Kalaga Baho Nongwa
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 9,953
- 23,150
Yah ndo mana we unaona unamkomoa wakti yeye anaona normal! We hujiulizikwa nn mwanaume na nguvu za kiume ni big topic?. We hujui kama ngono anasifiwa zaidi mwanaume kwa sabab ya ideology inamtaka yeye kuwa superior na nondo kwenye kila kitu?Kwèñye hii Dunia huo mfumo wa matriach upo Asilimia ngapi ukilinganisha na patriach?
Unàtaka kusema kwèñye ngono Mwanamke siô Mhanga ila amefanywa kuwa Mhanga??