Tatizo hilo, nguvu hii hii tunayokemea wanaofanyiwa hivi vitendo tuielekeze pia kwa wanaowafanyia maybe ikapunguza hili janga!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Delicious alipokamatwaa, akasema nataka mabasha wangu wote niwatajeee waje hapa, mbna chapuuu aliachiwaaaaaa.
Makondaa nae sakata LA saka mashoga Dar, serikali ili mkana km haimjui vileee, ile Barua kila nikiisomaa huwa nachekaa hadi machozi. Woiiiiiih
Waanze mabasha kwan.Tatizo hilo, nguvu hii hii tunayokemea wanaofanyiwa hivi vitendo tuielekeze pia kwa wanaowafanyia maybe ikapunguza hili janga!!
God forbid ....![emoji848][emoji2827]Kwa niaba ya mwenyekiti wa taasisi ya KATAA NDOA tunatoa onyo la mwisho likiambatana n'a karipio kali dhidi ya anaefahamika kama Mshana Jr .Ifahamike KATAA NDOA haijihusishi kwa namna yeyote na ushoga na nikinyume cha misimamo ya taasisi yetu na tunaunga mkono upingaji wa ushoga na viashiria vyake .Kuhusisha ushoga na motto wetu "KATAA NDOA " si tu kumetukosea heshima wanachama hai bali kumeweka dosari kwenye misingi ya utaifa wetu wa kuvumiliana .KATAA NDOA ni msimamo wa kutoingia mkataba wa kudumu kimahusiano ila hii haimaanishi wajumbe hawana mahusiano na wanawake suala ni kutowaoa tuu .aidha msimamo wetu ni mkali zaidi kwa single mothers hao tunakoelekea tutakuja na msimamo hata wa kutotembea nao.
Imetolewa
27.02.2023
THE ONLY,
Katibu tawi la kawe,
KATAA NDOA.
Naona upo na best hapo, mnaweka mambo sawa,
Tuanze kampeni ya ku unfolliw hawa wapuuzi wote na hata nyimbo zao tuzikatae Mm nimesha unfolliw wasanii wote wajinga nimeanza na Chai japa , na majaba yake yote nikampiga chini chamaki nchangaNi huo ujinga wanaoimba ndio unapokewa na jamii yenye vijana wetu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee babuuuh sasa mie sio Dume?
Hujatulia wewe mjukuu ndio maana wanakufananisha na dume
Duh kino muda sana nmepangimbiaNiko Katumba mtaa wa pili nikitoka naelekea Wibu then Kigamboni jioni Msata [emoji23]
Mama lishe pale Buguruni MalapaAisee wakuu bado kiza kwangu huyu monalisa ni nani?
Huku unakemea mtoto wa monalisa kua shoga, huku unamwambia Shoga wa JF akutafute ASAP. Mshana vipi mzee?Nitafute ASAP
Kuna kitu ngoja nikiweke sawa kuhusu hili sakata na pengine kinaweza kutufunua kwamba pemgine mtoto hapaswi kulaumiwa
Monalisa alikuwa mke wa ndoa wa 'Tyson' Mkenya aliyekuwa kwenye industry ya filamu Tanzania, baadae alimpeleka Kenya kusomea zaidi mambo ya filamu lakini Mona akazingua na kupigwa chini wakiwa tayari na mtoto mmoja yule wa kike
Ikabidi arudi bongo na life likawa tough sana na stress za kutosha zilizompelekea kujiingiza kwenye madawa ya kulevya by then kituo chao kilikuwa shule ya uhuru pale mataa kwa nyuma
Huko ndio alikutana na baba huyu mtoto wote wakiwa mateja na kupeana ujauzito wa huyu kijana.. Kwahiyo utotoni mtoto akakulia mazingira ya uteja wa wazazi
Kufupisha story wote waliweza kuchomoka huko, sasa kama jamaa alikuwa na mke mwingine Zenji hilo sifahamu ila kuna maisha fulani ya kigeto mtoto aliwahi kupitia
hakuna mwnadamu anae weza kumesha ushoga kupitia kwenye sheria za kungwa na watu sheria ya kukomesha ushoga imo ndani ya qur,an tu kuwaua wote wanao ***** na kufira na makahaba na mafisadi lakini wanadamu robo 3 ya dunia hawata sheria hizo ilivio tutege mee vija wa kiume kuwa mashoga na watoto wakike kuwa majamvi ya wageniWazazi tuombeana sana. Na tuwaombee sana watoto wetu, vijana wetu.. Kuna walakini mkubwa sana kwenye ile kampeni ya wakataa ndoa. Tuwe karibu mno na vijana wetu wa jinsia zote wakike na wakiume .. Wote wanaharibika. Wote wanaharibikiwa jamii inaingia kwenye mtanziko mkubwa.. Kizazi kijacho kiko mashakani
Wasanii wetu ni role models wa vijana wetu. Vijana wetu, watoto wetu hutamani, huwa na ndoto za kuwa kama fulani, kuna hatari kubwa sana kupotosha na kupoteza wengi kama msanii ama mtu maarufuvakiongea kitu
Hapo mwanzo tulizoea vijana barobaro wakijitangaza mitandaoni kuwa wao ni mashoga..haikuwa mbaya sana kwakuwa hawakujulikana na wengi.. Leo hii anjitokeza kijana wa kiume wa msanii maarufu anajitangaza hadharani kuwa yeye ni shoga ana anajivunia (ushoga[emoji24]). Huyu ana followers wangapi Yarab toba!
Kipenga cha kujitangaza live kimepulizwa rasmi Tanzania, viongozi wanapiga kimya kama hawaoni.. Tunapoteza kizazi kijacho.
Ushoga umetamalaki nchini lakini mamlaka hazina nguvu hata chembe ya kukemea.. Madhara ya kukubali mikopo na misaada yenye masharti kificho
Lifestyle wanayowalea na kuwakuza watoto wao hawa tunaowaita wasanii maarufu Tanzania ni janga kubwa.. Hafundishwi kuwa wanaume kamili hawafundishwi ukakamavu.. Wanalelewa kuwa wanaume wa kike ama wanawake wa kiume... Wengi wakilelewa na mzazi mmoja.
Hakuna wa kukemea.. Zaidi ya sisi wapiga kelele mitandaoni. Tuhamasishane sisi wazazi wa huku kuwalinda vijana wetu, tuongee nao tuwe nao karibu tuwachunguze kwa karibu mienendo yao, marafiki zao nknk
Tunataka nasi tuache mbegu itakayomea na kuendeleza kizazi.. Tupunguze harakati za kimaisha tutenge muda wa kutosha kuwa na vijana wetu... Hali ni mbaya sana.
Kampeni ya kataa ndoa ni kampeni ya kishenzi, isipewe nafasi haina malengo mazuri kwa maisha ya kesho na wengi wameivamia kwa ujuaji tu wa kitoto. Hawajui matokeo yake!
Madhara ya hii kampeni ikiachwa imee yataonekana soon.. Huko mavyuoni hali ya ushoga na usagaji ni mbaya sana huko kwenye mitandao ya kijamii ndio usiseme.
Kijana anamaliza chuo ni msagaji, kijana anamaliza chuo ni shoga! Kuna familia tena hapo? Kuna ndoa tena hapo? Kuna future tena hapo?
Kama mtoto wa Monalisa kajitangaza akamewe wazi na awe ni wa mwisho. Hili likiachwa janga kubwa linakuja. Zamani tuhuma za aibu za ushoga zilikuwa maeneo ya mwambao .. Siku hizi mpaka chuga ni kama fasheni
Inauma sana!
Nina maana yangu kubwa sana kusema hivyo mengine acha yabaki kuwa personalHuku unakemea mtoto wa monalisa kua shoga, huku unamwambia Shoga wa JF akutafute ASAP. Mshana vipi mzee?
Unamuita mjukuu?
Hii vita mbona tumeshindwa mapema sana mazee!
Watoto wa wasanii au wasanii wenyewe?Wazazi tuombeana sana. Na tuwaombee sana watoto wetu, vijana wetu.. Kuna walakini mkubwa sana kwenye ile kampeni ya wakataa ndoa. Tuwe karibu mno na vijana wetu wa jinsia zote wakike na wakiume .. Wote wanaharibika. Wote wanaharibikiwa jamii inaingia kwenye mtanziko mkubwa.. Kizazi kijacho kiko mashakani
Wasanii wetu ni role models wa vijana wetu. Vijana wetu, watoto wetu hutamani, huwa na ndoto za kuwa kama fulani, kuna hatari kubwa sana kupotosha na kupoteza wengi kama msanii ama mtu maarufuvakiongea kitu
Hapo mwanzo tulizoea vijana barobaro wakijitangaza mitandaoni kuwa wao ni mashoga..haikuwa mbaya sana kwakuwa hawakujulikana na wengi.. Leo hii anjitokeza kijana wa kiume wa msanii maarufu anajitangaza hadharani kuwa yeye ni shoga ana anajivunia (ushoga[emoji24]). Huyu ana followers wangapi Yarab toba!
Kipenga cha kujitangaza live kimepulizwa rasmi Tanzania, viongozi wanapiga kimya kama hawaoni.. Tunapoteza kizazi kijacho.
Ushoga umetamalaki nchini lakini mamlaka hazina nguvu hata chembe ya kukemea.. Madhara ya kukubali mikopo na misaada yenye masharti kificho
Lifestyle wanayowalea na kuwakuza watoto wao hawa tunaowaita wasanii maarufu Tanzania ni janga kubwa.. Hafundishwi kuwa wanaume kamili hawafundishwi ukakamavu.. Wanalelewa kuwa wanaume wa kike ama wanawake wa kiume... Wengi wakilelewa na mzazi mmoja.
Hakuna wa kukemea.. Zaidi ya sisi wapiga kelele mitandaoni. Tuhamasishane sisi wazazi wa huku kuwalinda vijana wetu, tuongee nao tuwe nao karibu tuwachunguze kwa karibu mienendo yao, marafiki zao nknk
Tunataka nasi tuache mbegu itakayomea na kuendeleza kizazi.. Tupunguze harakati za kimaisha tutenge muda wa kutosha kuwa na vijana wetu... Hali ni mbaya sana.
Kampeni ya kataa ndoa ni kampeni ya kishenzi, isipewe nafasi haina malengo mazuri kwa maisha ya kesho na wengi wameivamia kwa ujuaji tu wa kitoto. Hawajui matokeo yake!
Madhara ya hii kampeni ikiachwa imee yataonekana soon.. Huko mavyuoni hali ya ushoga na usagaji ni mbaya sana huko kwenye mitandao ya kijamii ndio usiseme.
Kijana anamaliza chuo ni msagaji, kijana anamaliza chuo ni shoga! Kuna familia tena hapo? Kuna ndoa tena hapo? Kuna future tena hapo?
Kama mtoto wa Monalisa kajitangaza akamewe wazi na awe ni wa mwisho. Hili likiachwa janga kubwa linakuja. Zamani tuhuma za aibu za ushoga zilikuwa maeneo ya mwambao .. Siku hizi mpaka chuga ni kama fasheni
Inauma sana!
Chai Jaba najua ni Kiongozi wa Wachafu ,Je Chamaki nchanga ndiyo Njomba Nchumali?Tuanze kampeni ya ku unfolliw hawa wapuuzi wote na hata nyimbo zao tuzikatae Mm nimesha unfolliw wasanii wote wajinga nimeanza na Chai japa , na majaba yake yote nikampiga chini chamaki nchanga