DiasporaUSA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 23,382
- 29,639
Na utaingizwa kwenye list ya tetezi za kipumbavu kama zile ambazo huwa zinatolewa na mawakili wa serikalihiyo haiwezi kuwa hoja yaan huwezi shinda kesi kwa kusema tu 2015-2019 ni muda mchache hivyo asipewe urithi, utashindwa kesi vibaya mnoo!