijaendelea kusoma [emoji28][emoji28][emoji38][emoji38]
 
Mambo ya kawaida tu ukiwa na pesa. Unazitafuta mwenyewe wanaotaka kuzitumia ni ndugu na wapambe.
Mimi nikajua sisi wachaga ni moja ya makabila yaliyostaarabika. Kumbe na sisi tuna uswahili wa kipumbavu uliotukuka wa kugombania mali za marehemu kama jamii nyinyi za Afrika.
 
Itakua ni buku ya soda ya kujipongeza kwa kushinda kesi,
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Yani kirahisi rahisi mali itoke Machame hadi Manyovu. Hicho kijane kwanza kilimchakaza mzee hadi akafa. Hapa jambo rahisi kuliko yote ni kuondoa mtu.
Sio kwa mauno yale ya nyimbo zake
 
Mimi nafikiri kwenye suala la mirathi mwenye mali anaweza kumpa mtu yeyote ampendaye hata akiwa ametoka nje ya familia. Kitu cha msingi ni kuangalia km huo wosia ni genuine!
 
Back
Top Bottom