Watoto wa wasanii na ushoga! Kipenga kimepulizwa rasmi

Hizi familia zina siri kubwa,ukiona mosh unafuka ujue.....all in all kila mtu anayatafsir maisha yake kwa moyo wake ndo maana tupo hapa tulipo
 
Mtoto akielekezwa kuzifuata njia zinazompndeza Mwenyezi Mungu akikua atazifuata.

Siku hizi single parent imekuwa kama fasheni. Malezi ya pande mbili ni muhimu sana aiseee.
 
Kimbe na humu wamo? Jamani si miwataje majina waone aibu.

Mama asiposema chochote kuhusu ushoga vijana wa kiume wanaisha.
Connection ya Zenji inatisha[emoji24][emoji24][emoji24]
 
Vp mkuu? Ile mimba tayari ishaingia?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…