Watoto wa shule ya chekechea waenda mashambani na kujifunza ujuzi wa kilimo mkoani Zhejiang, China

Watoto wa shule ya chekechea waenda mashambani na kujifunza ujuzi wa kilimo mkoani Zhejiang, China

ldleo

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2010
Posts
1,116
Reaction score
1,121
Shule ya chekechea mjini Huzhou mkoani Zhejiang, mashariki mwa China Novemba mosi ilifanya shughuli ya “Darasa la mashambani”, ambako watoto walikwenda mashambani kujifunza ujuzi wa kilimo kupitia njia ya kuchora picha za mavuno, kutambua mimea ya mpunga na kutengeneza sanamu ya kuwinga ndege.

VCG111407857775.jpg

VCG111407857779.jpg

VCG111407857777.jpg
 
mfumo wa elimu yetu hamkomboi mwanafunzi hata kidogo... kutoboa kwa madogo ni ngumu mno kama tulivyo sisi wazee tunaishia kulalamika humu baada ya umri kusogea 😀 afu mafaniko hakuna, ujuzi hakuna.

Sidhani sisi tuna mfumo hata mmoja unaofanya kazi inavyotakiwa ukiacha huu wa anga ambao ni wa kimataifa.
 
Hatari sana angalau saivi wameongeza vyuo vya VETA ila ilibidi mtoto ajifunze ujuzi angali mdogo
 
Bongo sahv mashuleni wanapelekewa wasanii kuwafundisha kukata mauno tu

Ova
 
Back
Top Bottom