kancher
JF-Expert Member
- Dec 19, 2015
- 469
- 467
[emoji3] [emoji1] [emoji1] aata mimi nemefikiri sana kuhusu hiliWazee wetu walikuwa wapi wenzao wakipata utajiri enzi hizo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji3] [emoji1] [emoji1] aata mimi nemefikiri sana kuhusu hiliWazee wetu walikuwa wapi wenzao wakipata utajiri enzi hizo?
Mkuu mitaa yangu hiyo NSSF flatsKaribu mkuu.
Yes.wewe nae kumbe ni mhenga mwenzanguHiyo lodge naifahamu. Inaitwa Bibi Errah lodge. Ipo Tabata Magengeni pale karibu na branch ya CRDB anapofanyia kazi Dataz.. Mbele kidogo ya kanisa jirani na shule ya Kenton (nasikia shule haipo siku hizi).
Chimbo moja matata sana!
Sidhani hata wao kama wanakufahamuMimi watoto wa Mengi siwafahamu
Anastaajabu kwasababu siyo kawaida,kwani wewe Rais anakufahamu?Sidhani hata wao kama wanakufahamu
Mfukua makaburiIm Humbled
Nini umeandaa nikaribieKaribu
Msumari wa nyama na hela ya bia kupunguza maumivu karibu sanaNini umeandaa nikaribie
Hapo sawa nakuja ila penyewe pawe na guest house 🏡 basi tukishakula tupumzike hapoMsumari wa nyama na hela ya bia kupunguza maumivu karibu sana
Tuwasiliane 0654031078Hapo sawa nakuja ila penyewe pawe na guest house 🏡 basi tukishakula tupumzike hapo
Poa, nakuchek sahivTuwasiliane 0654031078
Mentality mbaya sana ya kiafrikaNilitengemea watoto wa mengi nawao wangekuwa matajiri kumzid mo dewji, sisi wazaz waki Africa kwanini hatuwawezeshi watoto wetu ili badae waje kuwa matajiri wakubwa, kama wanavyo Fanya wenzetu wahindi, wazungu
Waafrika akili hatunaga na roho mbaya za asili... hii jamii ina kasumba sana!Nilitengemea watoto wa mengi nawao wangekuwa matajiri kumzid mo dewji, sisi wazaz waki Africa kwanini hatuwawezeshi watoto wetu ili badae waje kuwa matajiri wakubwa, kama wanavyo Fanya wenzetu wahindi, wazungu
Huyo DataZ yuko Bongo kumbe?! Nilijuaga wale rapper wa miaka ile ambao walikuwaga wanatoka famili tamu na zenye shule wote washagaruka majuu kama kina Rah p na kina baloziHiyo lodge naifahamu. Inaitwa Bibi Errah lodge. Ipo Tabata Magengeni pale karibu na branch ya CRDB anapofanyia kazi Dataz.. Mbele kidogo ya kanisa jirani na shule ya Kenton (nasikia shule haipo siku hizi).
Chimbo moja matata sana!