Mbona anafanana na binti machozi?
ni binam yao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona anafanana na binti machozi?
Hata kwa muonekano wa sura wanaonesha tu kuwa si wa kwake wa kuzaa bana................
kaka soma thread utafakari kwanza ndio uanze kudondosha pumbaKumbe sio watoto wa Wasira bana.
Nape sawa na kichuguu, Ester sawa na Mlima Kilimanjaro, hahahaaaaaaaaaaaaaaaaahii reference ya nape uliyoitoa imenichefua .... intake radhi
Yeah, ni mwiba sana kwa CCM, ana uwezo mkubwa sanaNdio maana mzee wake alianza kumkana mapema nahisi anamjua vizuri.
Ameelezea pia kuwa rushwa katika ajira kwa maana ya kujuana ni kikwazo pia cha maendeleo ya vijana kwamba kazi zinatangazwa kama formality lakini watu walishapatikana. Hii inafanya vijana wasio na brains kushika nafasi za kazi wasioziweza wakati wale wanye brains wapo mitaani.
Hapo kwenye red amenigusa sana, ukiweza kubadilisha hiyo, hakika kuna ajira nyingi sana zitakuwepo, hasa kwa hawa wanoitwa Expatriates. We real need changes in this country, thank u Esther!!
sasa ni watoto wa nani? nadhani ungesema "kumbe sio watoto wa Stephen bana"Kumbe sio watoto wa Wasira bana.