Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
WATOTO WAFUNDISHWE; NATURE INAMTAKA MHANGA NDIYE AJIHAMI KWANI YEYE NDIYE ANAYEPATA MADHARA
Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli
Katika Jambo lolote lazima uangalie Nafasi yako ni Ipi. Je wewe ni mshika mpini au mshika Makali. Je wewe ni Mhanga au unayesababisha madhara.
Hii itakusaidia kuishi Kwa tahadhari na Maisha yako yanauwezekano Mkubwa wa kuwa ya Amani.
Mhanga ni Mhusika au Mtu yeyote àmbaye anapatwa na madhara mengi au Makubwa hanayoonekana kirahisi ukilinganisha na aliyemsababishia.
Mfano no 1; kwèñye suala la mapenzi na Ngono. Mwanamke ni Mhanga huku mwanaume akiwa siô Mhanga. Mwanamke Kabla ya kuingia kwenye mapenzi au Kabla hujafanya Ngono lazima ujue Nafasi yako ni Ipi kwèñye huo mchezo.
Wewe ni Mhanga Kwa sababu baàda ya kufanya Mapenzi au ngono Matokeo mengi hutokea kwèñye mwili wako Kuliko Mwanaume hivyo lazima wewe ndiye uhakikishe unajihami.
Kama hautaki Mimba ni Bora ujikinge mwenyewe pasipo kumtegemea Mwanaume. Tumia uzazi wa mpàngo.
Madhara ya kutokujihami utaanza kuyaona baàda ya tukio kufanyika.
Kama vile ukipata Mimba ukatelekezwa atakayelaumiwa siô Mwanaume Bali wewe.
Majina Mabaya na kejeli za kîla namna zitakuwa juu yako upende usipende.
Nature ya huu ulimwengu haitambui utashi wa binadamu katika kutunga Sheria za kuwafanya Watu wawe waungwana. Nature haijui kuhusu kuwa Dini au Imani inakataza Jambo Fulani. Nature haijui hayo. Nature haijui kama serikali Kwa utashi waô walitunga Sheria za namna Ipi. Nature haidanganyi.
Nature inajua kuwa kûna Predator (mwindaji au MLA nyama) na Prey (kitoweo au anayeliwa) Nature inatambua kuna Mwenye Ñguvu na kûna dhaifu. Kûna watawala na watawaliwa.
Wale dhaifu lazima wajihami zaidi Kwa sababu nature haipo upande waô.
Unapokuwa katika ushirika na Mtu aliyekuzidi Ñguvu hata kama mnauhusiano wa namna Ipi chukua tahadhari kuwa wewe Nafasi yako ni Ipi wewe utabaki kuwa Mhanga tuu hivyo lazima ucheze kete zako Vizuri.
Wanawake hulalamika pale wanapoona wanakejeliwa kwèñye baadhi ya ishu hasahasa Mapenzi na ngono wakiitwa majina Mabaya, kama makahaba, Malaya, single mother na Kejeli nyinginyingi huku Wanaume wakiwa hawatukanwi.
Ndivyo ilivyo ukiwa upande wa chini lazima ukandamizwe. Hiyo ni Nature. Ndîo maana lazima umwambie Binti yako na kumfundisha ajue Nafasi Yake kuwa kama ni mwanamke basi atabaki kuwa mwanamke tuu na yupo upande wa Chini hivyo yeye ndiye atakuwa Mhanga.
Lazima umwambie ajitunze, ajiheshimu na asijilinganishe na Wanaume Kwa sababu Wakati yeye akibeba Mimba huyo aliyempa Mimba atakuwa akipewa Sifa kemkemu huku yeye akikejeliwa na kupondwa kuwa ni Malaya na asiyeweza kukataa.
Wakati aliyemzalisha na kumtelekeza akiendelea na Maisha yake Kwa amani na utukufu wewe Binti utakuwa unahangaika kutafuta Mwanaume Mwingine huku ukiitwa Majina ya dharau na Kejeli na kudhihakiwa kama single mother.
Wewe unayepatwa na madhara mengi ndiye unatakiwa ujihami zaidi kuliko kutegemea msaada wa Sheria zilizoundwa Kwa utashi wa binadamu àmbazo nyingi zîpo kinyume na Nature.
Hakuna Dini Wala serikali àmbayo utaweza kuzuia Mhanga asipatwe na maswahibu Kwa Yale aliyoyafanya.
KISIASA Huwezi kupambana na serikali (mwenye Ñguvu) hata kama serikali inakosea nature haitambui Jambo Hilo ila utashi wa binadamu àmbao wameunda Sheria za kidini na Kisiasa ndîo huweza kuona Makosa. Ikitokea unapambana na serikali elewa kuwa wewe ndiye utakuwa Mhanga na utaumia hata kama baadaye Watu waseme hiyo haitabadili ukweli kuwa utakuwa umeumizwa vilivyo.
Hivyo Jua Nafasi yako. Jitambue.
Haki Sawa lakini hazilingani.
Nawatakia Sabato Njema
Acha nipumzike sasa
Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa Sasa Dar es salaam
Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli
Katika Jambo lolote lazima uangalie Nafasi yako ni Ipi. Je wewe ni mshika mpini au mshika Makali. Je wewe ni Mhanga au unayesababisha madhara.
Hii itakusaidia kuishi Kwa tahadhari na Maisha yako yanauwezekano Mkubwa wa kuwa ya Amani.
Mhanga ni Mhusika au Mtu yeyote àmbaye anapatwa na madhara mengi au Makubwa hanayoonekana kirahisi ukilinganisha na aliyemsababishia.
Mfano no 1; kwèñye suala la mapenzi na Ngono. Mwanamke ni Mhanga huku mwanaume akiwa siô Mhanga. Mwanamke Kabla ya kuingia kwenye mapenzi au Kabla hujafanya Ngono lazima ujue Nafasi yako ni Ipi kwèñye huo mchezo.
Wewe ni Mhanga Kwa sababu baàda ya kufanya Mapenzi au ngono Matokeo mengi hutokea kwèñye mwili wako Kuliko Mwanaume hivyo lazima wewe ndiye uhakikishe unajihami.
Kama hautaki Mimba ni Bora ujikinge mwenyewe pasipo kumtegemea Mwanaume. Tumia uzazi wa mpàngo.
Madhara ya kutokujihami utaanza kuyaona baàda ya tukio kufanyika.
Kama vile ukipata Mimba ukatelekezwa atakayelaumiwa siô Mwanaume Bali wewe.
Majina Mabaya na kejeli za kîla namna zitakuwa juu yako upende usipende.
Nature ya huu ulimwengu haitambui utashi wa binadamu katika kutunga Sheria za kuwafanya Watu wawe waungwana. Nature haijui kuhusu kuwa Dini au Imani inakataza Jambo Fulani. Nature haijui hayo. Nature haijui kama serikali Kwa utashi waô walitunga Sheria za namna Ipi. Nature haidanganyi.
Nature inajua kuwa kûna Predator (mwindaji au MLA nyama) na Prey (kitoweo au anayeliwa) Nature inatambua kuna Mwenye Ñguvu na kûna dhaifu. Kûna watawala na watawaliwa.
Wale dhaifu lazima wajihami zaidi Kwa sababu nature haipo upande waô.
Unapokuwa katika ushirika na Mtu aliyekuzidi Ñguvu hata kama mnauhusiano wa namna Ipi chukua tahadhari kuwa wewe Nafasi yako ni Ipi wewe utabaki kuwa Mhanga tuu hivyo lazima ucheze kete zako Vizuri.
Wanawake hulalamika pale wanapoona wanakejeliwa kwèñye baadhi ya ishu hasahasa Mapenzi na ngono wakiitwa majina Mabaya, kama makahaba, Malaya, single mother na Kejeli nyinginyingi huku Wanaume wakiwa hawatukanwi.
Ndivyo ilivyo ukiwa upande wa chini lazima ukandamizwe. Hiyo ni Nature. Ndîo maana lazima umwambie Binti yako na kumfundisha ajue Nafasi Yake kuwa kama ni mwanamke basi atabaki kuwa mwanamke tuu na yupo upande wa Chini hivyo yeye ndiye atakuwa Mhanga.
Lazima umwambie ajitunze, ajiheshimu na asijilinganishe na Wanaume Kwa sababu Wakati yeye akibeba Mimba huyo aliyempa Mimba atakuwa akipewa Sifa kemkemu huku yeye akikejeliwa na kupondwa kuwa ni Malaya na asiyeweza kukataa.
Wakati aliyemzalisha na kumtelekeza akiendelea na Maisha yake Kwa amani na utukufu wewe Binti utakuwa unahangaika kutafuta Mwanaume Mwingine huku ukiitwa Majina ya dharau na Kejeli na kudhihakiwa kama single mother.
Wewe unayepatwa na madhara mengi ndiye unatakiwa ujihami zaidi kuliko kutegemea msaada wa Sheria zilizoundwa Kwa utashi wa binadamu àmbazo nyingi zîpo kinyume na Nature.
Hakuna Dini Wala serikali àmbayo utaweza kuzuia Mhanga asipatwe na maswahibu Kwa Yale aliyoyafanya.
KISIASA Huwezi kupambana na serikali (mwenye Ñguvu) hata kama serikali inakosea nature haitambui Jambo Hilo ila utashi wa binadamu àmbao wameunda Sheria za kidini na Kisiasa ndîo huweza kuona Makosa. Ikitokea unapambana na serikali elewa kuwa wewe ndiye utakuwa Mhanga na utaumia hata kama baadaye Watu waseme hiyo haitabadili ukweli kuwa utakuwa umeumizwa vilivyo.
Hivyo Jua Nafasi yako. Jitambue.
Haki Sawa lakini hazilingani.
Nawatakia Sabato Njema
Acha nipumzike sasa
Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa Sasa Dar es salaam