Watoto wa Mjini Dar

Watoto wa Mjini Dar

Hahahahahahaaa...unajua kuna watu wa aina mbili humu foramuni. Kuna wale wenye majina mengi ambao wakiingia kwa majina yao mbadala hawapendi wajulikane wao ni kina nani. Na kuna wale wenye majina zaidi ya moja ambao kama ikitokea jina lao moja kufungiwa kwa sababu ya utovu wa nidhamu huingia kwa jina mbadala na hawajali kama wakijulikana. Baadhi wa kwenye kundi la kwanza wana "characteristic" moja ambayo nimeiona-hawajui kubadili style na tone ya uandishi wao. Hata uchaguzi wa maneno watumiayo katika mabandiko yao hupelekea kutoa clues za wao ni kina nani. Is there anyone out there who is still getting fooled by that JF female dog?
 
Hahahahahahaaa...unajua kuna watu wa aina mbili humu foramuni. Kuna wale wenye majina mengi ambao wakiingia kwa majina yao mbadala hawapendi wajulikane wao ni kina nani. Na kuna wale wenye majina zaidi ya moja ambao kama ikitokea jina lao moja kufungiwa kwa sababu ya utovu wa nidhamu huingia kwa jina mbadala na hawajali kama wakijulikana. Baadhi wa kwenye kundi la kwanza wana "characteristic" moja ambayo nimeiona-hawajui kubadili style na tone ya uandishi wao. Hata uchaguzi wa maneno watumiayo katika mabandiko yao hupelekea kutoa clues za wao ni kina nani. Is there anyone out there who is still getting fooled by that JF female dog?

We dare talk openly,

Kwa hiyo unasema MWK ndiye huyo huyo Mama?
 
Wewe mwanamke....hebu acha kunukuu mabandiko yangu...tafadhali...kabla thread haijafungwa

Hahahahahahaaa...unajua kuna watu wa aina mbili humu foramuni. Kuna wale wenye majina mengi ambao wakiingia kwa majina yao mbadala hawapendi wajulikane wao ni kina nani. Na kuna wale wenye majina zaidi ya moja ambao kama ikitokea jina lao moja kufungiwa kwa sababu ya utovu wa nidhamu huingia kwa jina mbadala na hawajali kama wakijulikana. Baadhi wa kwenye kundi la kwanza wana "characteristic" moja ambayo nimeiona-hawajui kubadili style na tone ya uandishi wao. Hata uchaguzi wa maneno watumiayo katika mabandiko yao hupelekea kutoa clues za wao ni kina nani. Is there anyone out there who is still getting fooled by that JF female dog?


Hii habari ya kuandika kuwa watu wanatumia majina zaidi ya moja umeizua wapi? Kama wewe ndio Invisible au Farida useme, maana hawa ndio wenye uwezo wa kujua nani anatumia majina zaidi ya moja.

Acha mafumbo, sema, in JF we dare talk openly! unaogopa nini sasa wakati uko anonymous?
 
Nimepata major flashback.
GT huyu slim mnayemzungumzia ndio yule alikuwa na duka la Yankees mitaa ya kariakoo baadaye akalihamishia mtaa wa Nkurumah, alafu plae mtaa Nkurumah kulikuwa na Kibodya Hotel vile vile.
 
Wakuu vipi Slim aliyekuwa Denmark aliyezaa na Joyce Kalumanga mtoto wa Air-Tanzania, Slim "Michael Jackson" na yeye si alikua msela au?
 
Wakuu vipi Slim aliyekuwa Denmark aliyezaa na Joyce Kalumanga mtoto wa Air-Tanzania, Slim "Michael Jackson" na yeye si alikua msela au?

Mmmmmh Mkuu umenikumbusha mbali sana, Huyu Mkuu Slim sijui yupo wapi sasa,lakini Joyce alifariki .Namkumbuka huyu Jamaa Slim aliwahi kunisaidia sana,nilikutana nae Copenhagen nikiwa mgeni na mambo ya Europe nae alinionyesha njia na kunisaidia mambo mengi.
 
Nimepata major flashback.
GT huyu slim mnayemzungumzia ndio yule alikuwa na duka la Yankees mitaa ya kariakoo baadaye akalihamishia mtaa wa Nkurumah, alafu plae mtaa Nkurumah kulikuwa na Kibodya Hotel vile vile.


Tatizo lako wewe unachanganya mambo....wewe unamzungumzia KHAMISI YANKEEEZ alikuwa business partner wa MUDI MAS aka TAJIRI MTOTO enzi ziiiileeee walipokuwa wanakwenda States kufanya vurugu

Khamisi aliamua kuwa hotelier wakati Mwarabu bado anaendela "kuuza chupi" kama mwenyewe anavyosema

Actually duka la Nkuruma lilifungwa akafungua lingine kule Kariakoo....si unajua tena kariakoo ndio kwenye biashara?


Wakuu vipi Slim aliyekuwa Denmark aliyezaa na Joyce Kalumanga mtoto wa Air-Tanzania, Slim "Michael Jackson" na yeye si alikua msela au?



Mmmmmh Mkuu umenikumbusha mbali sana, Huyu Mkuu Slim sijui yupo wapi sasa,lakini Joyce alifariki .Namkumbuka huyu Jamaa Slim aliwahi kunisaidia sana,nilikutana nae Copenhagen nikiwa mgeni na mambo ya Europe nae alinionyesha njia na kunisaidia mambo mengi.



Slim yuko na naendela kujimwaga viwanja kuliko ma teen agers...si unajua tena? hakuna anayetaka kuzeeka....by the way hizi picha hapo chini source ni HAKINGOWI BLOG na Slim sasa hivi anadai katulia OSLO wakati sie wengine tunajua yule Mshiiri hana cha kutulia wala nini


hii picha kapiga October mwaka huu wakati wa Iddi...sasa ES kama unawakumbuka jamaa hapo wee sema tuuu


slim2.jpg


na hapa kapiga na mkewe nadhani anaitwa FATMA ..
slim.jpg



mida basi maana naona hii thread inanipa midadi ile mbaya sasa nikilemaa watoto wangu wanaweza wasipate ugali leo
 
Hii thread ni ya watoto wa mjini ambao ni members wa JF


Wakuja msihofu sana maana hatutowabagua kama Dar palikuwa ni transit lakini ukweli ni kuwa Dar ina wenyewe na wenyewe ndio sisi na tunajuana


haya nani kati yenu hajamuuzia FILIPINO pale stendi nyuma ya Steak Inn(kabla hajahamia kule relwe) CD na mambo ya electroniki?

By the way huyo FILINO mwenyewe alikuwa ni wa kuja


Wote Dar mlioko ni Walowezi tu!!!! Wenye Dar asili hapa JF hawapo. Kwa kuwa baba yako au mama yako au uncle aliawhi kuja dar kufanya kazi, biashara, kusoma au ukuli kule bandarini na ukapata bahati ya kuzaliwa hapa Dar halafu unajidai kujiita eti mtoto wa mjini Dar???. Sheet. Huo utoto wenu wa mjini umesaidia nini taifa la Tanzania?? Kwa kujua kwako vijiwe vya chai, chapati na pilao ni kitu tumbo tuu. Leteni issue muhimu hapa. Hatuna njaa hapa. No any entertainment here, I rather call it ni kutaka kuwatukana wengine hapa. Sisi sote ni watanzania na heshima aliyojengeka iheshimiwe. We do not need classes/strata here. Kama unataka strata nenda India na kwingineko. Mods sorry sijawahi kuchangia kwa hasira kiasi hiki. Huwa nina busara, nimejaribu kupitia thread yote post ya kwanza hadi ya mwisho, sijafurahia hizi post za the so called watoto wa dar. So what!!!!!!??? Pongezi kwa wale wote waliochangia kupinga hoja hii ya Watoto wa njini Dar, to hell with it.
 
We dare talk openly,

Kwa hiyo unasema MWK ndiye huyo huyo Mama?


Ukifuatilia vizuri vizuri jinsi michango inavyotolewa kwenye thread na aina respond ,reaction kutoka kwa MKW na Mama unaweza kushawishika kuwa MWK ndiye Mama.

Kama wataalamu wa maandishi wanavyo fikia tamati ya kufananisha mwandiko ,signature na kusema walichafikia tamati basi na mimi naweza kusema kuna uwezekano mkubwa MWK ndiye Mama.Na hii si lazima iwe kweli ,ukweli unabaki palepale.

some sentimental!
 
Ukifuatilia vizuri vizuri jinsi michango inavyotolewa kwenye thread na aina respond ,reaction kutoka kwa MKW na Mama unaweza kushawishika kuwa MWK ndiye Mama.

Kama wataalamu wa maandishi wanavyo fikia tamati ya kufananisha mwandiko ,signature na kusema walichafikia tamati basi na mimi naweza kusema kuna uwezekano mkubwa MWK ndiye Mama.Na hii si lazima iwe kweli ,ukweli unabaki palepale.

some sentimental!

Haya na wewe leta proof ya hii. Ndio maana watanzania hatuendelei kwa sababu ya kurely on circumtancial evidence rather than scientific one. Kama umeshindwa kuonyesha the difference between Mwanfrika wa Kike na Mama, hutang'amua hata michezo utakayochezewa na wanao hapo kwako.
 
Wote Dar mlioko ni Walowezi tu!!!! Wenye Dar asili hapa JF hawapo. Kwa kuwa baba yako au mama yako au uncle aliawhi kuja dar kufanya kazi, biashara, kusoma au ukuli kule bandarini na ukapata bahati ya kuzaliwa hapa Dar halafu unajidai kujiita eti mtoto wa mjini Dar???. Sheet. Huo utoto wenu wa mjini umesaidia nini taifa la Tanzania?? Kwa kujua kwako vijiwe vya chai, chapati na pilao ni kitu tumbo tuu. Leteni issue muhimu hapa. Hatuna njaa hapa. No any entertainment here, I rather call it ni kutaka kuwatukana wengine hapa. Sisi sote ni watanzania na heshima aliyojengeka iheshimiwe. We do not need classes/strata here. Kama unataka strata nenda India na kwingineko. Mods sorry sijawahi kuchangia kwa hasira kiasi hiki. Huwa nina busara, nimejaribu kupitia thread yote post ya kwanza hadi ya mwisho, sijafurahia hizi post za the so called watoto wa dar. So what!!!!!!??? Pongezi kwa wale wote waliochangia kupinga hoja hii ya Watoto wa njini Dar, to hell with it.



Wale wale,

Babu,kama unaona hapa hapakufai tafuta tafuta issue au thread nyingine ukaonyeshe BUSARA yako huko.(kwanza wewe huna tofauti na sisi wengine wote ungeonyesha tofauti yako kwa kuingia kwa jina lako harisi ili tukujue kama wenzio wakina John Mwanyika au Zitto)

Sisi tuko haoa kufata entertainments sio zaidi,kama wewe uko hapa kufata kuonyesha hasira na busara yako nenda kwenye siasa na mengineyo.
wale wale,
Hiki kijiwe mkuu ,hakuchaguliwi maada au issue ya kuzungumzia ukiona kuna kubore tafuta thread inayo kufaa ndio maana kuna siasa ,muziki na mengineyo.
Kwanza wewe mchanga sana hapa,na kwa taarifa yako kipimo cha BUSARA yako hakipo hapa (kwanza ungeingia na jina lako harisi ili tukujue kama John Mwanyika,Zitto) those guys are serious ones unlike the rest of us tukiingia humu tunatafuta entertainments.
 
GT huyo Bwn Slim namfahamu sana,unajua nilimchanganya na mtu mwingine ninae mfahamu.
Ndg.Slim alikuja miaka ya mwanzoni mwa 2000 kwa kasi sana akachukua totoz nyingi na nadhani mbongo wa mwanzoni kuleta cloth line yake (ilikua inaitwa hivyo hivyo SLIMIISLIM) mashati yalikua bomba sana by the way i still keep two of them in my closet.Lakini alikua anauza ghali sana,baadae biashara ikamshinda akarudi huko juu akarudi tena na issue za music(akawatoa wakina AY na GK kama unakumbuka) bila ya kusahau totoz MBIKI Msumi akawa kwenye line(akapewa Miss Dar City Centre)
Zote zikamshinda ,akarudi kwao Bagamoyo akawa Mfadhili wa cahama cha siasa cha CUF
 
Haya na wewe leta proof ya hii. Ndio maana watanzania hatuendelei kwa sababu ya kurely on circumtancial evidence rather than scientific one. Kama umeshindwa kuonyesha the difference between Mwanfrika wa Kike na Mama, hutang'amua hata michezo utakayochezewa na wanao hapo kwako.


Unataka proof ipi zaidi kufanana matamshi yenu/yako ,unataka niseme nimekuona ukitumia majina yote mawili?
Mimi nimesema wazi nini kichofanya na mimi nifikilie kama wengine walivyofikilia na nimetoa hiyo fact niliyonifanya niseme hivyo.Na nikasema si lazima iwe hivyo (not confirmatory test) .So if the fact is not valid then everything rely on that fact change.
 
Unataka proof ipi zaidi kufanana matamshi yenu/yako ,unataka niseme nimekuona ukitumia majina yote mawili?
Mimi nimesema wazi nini kichofanya na mimi nifikilie kama wengine walivyofikilia na nimetoa hiyo fact niliyonifanya niseme hivyo..

Prove acha kufikilia wanavyofikilia wengine (whatever that means). Utatoaje fact ble proof, achana na guess work na mabo ya kufuata mkumbo. Utajikuta chooni siku moja.



Na nikasema si lazima iwe hivyo (not confirmatory test) .So if the fact is not valid then everything rely on that fact change.

Kama sio fact then futa kauli yako ful stop!
 
Back
Top Bottom