Watoto wa wapigiwa kura hata mahabusu wanalala VIP

Watoto wa wapigiwa kura hata mahabusu wanalala VIP

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011
1661230598089.png

Hili tabaka la wapigiwa kura na wapiga kura linazidi kuonekana. Rafiki yangu siku nyingi aliniambia wapigiwa kura hata wakiugua hawatibiwi katika zahanati zetu zilizojaa paracetamol.

Watoto wao wanasoma Feza na hata ikitokea watoto wao wakumbane na mkono wa sheria, polisi atalala kwenye ofisi ya Mkuu wa kituo na jioni atapelekewa kiepe, mishikaki na soda ya baridi.

Mtoto wa huku kwetu Kwamtogole angemtamkia l Askari maneno yale, sasa hivi tungekua tunatoa maamuzi ya kuzika au kusafirisha.

Lakini hii ndiyo Tanzania yetu.
 
View attachment 2332001
Hili tabaka la wapigiwa kura na wapiga kura linazidi kuonekana. Rafiki yangu siku nyingi aliniambia wapigiwa kura hata wakiugua hawatibiwi katika zahanati zetu zilizojaa paracetamol. Watoto wao wanasoma Feza na hata ikitokea watoto wao wakumbane na mkono wa sheria, polisi atalala kwenye ofisi ya Mkuu wa kituo na jioni atapelekewa kiepe, mishikaki na soda ya baridi.

Mtoto wa huku kwetu Kwamtogole singer na Askari maneno yale, sasa hivi tungekua tunatoa maamuzi ya kuzika au kusafirisha. Lakini hii ndiyo Tanzania yetu.

Mtoto wa wapiga kura katika ubora wake mikononi mwao:

 
Nikipata pesa nami ninunue Subuufa niwapige vijembe watoto wa matajiri.
 
Huyo mtoto adhabu pekee aliyopewa na maafisa usalama ni kumrekodi na kuirusha ile video yake kwa jamii, hiyo ilisababishwa na kujulikana kwake.

Kama angekuwa mtoto wa mlalahoi aliyetamka yake maneno, leo angekuwa hana kucha, ana vidonda mwili mzima, na hata akiongea sauti haitoki.
 
Hata mbinguni kuna matabaka,kuwa sawa haukuwa mpango wa Mungu, kwa tofauti zetu ndiyo ukuu wake uonekana. Mungu ni mwema, siku zote.
 
Hata mbinguni kuna matabaka,kuwa sawa haukuwa mpango wa Mungu, kwa tofauti zetu ndiyo ukuu wake uonekana. Mungu ni mwema, siku zote.
Naam, sehemu ambayo mwenyeezi mungu katuweka Levo ni kifo pekee na hayo ni maamuzi take hakuna mjadala.
 
Back
Top Bottom