GT,
Hivi kuna yule mdogo wake na baharia Malima, alipataga meli akaenda Italy, halafu akarudi na throwback ya Lakers tu. Tukaanza kumwita baharia "karudi bure." Hivi mshikaji jina lake nani tena?
Halafu kuna hawa mabaharia sijui wako wapi siku hizi:
1) Hamidu Machupa
2) Msafiri (alikuwa anakaa kwa Nyerere) - huyu mshikaji alipata meli mara moja tu, lakini alivyorudi hizo fujo zake....duh ilikuwa balaa.
3) Hivi na Malima mwenyewe yuko wapi siku hizi?
Halafu kuna wale CD wa kwanza kwanza kabisa bongo, tulikuwa tunawaita magoti sijui wako wapi siku hizi (kama bado wako hai):
1) Kuna yule migoko (jina nimesahau)
2) Aunt Mele
3) Kuna yule bubu
wee msen£$%^ weee (jocking man) duh1 wee umewajuaje hawa?
hawa jamaa umewajuaje?
duhh! noma kichizi
sasa ngoja nikupe mkanda mzima ulivyokuwa
MALIMA aka mzee COSBY au COZBY alikuwa ni mtoto wa magomeni mapipa kuleee nyuma ya ofisi za wilaya na alikuwa na mshikaji wake anaitwa COASTER au COSTA
Hawa jamaa walikwenda ITALI enzi zile MARADONA ndio anachezea NAPOLI na walipobiga bao wakatuma pesa kwa mjomba wao awanunulie nyumba na ndio ile nyumba waliokuwa wamepangisha wale Malaya
Sasa 1989 alima aliporudi mambo safi na ndio alirudi na lile Guruwe Jeusi lilikuwa na mastika kibao ya BOB MARLEY na wakawa poa sasa ikaja tripu ya pili ambayo ilidibi COSTA urudi shamba dogo ndipo noma likatokea kwa sababu waliibiwa New Delhi tena kwenye maskani ya watoto wa Kibongo - Pahar Ganj, pale Green Guest House...kama kuna watu wana nyeti zaidi watakupeni mkanda mzima...hao itakuwa jamaa zake FMES hao akija mwenyewe atakuambieni
Anyway yule anko alipoona kuwa jamaa hawana hati ndipo akawachenjia na hapo ndipo wataalam wa International Relations wanakuambia wa THE "WATERSHED MOMENT" na wakaanza kulaumiana na eventually haata urafiki wenyewe ukaisha
By the way nasikia yule ANKO alishavuta sijui kama kweli
Hapo mzee COSBY akaamua kurudi tena shamba na kule kama kawaida mzigo inabidi uutesti mwenywe kama huwezi basi unamkodisha testa ...sasa kama ndio ushaondoka bongo kiguu juu sasa kuna cha kumpa pesa tesa? eventually kaanza kuutesi mwenyewe na mwishowe naye akawa JUNKI
Wakati huo tena kule Migo migo wanawake wa kiswahili wanampakazia COSTA watoto left and right na nasikia naye aliamaua kutiimua...si unajua tena sie waswahili...yakitushinda basi ndege ndio rafiki yetu mkubwa na mara ya mwisho ilikuwa about 10 years ago niliskia alionekana BURUDA
ile nyumba sijui iliishia wapi
Of couse naikumbuka sana ile fulana na jezi ya JOHNSON ya LAKERS na hiii inanipelekea kumzungumzia SUBJECT no 2 kwenye hiyo post yako bwana MSAFIRI
MSAFIRI alikuwa mweupe hivi na mfupi na mpenzi wa mpira ile kinoma....nitakuwa nakuongopea sijui aliishia wapi lakini ninachokua alikuwa na washikaji zake wanauza mitumba hivyo hata zile spea si zipte zilikuwa zinatoka viwanja na kwa sababu deri la mitumba likifunguliwa yeye huwa yupo so kila siku yeye ni mtu wa kupendeza tuu sijui kama aliacha tabua ya kuninginiza kitambaa matakoni kwenye jeans
HAMIDU MACHUA aka DALAMINI
Hamidu ndio alishalowea kule Cape town na mshikaji wake HIMIDI alipopigwa palanja UK aliamua kumjoin...inshort ninavyojua mimi habri za mwisho za MACHUPA ni kua alifungua BED AND BREAKFAST kwenye mji mmoja unajiwa CARTHAGENA ...eti target ilikuwa ni wale wanaofanya ECO-TOURISM wakati mwenyewe nadhani unajua whats up?
Once again dont be decievd Machupa ni mtoto wa TEMEKE kama wengine na kwao ni TABORA in short ni MNYAMWEZI ambaye kalelewa na wazaramo na sasa hivi ni raia wa RSA! inshort hatembei na ile kadi ya CCM
Cant knock the brothers Hustle
MALAYA:
Uliowataja yule migoko alikuwa anaitwa PAMELA alipata bwana wa KIDHUNGU na alivuta huu mwaka wa pili
Anty Mele naye alivuta
Bubu nasikia alikwenda Ujerumani na mDHUNGU wake
and having said that Unakumbuka lile booty la DINA anty yake BANDORA?