Jendahyeka 01
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 212
- 166
Hapo kuna dalili za mtu kupotezwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona unafukua makaburi mkuu!
Au sioHii ndio shida ya wazee kupenda dogo dogo lazima ufe kifo cha mapema na lazima utacha migogoro nyuma hiyo ndiyo principal
Hakika mifano ninayo ya babu yangu, na baba zangu wakubwa wawili.
Tupe hiyo mifano.Hakika mifano ninayo ya babu yangu, na baba zangu wakubwa wawili.
Babu alimeacha bibi na watoto sita akaoa kigori akazaa nae watoto kadhaa akawapa uridhi wa mashamba yenye rutuba kilichotokea alikufa babu, akafuata kigori chake na watoto wake watatu kwa mfululizo, watoto waliobaki wanagombea ardhi na hawana mausiano baina yao ni ugomvi kila siku.
Aiseee hicho kisangaBabu alimeacha bibi na watoto sita akaoa kigori akazaa nae watoto kadhaa akawapa uridhi wa mashamba yenye rutuba kilichotokea alikufa babu, akafuata kigori chake na watoto wake watatu kwa mfululizo, watoto waliobaki wanagombea ardhi na hawana mausiano baina yao ni ugomvi kila siku.
Upande wa baba yangu walipambana na kisoma vema wamekuea na mafanikio lakini baba zangu wakubwa 2 wao walifuata nyendo za babu matokeo yake familia zao wanamafarakano na ugomvi isio isha.
Lazima damu ya mtu iondoke na Bilionea.
Nguvu zenye giza zitumike pia siyo sheria tu.
Huu uhuni wa Jaquelin unaungwa mkono na wapumbavu tu.
Ila yawezekana kweli mengi alikuwa kachizi maana alikuwa namipango mingi sana. Mara kiwanda chasimu hatujakaa Sawa mara kiwanda chamagari aiseee
Sheria ipo wazi kabisa kwamba mtoa wosia anatakiw awe na afya njema,asishurutishwe wala kuwa kwenye mikwara
We Ntuyabaliwe,kuolewa juzi tu unataka kupira utajiri wote?
Super gold digger!
Nahisi hivyo piaKama imekuwa hv,Basi kifo cha Mengi kitakuwa na utata pia.
EATV, East Africa radio alianzisha marehemu MUTIE Mengi, alipofariki Regina ndo kaisimamia mpaka sasa, kwa hiyo Regina ana nguvu zake humo kwenye mali, i stand with Regina na Abdiel Mengi([emoji23][emoji23][emoji23] kwanza Abdiel hajaoa siwezi jua labda atanioa mie [emoji14][emoji14][emoji14])