Watoto wa wasanii na ushoga! Kipenga kimepulizwa rasmi

Watoto wa wasanii na ushoga! Kipenga kimepulizwa rasmi

Baadhi ya wasanii nao wamegeuzwa mashoga. Nasikia kuna wafadhili toka nchi za magharibi wanalipa pesa ndefu watu hasa wasanii, kuendeleza ushoga Tanzania. Ukiona mtu kavaa T-shirt imeandikwa GAP huyo mchunguze vizuri, ila wengine wanakuta kwenye mitumba wananunua bila kujua GAP maana yake ni Gay And Proud, kama umemnunulia mwanao kwenye mitumba, itupe haraka au choma moto.
UONGO
 
Nawe jaribu kuficha uchi wa akili yako na hizo Roho unazojitahidi kuzipandikiza zishindwe. Nilikuona kwenye zile picha zako ila nakufahamu spiritually. Unaamini ugumu ni kupiga vyuma na ubaunsa!!!! Uanaume sio Mwili Wala ubaunsa wenu wa kisasa wa kuinua vyuma. Uanaume ni mtazamo, uanaume ni ujasili, uanaume ni misimamo. Uanaume unajengwa na kutengenezwa na sio kuzaliwa nao. Simba dume anashinda na mtoto dume ili amjengee uwezo na mtazamo wa kiushindi na ndio maana zamani mwanaume ukijikwaa unaambiwa mwanaume halii wala haumii. Uanaume ni ujasili na sio
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hivi unahisi wee unanijua sanaaa eeeeh? Unajidanganyaa weyeee poleeeeee!!!!

Sasa huo ujasiri na uwezo au mindset km asipo fuata? Je?
 
Tukiamua kupambana na mashoga tupambane na wanaowafanya hivyo kwa sababu mtu hajifiri kuna anaemfira, bila ya hivyo haitosaidia chochote. Kila mtu atajifanya kukemea lakini tunayoyafanya nyuma ya milango yetu tunajua wenyewe!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Delicious alipokamatwaa, akasema nataka mabasha wangu wote niwatajeee waje hapa, mbna chapuuu aliachiwaaaaaa.

Makondaa nae sakata LA saka mashoga Dar, serikali ili mkana km haimjui vileee, ile Barua kila nikiisomaa huwa nachekaa hadi machozi. Woiiiiiih
 
Hii umetoa kali. By the way, kukukanya ndipo tunafanya kazi wenzio. Usidhani tunapoteza muda
Na haubadilishi chochote sasa, huoni unafanya kazi bureee??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mkuu wewe humu, kuna mtu unaemjua kwa kumuona na ni shoga, huu ni mtandao tu, unatuungamisha katika kubadilishana mawazo na kupeana taarifa mbalimbali, Cha msingi sisi ni Watanzania, hatuiishi tu kuwa wanajamii forums tu.

Hivyo alietajwa kuwa amejitangaza ni mtanzania mwenzetu pia, lazima tulikemee maana huyu amevuka mipaka, ambayo Watanzania, hatukuwahi kushuhudia shoga likijitangaza, kwa namna hiii.

Ila mkuu ni kweli huoni nyuzi mbalimbali juu ya ushoga, na wakilaani tabia hiyo.
Wala halikuwa Lengo langu kukosoa hoja ya mleta hoja, ni kweli jamii yetu ipo kwenye tatizo kubwa kuhusu hatma ya watoto wetu dhidi ya hili wimbi kubwa la vitendo vya ushoga vinavyozidi kuongezeka

Mkuu kama umekuwa mfatiliaji wa mijadala humu basi utagundua kuna watu members wanajitangaza waziwazi ni wapenzi wa jinsia moja, na ukijaribu kuwajibu watakushambulia kwa maneno makali sana.

Sijawahi kuona mleta mada akiwakaripia hawa members wa humu jf zaidi tu huwa wanaitana na kutaniana binamu na hao ma hayawani, Sasa huu si ni unafiki?
Sasa kama mashoga wa humu ni marafiki zake huo ujasirisi wa kuupinga ushoga anautolea wapi?

Pia hii kuuzungumzia ushoga Kila wakati ndio kuusambaza kwenyewe. Binadamu ameumbwa na curiosity, Ile unavomwambia ushoga ni mbaya ndivyo atataka ajue ubaya wake hivyo atajaribu..

Ona tu huyu mtoto wa Monalisa alivyoongeza followers gafla baada ya iyo ishu ya yeye kujiita gay kufahamika. Imagine ni vijana wangapi watamuiga? Hizi habari zisingetangazwa nani angejua tabia yake?
Yaani tunaongeza mafirauni tukidhani tunatatua tatizo
Kwa mtazamo wangu haya mambo ni ya ku mute tu
😁😁eti binamu!! Hapa kwakweli nami nashindwa kumuelewa mkuu
 
Back
Top Bottom