Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh King Kong III unataka kuleta balaaHumu kuna cocastic, King Kong III, allency. Wote Hawa wanasupport ushoga lakini admins hawachukui hatua yoyote
Ila hapa panachanganya sana kwakweliHizi ngonjera zinachusha, umeshindwa kukemea watu kama cocastic hapa JF wanaosifia kuliwa na madume wenzao au Culture Me anayekoboa wenzake, unaanza na watu ambao hawapo JF. Wakati mwingine tufiche unafiki wetu
Ni wa kibaha now.Basi inatosha mjukuu Kibaha au kisarawe? Hii mada inaweza kufukunyua mengine
Mbeya unakutanaga nao wapi? Huku hizo mambo sio kiivo mkuu! Au me ndio mshamba sizururi sana? God forbidMbeya wamejaa saivi hali ni mbaya
Jamiiforums kwa kujua au kutokujua (obviously wanajua) imekuwa ikishiriki kwa makusudi kuivunja asili ya Mtanzania/mtu mweusi kwa ujumla.Hata humu JF kuna ujinga tunauendekeza tukifikiri ni mzaha kumbe ni upumbavu tunaosambaza kirahisi
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Hapa panachanganya sana ayseeHuku unakemea mtoto wa monalisa kua shoga, huku unamwambia Shoga wa JF akutafute ASAP. Mshana vipi mzee?
Unamuita mjukuu?
Hii vita mbona tumeshindwa mapema sana mazee!
Paragraph ya mwishooo umeandika kwa uchungu sanaaaaa.Jamiiforums kwa kujua au kutokujua (obviously wanajua) imekuwa ikishiriki kwa makusudi kuivunja asili ya Mtanzania/mtu mweusi kwa ujumla.
Humu imekuwa siyo ajabu kukutana na mada zinazopinga ndoa ziwe ni za Kanisani Msikitini au kwa Mkuu wa Mkoa utakuta watu wanajadili kwa uhuru wengine wakiitukana taasisi hiyo huku wao wenyewe wametoka humo humo bila uwoga,mada kama hizo kwa taifa letu zisingepaswa hata kwa dk moja kukaa kwenye server za mtandao unaojinasibu kuwa bora na hata kama ni uhuru uhuru usizidi maadili ya taifa.
Hilo la ushoga humu lipo sana yapo mashoga mawili humu ukikutana nao kwenye thread zinazopinga ujinga huu wakianza kuwakera ninyi mnaowakataa utatamani u-log out kwa jinsi wanavyoandika upumbavu,wanajiita kabisa mume na mke na kuweka viji-omoj vya mapenzi ukiwatukana BAN unakula wewe unayewapinga wao wanabaki wakieneza ufirauni wao lakini kiuhalisia hawa ilibidi day one tu walipoanza maudhui ya ushoga wale life BAN unfortunately humu wakufanya hivyo hawapo.
Kwanini umeni-quote?Paragraph ya mwishooo umeandika kwa uchungu sanaaaaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] poleeeeeee sanaaaaa.
😓😓😓Ohoooo 😮😮😮 kumbe
Kuna kina mama Junior wakikusikia utahama jfNasisitiza lazima alelewe kikenge mtoto wa kiume.
Na vile vipensi vyao vya rangi rangiHakuna kundi la hovyo kama Bongo Flavour, Bongo Movie...
Mwanaume kuvaa hereni, kuvaa vikuku, kulewa hovyo wanaona sifa
Huyo anachezeana na watoto wenzie. Ndimo huwa wanaanzia humo.yani inamana kuna wanaume wenzangu wanasimamisha kabisa dushe huyo dogo akivua nguo mbele yao? Daaah!! Najiuliza tu dogo alianzaje haya mambo? At first alilazimishwa na sasa kazoea tyr au? Au hormonal factors? Au vp?
NB; Angekua ni mdogo wangu huyo dogo, leo leo ningepelekwa mahakamani na kufungwa jela leo leo.
Sio yule mwenye username ya madaraja ya ufaulu kidato cha nne ?? Kama ni yeye nilijiskia vbaya mnoKuna lishoga humu ni limaarufu na linajitangaza kabisa ila mod wameliacha yani ukisoma mwandiko wake harufu ya mavi hii hapa, walipe life ban
Si wewe hapo, mwengine boflo sijui kafa yule😅😅😅 pia faizafoxy unaweza kuta nalo bwabwa maana si kwa kuchamba kuleHebu mtaje tumjue jaman, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mbna wengine hatumfahamu.
Hata simjui baba yake naniHuyo aliyemshika huyo mtoto kiuno ndiye baba yake au?
Fact💯Nyie ni mapunga tu na tumewastukia.
Jiandaeni hapo mlipoweka centre yenu ya ushoga bagamoyo.
Kinachofuata ni kutiwa kiberiti tu hatutaki mtuaribie Taifa letu.
Shwaini nyie mliojificha kwenye kichaka cha kataa ndoa.
Kweli mkuu avatar zinafana mkuu