Watoto wafundishwe; nature inamtaka mhanga ajihami kwani ndiye anayepata madhara

Watoto wafundishwe; nature inamtaka mhanga ajihami kwani ndiye anayepata madhara

Kwèñye hii Dunia huo mfumo wa matriach upo Asilimia ngapi ukilinganisha na patriach?

Unàtaka kusema kwèñye ngono Mwanamke siô Mhanga ila amefanywa kuwa Mhanga??
Yah ndo mana we unaona unamkomoa wakti yeye anaona normal! We hujiulizikwa nn mwanaume na nguvu za kiume ni big topic?. We hujui kama ngono anasifiwa zaidi mwanaume kwa sabab ya ideology inamtaka yeye kuwa superior na nondo kwenye kila kitu?
 
Yah ndo mana we unaona unamkomoa wakti yeye anaona normal! We hujiulizikwa nn mwanaume na nguvu za kiume ni big topic?. We hujui kama ngono anasifiwa zaidi mwanaume kwa sabab ya ideology inamtaka yeye kuwa superior na nondo kwenye kila kitu?

Mchakato anasifiwa Mwanaume ila matokeo analaumiwa Mwanamke
 
Yah ndo mana we unaona unamkomoa wakti yeye anaona normal! We hujiulizikwa nn mwanaume na nguvu za kiume ni big topic?. We hujui kama ngono anasifiwa zaidi mwanaume kwa sabab ya ideology inamtaka yeye kuwa superior na nondo kwenye kila kitu?

Mchakato anasifiwa Mwanaume ila matokeo analaumiwa Mwanamke
 
mhanga maana yake umeathiriwa, iwe kidogo au sana,

kwahiyo inategemea,

hapo kwa wanawake, mimba zisizotarajiwa zinaathiri wote mwanamke na mwanaume, ndo maana wanaume wanakimbia wanaogopa kulea

hapo kwenye serikali pagumu, kama ukipambana na serikali ukaweza kusababisha muamko fulani kwa watu basi umeiathiri
(hapo kwenye serikali pagumu, kama ukipambana na serikali ukaweza kusababisha muamko fulani kwa watu basi umeiathiri)
Je wewe ndugu ulishawahi kufanya hivyo, 👆
Mimi tayari in positive Way
 
mhanga maana yake umeathiriwa, iwe kidogo au sana,

kwahiyo inategemea,

hapo kwa wanawake, mimba zisizotarajiwa zinaathiri wote mwanamke na mwanaume, ndo maana wanaume wanakimbia wanaogopa kulea

hapo kwenye serikali pagumu, kama ukipambana na serikali ukaweza kusababisha muamko fulani kwa watu basi umeiathiri
(hapo kwenye serikali pagumu, kama ukipambana na serikali ukaweza kusababisha muamko fulani kwa watu basi umeiathiri)
Je wewe ndugu ulishawahi kufanya hivyo, 👆
Mimi tayari in positive Way
 
Mchakato anasifiwa Mwanaume ila matokeo analaumiwa Mwanamke
Huoni hapo ni binary oppositions?
Yani kulaumiwa kinyume chake ni kusifiwa?

Jinsia/ idea inayoelezea jinsia hizi mbili imebebeshwa pande mbili zilizo na kinyume. Yani mwanaume halii kirahisi, mkomavu, shupavu, kakomaa, kauzu haringi, hadeki etcetera
Alafu mwanamke analia kirahisi, hajakomaa yani laini laini ndo mzuri, mwanamke ua, mrembo, anaringa na kunata, kudeka deka etcetera

Ushajiuliza kwa nn?
 
Ndio mana nasema wewe unashindwa kutoa gepu lililopo katika hivyo viwili katika maelezo yako. Fanya comparative studies kwanza mana mifumo inayosababisha mwanamke kuwa muhanga sio nature ni mifumo yenye idea za man muscular, ukienda kwenye mifumo ya matriach unaweza kuta mambo tofauti. Na hapo tutaanza kuuliza maswali kwqmba nature ni nn na nurture ni nn
Tupe tofauti ya nature na nurture
 
Mantiki ni kwa sababu y idea ya mfumo mzima ulivyo. Hii kitu sio nature, ukitaka upruv hili fanya kitu kinachoitwa comparative study

Nature ndîo Iko hivyo.
Kwèñye ngono mwanamke ndiye Mhanga tangu Dunia inaumbwa.

Ndîo maana hata sheria za nchi na Dini zîpo wazi kwèñye Hilo.
Mfano, Mwanamke ndiye anabakwa lakini Mwanaume habakwi.

Mwanamke ndiye anayetelekezewa Watoto na siô Mwanaume.
 
Huoni hapo ni binary oppositions?
Yani kulaumiwa kinyume chake ni kusifiwa?

Jinsia/ idea inayoelezea jinsia hizi mbili imebebeshwa pande mbili zilizo na kinyume. Yani mwanaume halii kirahisi, mkomavu, shupavu, kakomaa, kauzu haringi, hadeki etcetera
Alafu mwanamke analia kirahisi, hajakomaa yani laini laini ndo mzuri, mwanamke ua, mrembo, anaringa na kunata, kudeka deka etcetera

Ushajiuliza kwa nn?

Nature haitambui Lawama au kulaumiwa.
Mwenye Ñguvu ndiye anastahili kuishi na kutawala.

Huwezi mlaumu Simba Kwa kumla Au kumjeruhi Swala
Hiyo ni nature.
Huwezi mlaumu Mwanaume Kwa kumwonea Mwanamke hiyo ni nature

Ukianza kumlaumu au kumpa Mafunzo ndîo unaingia kwèñye nurture
 
Nature haitambui Lawama au kulaumiwa.
Mwenye Ñguvu ndiye anastahili kuishi na kutawala.

Huwezi mlaumu Simba Kwa kumla Au kumjeruhi Swala
Hiyo ni nature.
Huwezi mlaumu Mwanaume Kwa kumwonea Mwanamke hiyo ni nature

Ukianza kumlaumu au kumpa Mafunzo ndîo unaingia kwèñye nurture
Tunarudi palepale soma vizuri kuhusu nature na nurture. Ukipata muda mzur soma pia kuhusu identity
 
WATOTO WAFUNDISHWE; NATURE INAMTAKA MHANGA NDIYE AJIHAMI KWANI YEYE NDIYE ANAYEPATA MADHARA

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli

Katika Jambo lolote lazima uangalie Nafasi yako ni Ipi. Je wewe ni mshika mpini au mshika Makali. Je wewe ni Mhanga au unayesababisha madhara.
Hii itakusaidia kuishi Kwa tahadhari na Maisha yako yanauwezekano Mkubwa wa kuwa ya Amani.

Mhanga ni Mhusika au Mtu yeyote àmbaye anapatwa na madhara mengi au Makubwa hanayoonekana kirahisi ukilinganisha na aliyemsababishia.

Mfano no 1; kwèñye suala la mapenzi na Ngono. Mwanamke ni Mhanga huku mwanaume akiwa siô Mhanga. Mwanamke Kabla ya kuingia kwenye mapenzi au Kabla hujafanya Ngono lazima ujue Nafasi yako ni Ipi kwèñye huo mchezo.
Wewe ni Mhanga Kwa sababu baàda ya kufanya Mapenzi au ngono Matokeo mengi hutokea kwèñye mwili wako Kuliko Mwanaume hivyo lazima wewe ndiye uhakikishe unajihami.

Kama hautaki Mimba ni Bora ujikinge mwenyewe pasipo kumtegemea Mwanaume. Tumia uzazi wa mpàngo.

Madhara ya kutokujihami utaanza kuyaona baàda ya tukio kufanyika.
Kama vile ukipata Mimba ukatelekezwa atakayelaumiwa siô Mwanaume Bali wewe.

Majina Mabaya na kejeli za kîla namna zitakuwa juu yako upende usipende.

Nature ya huu ulimwengu haitambui utashi wa binadamu katika kutunga Sheria za kuwafanya Watu wawe waungwana. Nature haijui kuhusu kuwa Dini au Imani inakataza Jambo Fulani. Nature haijui hayo. Nature haijui kama serikali Kwa utashi waô walitunga Sheria za namna Ipi. Nature haidanganyi.

Nature inajua kuwa kûna Predator (mwindaji au MLA nyama) na Prey (kitoweo au anayeliwa) Nature inatambua kuna Mwenye Ñguvu na kûna dhaifu. Kûna watawala na watawaliwa.

Wale dhaifu lazima wajihami zaidi Kwa sababu nature haipo upande waô.

Unapokuwa katika ushirika na Mtu aliyekuzidi Ñguvu hata kama mnauhusiano wa namna Ipi chukua tahadhari kuwa wewe Nafasi yako ni Ipi wewe utabaki kuwa Mhanga tuu hivyo lazima ucheze kete zako Vizuri.

Wanawake hulalamika pale wanapoona wanakejeliwa kwèñye baadhi ya ishu hasahasa Mapenzi na ngono wakiitwa majina Mabaya, kama makahaba, Malaya, single mother na Kejeli nyinginyingi huku Wanaume wakiwa hawatukanwi.

Ndivyo ilivyo ukiwa upande wa chini lazima ukandamizwe. Hiyo ni Nature. Ndîo maana lazima umwambie Binti yako na kumfundisha ajue Nafasi Yake kuwa kama ni mwanamke basi atabaki kuwa mwanamke tuu na yupo upande wa Chini hivyo yeye ndiye atakuwa Mhanga.

Lazima umwambie ajitunze, ajiheshimu na asijilinganishe na Wanaume Kwa sababu Wakati yeye akibeba Mimba huyo aliyempa Mimba atakuwa akipewa Sifa kemkemu huku yeye akikejeliwa na kupondwa kuwa ni Malaya na asiyeweza kukataa.

Wakati aliyemzalisha na kumtelekeza akiendelea na Maisha yake Kwa amani na utukufu wewe Binti utakuwa unahangaika kutafuta Mwanaume Mwingine huku ukiitwa Majina ya dharau na Kejeli na kudhihakiwa kama single mother.

Wewe unayepatwa na madhara mengi ndiye unatakiwa ujihami zaidi kuliko kutegemea msaada wa Sheria zilizoundwa Kwa utashi wa binadamu àmbazo nyingi zîpo kinyume na Nature.

Hakuna Dini Wala serikali àmbayo utaweza kuzuia Mhanga asipatwe na maswahibu Kwa Yale aliyoyafanya.

KISIASA Huwezi kupambana na serikali (mwenye Ñguvu) hata kama serikali inakosea nature haitambui Jambo Hilo ila utashi wa binadamu àmbao wameunda Sheria za kidini na Kisiasa ndîo huweza kuona Makosa. Ikitokea unapambana na serikali elewa kuwa wewe ndiye utakuwa Mhanga na utaumia hata kama baadaye Watu waseme hiyo haitabadili ukweli kuwa utakuwa umeumizwa vilivyo.

Hivyo Jua Nafasi yako. Jitambue.
Haki Sawa lakini hazilingani.

Nawatakia Sabato Njema

Acha nipumzike sasa

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa Sasa Dar es salaam
Acha kujitoa anza wewe
 
Expression ya mwanaume ni mtu wa aina gani nje ya viungo vya mwili ni nurture
Nurture ipo applicable kwa mwanaume tu? kama ipo applicable kwa jinsia zote mbili mimi naona mtoa mada yupo sahihi. Mwanamke kuwa victim katika masuala aliyoyaongelea hii ni nature sio nurture mfano mimba kibaiolojia ina athari za moja kwa moja kwa mwanamke ukilinganisha na mwanaume.
 
Back
Top Bottom