Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila mm sijakuelew kwakwel maana unavyondik
Ni jukumu la mzazi kumfundisha mtoto waje maadili ya dini yake mapema, hapo tatizo lipo wapi? Wewe wa kwako usmfunike shida ipo wapi hapo kama sio nongwa na chuki tu inakusumbuaAkili finyu bwana? Hao watoto wadogo???
Ni sawa sawa uwe unatetea child pornography kwa kuniletea adult pornography....na hao je?😳😳😳 cjakataa wanawake watu wazima kuvaa hijab bali watoto
Ila mm sijakuelew kwakwel maana unavyondik
Hata majibu yako inaonekana kabisa ni mtu ambae hujastaarabika kabisa ndii hii mitandao inafanya kila mtu abwabwaje just grow upWewe unajua? Umetoa evidence yoyote hijab kutajwa kw Quran au we ndo unakurupuka tu? Kapige puchu acha watu wazima waendelee na mada
Ukistaajabu ya musa utayaona ya firauni
Mwenyewe kuandika hujui unakuja kupangia watu namna ya kushape watoto wao
Jinga moja
Yaani tangia Kikwete aruhusu wazazi wa kiislamu watoto wao wawavalishe hijab basi watoto wadogo wengine hata kutembea mtu amemvalisha hijab na ya kubana kabisa na joto hili😳😳😳 kwanza shule za serikali viishilio vya dini haviruhusiwi km mkufu etc lakini bado hawa wamekazana. Ujinga wa wap huu?
Dini iwe yako na umuache mwanamke mtu mzima aamue kuvaa huo ushungi; unaanzaje to impose mtoto mdogo this? Waafrika wengi wajinga na hata dini yenyewe hawaielewi; kwana hijab au hata niqab hazijatajwa popote kw Quran; tena Niqab, Burka or Ninja ya Taliban ndo hazihusiani kabisa na Uislamu bali ni mautamaduni ya watu waishayo kw janga uko kuwalinda macho na nyuso kw gharika la vumbi ila cc waafrika km kawa kuiga tu ni sawa tuvae makoti mazito na joto hili.
Pili hijab pia haitajwi bali Quran imesema kuvaa vizuri au dress modestly which naweza kuelewa kuvaa nguo isiyo chini ya magoti, nguo ya kubana, mipasuo, kuwa kifua wazi, top, bikini etc ila km kawa hijab imekuja ila ni utamaduni hadi Saudi Arabia imeruhusu wanawake wasivae hijab km hawataki na haiwalazimishi tena km Iran au Afghanistan ila kuna mizazi mijinga tu italazimisha watoto wavae.
Niulize swali kwa wanaume walionyooka; ivi mwanamke akipita unaconcentrate kw nywele au matiti, makalio, hips, mapaja au uso? Yaani mdada akivaa hijab na uku chini bikini italeta diff gan; km iyo haitoshi nani anaweza mtaman mtoto mdogo hata akiwa uchi unless ni pedophile tu?![]()
Jinga jinga moja...Jinga mbwa we; basi kwa logic yako wazazi wanaowabaka watoto wao waendelee coz ni watoto zao. Sina muda wa kuanza kuingilia malezi nimetoa comment tu; that being said km cjui kuandika acha kilichokuwasha mpk kujibu nini km sio nyege?? Kajambe kushoto
Nyoko;mb kuna topic nyingi tu watu zinawawasha na hata haziwahusu. Haimaniishi kwa malezi pia wazazi hawakoseiHijabu anaveshwa mtoto wa mtu mwingine halafu mtu Baki anabaki anateseka, maajabu sana.
Dunia iko na watu wengi mno! sidhani kama unamudu kuwaendesha vile wewe unataka.
Potezea, watoto wa mjini wanasema Fanya yako
Sijali kuhusu dini zozoteUDINI NDIO UNAOKUTESA MPUUZI,,
Mbona huoji picha BIKRA MARIA akiwa kabeba watoto na wamevaa hijab nyeupe kwenye picha?
Ukiachana na kashfa hebu usiwe unatoa quotes kuhusiana na dini yeyote ile ikiwa hauijui wala haujaisoma kiundani .Yaani tangia Kikwete aruhusu wazazi wa kiislamu watoto wao wawavalishe hijab basi watoto wadogo wengine hata kutembea mtu amemvalisha hijab na ya kubana kabisa na joto hili😳😳😳 kwanza shule za serikali viishilio vya dini haviruhusiwi km mkufu etc lakini bado hawa wamekazana. Ujinga wa wap huu?
Dini iwe yako na umuache mwanamke mtu mzima aamue kuvaa huo ushungi; unaanzaje to impose mtoto mdogo this? Waafrika wengi wajinga na hata dini yenyewe hawaielewi; kwana hijab au hata niqab hazijatajwa popote kw Quran; tena Niqab, Burka or Ninja ya Taliban ndo hazihusiani kabisa na Uislamu bali ni mautamaduni ya watu waishayo kw janga uko kuwalinda macho na nyuso kw gharika la vumbi ila cc waafrika km kawa kuiga tu ni sawa tuvae makoti mazito na joto hili.
Pili hijab pia haitajwi bali Quran imesema kuvaa vizuri au dress modestly which naweza kuelewa kuvaa nguo isiyo chini ya magoti, nguo ya kubana, mipasuo, kuwa kifua wazi, top, bikini etc ila km kawa hijab imekuja ila ni utamaduni hadi Saudi Arabia imeruhusu wanawake wasivae hijab km hawataki na haiwalazimishi tena km Iran au Afghanistan ila kuna mizazi mijinga tu italazimisha watoto wavae.
Niulize swali kwa wanaume walionyooka; ivi mwanamke akipita unaconcentrate kw nywele au matiti, makalio, hips, mapaja au uso? Yaani mdada akivaa hijab na uku chini bikini italeta diff gan; km iyo haitoshi nani anaweza mtaman mtoto mdogo hata akiwa uchi unless ni pedophile tu? Upuuzi mtupu hapo wanataka wamprogram uyo mtoto ili awe guilty akija kuvua.
Nyoko;mb kuna topic nyingi tu watu zinawawasha na hata haziwahusu. Haimaniishi kwa malezi pia wazazi hawakosei
Nitatoa maoni yoyote kuhusu dini yoyote sanasana km kuna upuuzi so usinitishie chochote. Cha ajabu ni midume ndo inatetea hijab zaidi ya wanawake waliokuwa programmed kuvaa😂😂 km Taliban au serikali ya Iran midume kulazimisha wanawake wavae hijab. Stupid kabisaUkiachana na kashfa hebu usiwe unatoa quotes kuhusiana na dini yeyote ile ikiwa hauijui wala haujaisoma kiundani .
Kingine unapokuwa una cririsize kdini tofauti uwe unaweka na ushahidi wa vifungu vya vitabu vyao wanavyoamini kwamba ni devine revelations au kauli za wale ambao hao waumini wanaamini ni mitume au manabii maana hao manabii na mitume huwa wanapokea devine knowledge .
Nikiquote kauli yako hii
"......kwana hijab au hata niqab hazijatajwa popote kwenye Quran......"
☝☝☝☝ kwenye quran sura an-nur aya ya 31 imeelezea vizuri jinsi gani wanatakiwa kujistiri waumini wa kike na mtume muhammad (swalalah alayhi salaam) ameelezea pia kwenye hadith na mifano ya namna ya kujistiri tunaiona kwa wake zake watoto wake wa kike pamoja na wake na watoto wa kike wa maswahaba zake (radhialahu anhu).
An-Nur 24:31
وَقُل لِّلْمُؤْمِنَٰتِ يَغْضُضْنَ مِنْ أَبْصَٰرِهِنَّ وَيَحْفَظْنَ فُرُوجَهُنَّ وَلَا يُبْدِينَ زِينَتَهُنَّ إِلَّا مَا ظَهَرَ مِنْهَاۖ وَلْيَضْرِبْنَ بِخُمُرِهِنَّ عَلَىٰ جُيُوبِهِنَّۖ وَلَا يُبْدِينَ زِينَتَهُنَّ إِلَّا لِبُعُولَتِهِنَّ أَوْ ءَابَآئِهِنَّ أَوْ ءَابَآءِ بُعُولَتِهِنَّ أَوْ أَبْنَآئِهِنَّ أَوْ أَبْنَآءِ بُعُولَتِهِنَّ أَوْ إِخْوَٰنِهِنَّ أَوْ بَنِىٓ إِخْوَٰنِهِنَّ أَوْ بَنِىٓ أَخَوَٰتِهِنَّ أَوْ نِسَآئِهِنَّ أَوْ مَا مَلَكَتْ أَيْمَٰنُهُنَّ أَوِ ٱلتَّٰبِعِينَ غَيْرِ أُو۟لِى ٱلْإِرْبَةِ مِنَ ٱلرِّجَالِ أَوِ ٱلطِّفْلِ ٱلَّذِينَ لَمْ يَظْهَرُوا۟ عَلَىٰ عَوْرَٰتِ ٱلنِّسَآءِۖ وَلَا يَضْرِبْنَ بِأَرْجُلِهِنَّ لِيُعْلَمَ مَا يُخْفِينَ مِن زِينَتِهِنَّۚ وَتُوبُوٓا۟ إِلَى ٱللَّهِ جَمِيعًا أَيُّهَ ٱلْمُؤْمِنُونَ لَعَلَّكُمْ تُفْلِحُونَ
Swahili - Ali Muhsin Al-Barwani
Na waambie Waumini wanawake wainamishe macho yao, na wazilinde tupu zao, wala wasionyeshe uzuri wao isipo kuwa unao dhihirika. Na waangushe shungi zao juu ya vifua vyao, wala wasionyeshe uzuri wao ila kwa waume zao, au baba zao, au baba wa waume zao, au watoto wao, au watoto wa waume zao, au kaka zao, au wana wa kaka zao, au wana wa dada zao, au wanawake wenzao, au iliyo wamiliki mikono yao ya kuume, au wafwasi wanaume wasio na matamanio, au watoto ambao hawajajua mambo yaliyo khusu uke. Wala wasipige chini miguu yao ili yajuulikane mapambo waliyo yaficha. Na tubuni nyote kwa Mwenyezi Mungu, enyi Waumini, ili mpate kufanikiwa.
#Nadhani aya iko wazi kabisa na KUHUSU WATOTO WADOGO SI LAZIMA KUWAVALISHA MAHIJAB (JILBAB) .
Ila pia sijajua kwasababu gani imekukera wao kuvalishwa hivyo though? Kama hawajalalamika sioni kama kuna shida hapo.
kwa nini wanawake tu?Na waambie Waumini wanawake wainamishe macho yao, na wazilinde tupu zao, wala wasionyeshe uzuri wao isipo kuwa unao dhihirika.