Watoto wa wasanii na ushoga! Kipenga kimepulizwa rasmi

Tatizo hilo, nguvu hii hii tunayokemea wanaofanyiwa hivi vitendo tuielekeze pia kwa wanaowafanyia maybe ikapunguza hili janga!!
 
God forbid ....![emoji848][emoji2827]
 
Niko Katumba mtaa wa pili nikitoka naelekea Wibu then Kigamboni jioni Msata [emoji23]
Duh kino muda sana nmepangimbia
Huko nikija ni kuchukua ankara tu
Vurugu la huko nmenyoosha mikono juu [emoji1]

Ova
 

Aisee hii kwangu Mpya ,kumbe Monalisa alishawahi kuwa "Wa kubembea aka customer"? Aiseee kwa mazingira hayo lazima mtoto aharibike.
 
hakuna mwnadamu anae weza kumesha ushoga kupitia kwenye sheria za kungwa na watu sheria ya kukomesha ushoga imo ndani ya qur,an tu kuwaua wote wanao ***** na kufira na makahaba na mafisadi lakini wanadamu robo 3 ya dunia hawata sheria hizo ilivio tutege mee vija wa kiume kuwa mashoga na watoto wakike kuwa majamvi ya wageni
 
Watoto wa wasanii au wasanii wenyewe?
 
Tuanze kampeni ya ku unfolliw hawa wapuuzi wote na hata nyimbo zao tuzikatae Mm nimesha unfolliw wasanii wote wajinga nimeanza na Chai japa , na majaba yake yote nikampiga chini chamaki nchanga
Chai Jaba najua ni Kiongozi wa Wachafu ,Je Chamaki nchanga ndiyo Njomba Nchumali?
 
Humu ndani watu kwa unafki tu hawajambo, huyo dogo kwenye bio yake kaandika "Allah first" ila ndio kashajitangaza kuwa yeye ni Shoga

ila kuna kundi Fulani la watu wameuchuna kimyaaaa kama hawajaona vile, laiti kama hapo kwenye Allah first ingekuwa pameandikwa "Jesus is Lord"

dhamira nzima ya huu Uzi ingekufa na tungeingia kwenye issue za UDINI, jamani kama mmeamua vita za kupinga ushoga basi wekeni udini pembeni na kuokoa vijana wenu

Hizi dini zilipofikia ni kuwagawa na kufanya msahau kama nyie wote ni ndugu, kinachofanya mwingine ni Muslim na mwingine ni Christian inategemea na amezaliwa katika ukoo upi, sehemu gani

Mnafanya watu wasioamini katika Dini kuongezeka kila siku, maana Dini zenu hazihubiri upendo tena bali ni chuki na uadui
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…