lazima nikusalute MWK,at a stroke umetutoa kwenye mada.kumbuka kuna thread ya arsenal na chelsea,mchango wako unaitajika huko pia
Ndio mkome na ushabiki wa kimjini mjini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
lazima nikusalute MWK,at a stroke umetutoa kwenye mada.kumbuka kuna thread ya arsenal na chelsea,mchango wako unaitajika huko pia
Looh......!Ndio mkome na ushabiki wa kimjini mjini.
Looh......!
Hahahahahahaaa...unajua kuna watu wa aina mbili humu foramuni. Kuna wale wenye majina mengi ambao wakiingia kwa majina yao mbadala hawapendi wajulikane wao ni kina nani. Na kuna wale wenye majina zaidi ya moja ambao kama ikitokea jina lao moja kufungiwa kwa sababu ya utovu wa nidhamu huingia kwa jina mbadala na hawajali kama wakijulikana. Baadhi wa kwenye kundi la kwanza wana "characteristic" moja ambayo nimeiona-hawajui kubadili style na tone ya uandishi wao. Hata uchaguzi wa maneno watumiayo katika mabandiko yao hupelekea kutoa clues za wao ni kina nani. Is there anyone out there who is still getting fooled by that JF female dog?
We dare talk openly,
Kwa hiyo unasema MWK ndiye huyo huyo Mama?
We dare talk openly,
Kwa hiyo unasema MWK ndiye huyo huyo Mama?
I didn't name names but if the shoe fits.......
Wait a minute...Pundit is Critic...Lol
Hamwishi speculations, mwashangaza!
Wewe mwanamke....hebu acha kunukuu mabandiko yangu...tafadhali...kabla thread haijafungwa
Hahahahahahaaa...unajua kuna watu wa aina mbili humu foramuni. Kuna wale wenye majina mengi ambao wakiingia kwa majina yao mbadala hawapendi wajulikane wao ni kina nani. Na kuna wale wenye majina zaidi ya moja ambao kama ikitokea jina lao moja kufungiwa kwa sababu ya utovu wa nidhamu huingia kwa jina mbadala na hawajali kama wakijulikana. Baadhi wa kwenye kundi la kwanza wana "characteristic" moja ambayo nimeiona-hawajui kubadili style na tone ya uandishi wao. Hata uchaguzi wa maneno watumiayo katika mabandiko yao hupelekea kutoa clues za wao ni kina nani. Is there anyone out there who is still getting fooled by that JF female dog?
Wakuu vipi Slim aliyekuwa Denmark aliyezaa na Joyce Kalumanga mtoto wa Air-Tanzania, Slim "Michael Jackson" na yeye si alikua msela au?
Nimepata major flashback.
GT huyu slim mnayemzungumzia ndio yule alikuwa na duka la Yankees mitaa ya kariakoo baadaye akalihamishia mtaa wa Nkurumah, alafu plae mtaa Nkurumah kulikuwa na Kibodya Hotel vile vile.
Wakuu vipi Slim aliyekuwa Denmark aliyezaa na Joyce Kalumanga mtoto wa Air-Tanzania, Slim "Michael Jackson" na yeye si alikua msela au?
Mmmmmh Mkuu umenikumbusha mbali sana, Huyu Mkuu Slim sijui yupo wapi sasa,lakini Joyce alifariki .Namkumbuka huyu Jamaa Slim aliwahi kunisaidia sana,nilikutana nae Copenhagen nikiwa mgeni na mambo ya Europe nae alinionyesha njia na kunisaidia mambo mengi.
Hii thread ni ya watoto wa mjini ambao ni members wa JF
Wakuja msihofu sana maana hatutowabagua kama Dar palikuwa ni transit lakini ukweli ni kuwa Dar ina wenyewe na wenyewe ndio sisi na tunajuana
haya nani kati yenu hajamuuzia FILIPINO pale stendi nyuma ya Steak Inn(kabla hajahamia kule relwe) CD na mambo ya electroniki?
By the way huyo FILINO mwenyewe alikuwa ni wa kuja
We dare talk openly,
Kwa hiyo unasema MWK ndiye huyo huyo Mama?
Ukifuatilia vizuri vizuri jinsi michango inavyotolewa kwenye thread na aina respond ,reaction kutoka kwa MKW na Mama unaweza kushawishika kuwa MWK ndiye Mama.
Kama wataalamu wa maandishi wanavyo fikia tamati ya kufananisha mwandiko ,signature na kusema walichafikia tamati basi na mimi naweza kusema kuna uwezekano mkubwa MWK ndiye Mama.Na hii si lazima iwe kweli ,ukweli unabaki palepale.
some sentimental!
Wote Dar mlioko ni Walowezi tu!!!! Wenye Dar asili hapa JF hawapo. Kwa kuwa baba yako au mama yako au uncle aliawhi kuja dar kufanya kazi, biashara, kusoma au ukuli kule bandarini na ukapata bahati ya kuzaliwa hapa Dar halafu unajidai kujiita eti mtoto wa mjini Dar???. Sheet. Huo utoto wenu wa mjini umesaidia nini taifa la Tanzania?? Kwa kujua kwako vijiwe vya chai, chapati na pilao ni kitu tumbo tuu. Leteni issue muhimu hapa. Hatuna njaa hapa. No any entertainment here, I rather call it ni kutaka kuwatukana wengine hapa. Sisi sote ni watanzania na heshima aliyojengeka iheshimiwe. We do not need classes/strata here. Kama unataka strata nenda India na kwingineko. Mods sorry sijawahi kuchangia kwa hasira kiasi hiki. Huwa nina busara, nimejaribu kupitia thread yote post ya kwanza hadi ya mwisho, sijafurahia hizi post za the so called watoto wa dar. So what!!!!!!??? Pongezi kwa wale wote waliochangia kupinga hoja hii ya Watoto wa njini Dar, to hell with it.
Haya na wewe leta proof ya hii. Ndio maana watanzania hatuendelei kwa sababu ya kurely on circumtancial evidence rather than scientific one. Kama umeshindwa kuonyesha the difference between Mwanfrika wa Kike na Mama, hutang'amua hata michezo utakayochezewa na wanao hapo kwako.
Unataka proof ipi zaidi kufanana matamshi yenu/yako ,unataka niseme nimekuona ukitumia majina yote mawili?
Mimi nimesema wazi nini kichofanya na mimi nifikilie kama wengine walivyofikilia na nimetoa hiyo fact niliyonifanya niseme hivyo..
Na nikasema si lazima iwe hivyo (not confirmatory test) .So if the fact is not valid then everything rely on that fact change.