Watoto wa Reginald Mengi wapo tofauti sana

Watoto wa Reginald Mengi wapo tofauti sana

Wakubwa walioko hai ni wawili
Regina (anafuga dread hivi) ambaye ana manage EATV na EA radio,na Abdiel ambaye pia kama haijabadilika alikua ni moja ya wakurugenzi ndani ya the guardian,

Aliyefariki alikua Rodney Mutie (alikua mtu mwema pia) na ndio alikua mkuu wa Ea tv na radio.
Plus twins wa dada Klynn...
Asante
 
Wakubwa walioko hai ni wawili
Regina (anafuga dread hivi) ambaye ana manage EATV na EA radio,na Abdiel ambaye pia kama haijabadilika alikua ni moja ya wakurugenzi ndani ya the guardian,

Aliyefariki alikua Rodney Mutie (alikua mtu mwema pia) na ndio alikua mkuu wa Ea tv na radio.
Plus twins wa dada Klynn...

Rumours has it Regina ni mkoboaji na mpaka sasa hajaolewa wala hana watoto.
 
hakuna aliyokamilifu ata bila hivi kuna linginela aibu yako hta hao wadogo watakua nayao
 
Mengi alianza kuwatia displini watoto wake muda mrefu. Wakati tunacheza breakdance Upanga kina Abdirl walikuwa wanatengeneza peni za BIC na baba yao katika kiwanda kidogo nyumbani kwao.

Kwa hiyo wamekaa kutafuta hela Zaidi.
 
Rumours has it Regina ni mkoboaji na mpaka sasa hajaolewa wala hana watoto.

Kwa jinsi Mzee Mengi anavyowindwa kuchafuliwa na mahasimu wake lazima wangetafuta namna ya kupata hizo picha au video akikoboana ili wamuaibishe..

Regina alishakuwa na mchumba, walikutana Vacation Italy ila kutambulishwa nyumbani Mzee akamkataa..
 
Ahahahahaha, mkuu utakuwa huwajua vizuri wewe. Ngona niishie hapa.
 
Niliwahi kutamani kuweka thread kama hii kuhusu Mh Mizengo kayanza peter Pinda!! Nikaogopa kubananishwa!! But now this you unleashed my peer appreciations to whom it's due!!asante sana
Hahaha ungeweka tu
 
Back
Top Bottom