Mimi Tena nakosaje Kwa mfano[emoji1][emoji3][emoji3][emoji3]yaani ukiona Sina ujue haipo hyoooUnayo? Nifanyie wepesi PM [emoji1545]
[emoji23][emoji1545][emoji1752]Mimi Tena nakosaje Kwa mfano[emoji1][emoji3][emoji3][emoji3]yaani ukiona Sina ujue haipo hyooo
Kwa wewe tu wengine wapambane
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Ila PM ya ko imetiwa komeoMimi Tena nakosaje Kwa mfano[emoji1][emoji3][emoji3][emoji3]yaani ukiona Sina ujue haipo hyooo
Kwa wewe tu wengine wapambane
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Umefunga PM??inakataa mbona miye nikitumaUnayo? Nifanyie wepesi PM [emoji1545]
Yako imefungwa pia au?!!!inagoma na Ndo mmechelewa hukooIla PM ya ko imetiwa komeo
Mmh subiriYako imefungwa pia au?!!!inagoma na Ndo mmechelewa hukoo
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Chungulia tenaYako imefungwa pia au?!!!inagoma na Ndo mmechelewa hukoo
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
ReadyChungulia tena
Kumbe na humu wamo? Jamani si muwataje majina waone aibu.Ameshafuta kama dakika 2 zilizopita hilo neno "AM gay and Proud" baada ya post yako.
Jamani serikali iko wapi? Wabunge si watowe nenoOriginal postView attachment 2531963
Mtoto akielekezwa kuzifuata njia zinazompndeza Mwenyezi Mungu akikua atazifuata.Wazazi tuombeana sana. Na tuwaombee sana watoto wetu, vijana wetu.. Kuna walakini mkubwa sana kwenye ile kampeni ya wakataa ndoa. Tuwe karibu mno na vijana wetu wa jinsia zote wakike na wakiume .. Wote wanaharibika. Wote wanaharibikiwa jamii inaingia kwenye mtanziko mkubwa.. Kizazi kijacho kiko mashakani
Wasanii wetu ni role models wa vijana wetu. Vijana wetu, watoto wetu hutamani, huwa na ndoto za kuwa kama fulani, kuna hatari kubwa sana kupotosha na kupoteza wengi kama msanii ama mtu maarufuvakiongea kitu
Hapo mwanzo tulizoea vijana barobaro wakijitangaza mitandaoni kuwa wao ni mashoga..haikuwa mbaya sana kwakuwa hawakujulikana na wengi.. Leo hii anjitokeza kijana wa kiume wa msanii maarufu anajitangaza hadharani kuwa yeye ni shoga ana anajivunia (ushoga[emoji24]). Huyu ana followers wangapi Yarab toba!
Kipenga cha kujitangaza live kimepulizwa rasmi Tanzania, viongozi wanapiga kimya kama hawaoni.. Tunapoteza kizazi kijacho.
Ushoga umetamalaki nchini lakini mamlaka hazina nguvu hata chembe ya kukemea.. Madhara ya kukubali mikopo na misaada yenye masharti kificho
Lifestyle wanayowalea na kuwakuza watoto wao hawa tunaowaita wasanii maarufu Tanzania ni janga kubwa.. Hafundishwi kuwa wanaume kamili hawafundishwi ukakamavu.. Wanalelewa kuwa wanaume wa kike ama wanawake wa kiume... Wengi wakilelewa na mzazi mmoja.
Hakuna wa kukemea.. Zaidi ya sisi wapiga kelele mitandaoni. Tuhamasishane sisi wazazi wa huku kuwalinda vijana wetu, tuongee nao tuwe nao karibu tuwachunguze kwa karibu mienendo yao, marafiki zao nknk
Tunataka nasi tuache mbegu itakayomea na kuendeleza kizazi.. Tupunguze harakati za kimaisha tutenge muda wa kutosha kuwa na vijana wetu... Hali ni mbaya sana.
Kampeni ya kataa ndoa ni kampeni ya kishenzi, isipewe nafasi haina malengo mazuri kwa maisha ya kesho na wengi wameivamia kwa ujuaji tu wa kitoto. Hawajui matokeo yake!
Madhara ya hii kampeni ikiachwa imee yataonekana soon.. Huko mavyuoni hali ya ushoga na usagaji ni mbaya sana huko kwenye mitandao ya kijamii ndio usiseme.
Kijana anamaliza chuo ni msagaji, kijana anamaliza chuo ni shoga! Kuna familia tena hapo? Kuna ndoa tena hapo? Kuna future tena hapo?
Kama mtoto wa Monalisa kajitangaza akamewe wazi na awe ni wa mwisho. Hili likiachwa janga kubwa linakuja. Zamani tuhuma za aibu za ushoga zilikuwa maeneo ya mwambao .. Siku hizi mpaka chuga ni kama fasheni
Inauma sana!
Vp mkuu? Ile mimba tayari ishaingia?Kiukweli kuna Watu mnapenda kujipa kazi sana,
Hivi hata mambo ya mitandaoni mnaumizwa nayo kiasi hiki jamani!?
Kama wakerwa sana na kitu jiepushe nacho, hupendi kuwaona hao humu JF basi jitoe wewe ili ubaki na Amani,
Dhambi ya Ubaguzi ni mbaya na hua haina kikomo,
Kuna single moms humu hutukanwa kila leo, kuna wale wa Dini hutukanana kila leo, huko kwenye Siasa ndio balaa, sasa wewe kuliko kuamrisha wenye Forum wawafungie watu usiowataka ni aidha wewe ujitoe au usishiriki kabisa kwenye mada za namna hiyo,
Ila ajabu kila Mada za Ushoga nawe umo, sijui wataka tukueleweje.
Kimbe na humu wamo? Jamani si miwataje majina waone aibu.
Mama asiposema chochote kuhusu ushoga vijana wa kiume wanaisha.
Ntumie pm basiMmeiona ana balaaa chini kweusiii kaahhhh[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]ila wanaume wengine washenzi unajiskiaje kula mwanaumee mwenzio kama huyo zee tu
Mfyuuuuu afu alikua anajichukua mwenyewe
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Umefunga pm nrushie mzee babaConnection ya Zenji inatisha[emoji24][emoji24][emoji24]