Kete Ngumu
JF-Expert Member
- Nov 21, 2014
- 6,656
- 6,886
AsanteWakubwa walioko hai ni wawili
Regina (anafuga dread hivi) ambaye ana manage EATV na EA radio,na Abdiel ambaye pia kama haijabadilika alikua ni moja ya wakurugenzi ndani ya the guardian,
Aliyefariki alikua Rodney Mutie (alikua mtu mwema pia) na ndio alikua mkuu wa Ea tv na radio.
Plus twins wa dada Klynn...
Wakubwa walioko hai ni wawili
Regina (anafuga dread hivi) ambaye ana manage EATV na EA radio,na Abdiel ambaye pia kama haijabadilika alikua ni moja ya wakurugenzi ndani ya the guardian,
Aliyefariki alikua Rodney Mutie (alikua mtu mwema pia) na ndio alikua mkuu wa Ea tv na radio.
Plus twins wa dada Klynn...
Bado wadogo sana tuwape mda!
Kwani Motie si alikuwa mwanae na alipataga kashfa ya ngada!?
Niliwahi zisikia hizi miaka ya nyuma enzi hizo akiwa na ofisi mitaa ya posta mpya...ila wajanja wa mji mtakua mnazo kwenye "finger tips" [emoji85]Rumours has it Regina ni mkoboaji na mpaka sasa hajaolewa wala hana watoto.
Umesahau tu mkuu, kipindi kile mzee akawaka hadi magazetini na baadhi ya watu wakapata lawama kwamba walimkuwa wanamsingizia, ila baadae alifariki.
Ni kweli kabisa mkuu ulichosema.Huyo ni Abdiel.. Huwajui watoto wa Mengi bora unyamaze tu..
Hiyo ishu ilotokea wakati Motie akiwa ameshafariki.. Na walipandikizia akina Manji
Wewe taja tu majina, ila ishu ni mtoto wa nani?Huyo ni Abdiel.. Huwajui watoto wa Mengi bora unyamaze tu..
Hiyo ishu ilotokea wakati Motie akiwa ameshafariki.. Na walipandikizia akina Manji
Rumours has it Regina ni mkoboaji na mpaka sasa hajaolewa wala hana watoto.
Ni kweli kabisa mkuu ulichosema.
#Mutie (in chagga's voice)
Wewe taja tu majina, ila ishu ni mtoto wa nani?
Si kweli.. Mutie alikuwa mnywaji na alitafuna sana watoto wazuri lakini alikiwa so reserved.. Huwezi kujua mambo yake wala kumwona ovyo ovyo sehemu za starehe
Hahaha ungeweka tuNiliwahi kutamani kuweka thread kama hii kuhusu Mh Mizengo kayanza peter Pinda!! Nikaogopa kubananishwa!! But now this you unleashed my peer appreciations to whom it's due!!asante sana
Alishastaafu, kwani unataka kusemaje sasa?Ushajibiwa huko juu hiyo ishu ilichezwa na Nzowa na akina Manji... Uliza Nzowa yu wapi sasahivi..
Mutie mzee wa Rose Garden. Ilikua kukata majina tu ya mamiss na ma model enzi zile
Rumour has it that hata huyu mama alirithiwa