aminiusiamini
JF-Expert Member
- Aug 25, 2011
- 3,577
- 2,224
What difference does it make?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pamoja na waandishi kuitumia fursa ile kwa faida yao mimi sioni tatizo kabisa kwa watoto wa mtu yeyote kujiunga na chama, dini au kundi lolote lililohalalishwa na jamii kwani ni haki yao ya msingi.safi sana.........ila inauma sana watoto wanapokua upande wa pili!!..ila inawezekana pia wamekuja CHADEMA baada ya kukosa nafasi stahiki ndani ya CCM..ingawa mtapinga dada zangu lakini mnatumia kofia ya baba yenu mdogo kujipatia umaarufu hasa ikizingatiwa kwamba wanabif kali sana na CHADEMA..na CDM itawatumia kama silaha ya kumuangamiza.
Dr. Wassira aka mtemi wa Mahale Pangua hoja hiyo.......watoto wa kaka yako ni nani kwako?
Kumbe sio watoto wa Wasira bana.
Kumbe sio watoto wa Wasira bana.
Nainga mkono hoja, anafaa kuwa waziri wa mambo ya nje huyuhongera dada! sura yako kama ya waziri, naona CDM ikichuka dola na wewe utakua waziri! tehe tehe teheeeee!
AshaDii
Kwetu sisi waafrika, mtoto wa baba mkubwa au baba mdogo bado ni mwanao tu hata kama tutapinga na kusema ni mtoto wa ndugu yangu, bado ni mwanao kwa tamaduniza kiafrika. Waandishi hawakukosea kusema wale ni watoto wa wasira according to African tradition and culture!
AshaDiiNaomba kuwakumbusha: Mkapa katika kampeni Arumeru alisema Vincent Nyerere sio mtoto wa Nyerere. Hope mnakumbuka kilichotokea baada ya hapo maana hadi ndugu za Nyerere walikuja juu na kusema kuwa Mkapa amepotoka.
Anyway huo ni mtazam wangu tu
Siku si nyingi tutajua rangi yako halisi...hiyo ndiyo CDM usipoikubali mdomoni utaikubali moyoni
Watoto wa Wasira waliojiunga CHADEMA watoa ufafanuzi...
Kumbe sio watoto wa Wasira bana.
Kwani wewe hujui kusoma..Ni watoto wa WASIRA...George Wasira
Kumbe sio Steven Wasira.
Ritz, hivi una matatizo gani wewe? Kweli JF imekuwa kama kokoro...Hakuna mahali walisema kuwa ni watoto wa Steven...
Asante sana Esther Wasira 0655 048797 kwa ufafanuzi
![]()
thank GOD hawajafanana na baba yao mdogo! lol!
Umeona eeh! I can't imagine wangekuwa vipi! BTT. Huyu ba'mdogo alikuwa upinzani na aliukwaa ubunge kwa ticket ya NCCR MAGEUZI kabla hajarudi SISIEM.
Kwa vyovyote vile utakuwa unatamani uwanyang'anye ubini wa Wassira hao watoto ili uhalilishe kutokuwepo uhusiano kati yao na Steven Wassira (Mb). Bahati mbaya kwako, hilo lilishapangwa na Mwenyezi Mungu kuwa hawa watoto baba yao mdogo ni Steven Wassira (Mb).Kumbe sio watoto wa Wasira bana.