Watoto waanza kumjibu Diamond, wamwambia asisubiri July mpaka January wao wako mgongoni mwake mpaka akimbie Fani

Watoto waanza kumjibu Diamond, wamwambia asisubiri July mpaka January wao wako mgongoni mwake mpaka akimbie Fani

Walikuwepo wasanii wa msimu kama huyo dogo lakini hawakuweza kuipoteza almas, sasa na yeye nampa miezi hii mpaka December tu atakuwa asharudi kugongea ugoro na k vant
 
Hivi Wabongo mbona huwa mumesubiri sana kwa hamu anguko la Diamond, jamaa kawakosea nini, ni msanii mzuri sana na tunapenda kazi zake ukanda huu wa Afrika.
 
Alihama na aliyefungiwa na Tff so acha watoto wampelekee moto hasa huyu toto Mbaaadiiiii sio mchezoo
 
Hivi Wabongo mbona huwa mumesubiri sana kwa hamu anguko la Diamond, jamaa kawakosea nini, ni msanii mzuri sana na tunapenda kazi zake ukanda huu wa Afrika.
Mimi pia huwa najiuliza sana sijui kawakosea nini jamani halafu wakati uo uo wanapenda mziki wa bongo ufike mbali bila kuwapa support hao wasanii


cocastic
 
Mimi pia huwa najiuliza sana sijui kawakosea nini jamani halafu wakati uo uo wanapenda mziki wa bongo ufike mbali bila kuwapa support hao wasanii


cocastic

Diamond anasubiriwa Uganda kwa hamu Julai 14, ukiskliza redio za Waganda au hata Kenya au ukanda wote, ngoma za Diamond huchezwa sana, kuna kipindi nilikua Sudan Kusini aisei jamaa wanapenda sana nyimbo zake, ila Tanzania yaani Wabongo kwa majungu na matusi sijui jamaa kawakosea nini haswa.
 
Back
Top Bottom