Watoto wafundishwe; nature inamtaka mhanga ajihami kwani ndiye anayepata madhara

Watoto wafundishwe; nature inamtaka mhanga ajihami kwani ndiye anayepata madhara

Expression ya mwanaume ni mtu wa aina gani nje ya viungo vya mwili ni nurture
Mimi naona nature ndio inaichora iyo nurture, mfano suala la mwanaume kuonekana ni dominant kwa mwanamke hali ipo ivyo ivyo mpaka kwa wanyama ambao hawana utashi wa kibinadamu. Bado mtoa mada yupo sahihi kinachoamua nani victim ni nature.
 
Kwanza kabisa tujifunze kutofautisha kati ya nature na social constructs ukweli ni kwamba mwanamke siyo mhanga ila amefanywa kuwa mhanga na kwa bahati nzuri au mbaya hiyo ilifanya kazi kwenye ancient na medieval eras, ila kwenye hii modern era matokeo yake ndio haya tunayaona wanaume wanalalamika kwamba wanakosa wake wema wa kuoa yani ndoa wanazihitaji ila wanawake wa kuoa ndioa shida, kwa sababu kwa mujibu wao kumejaa ma single mother na malaya hadi kufikia hatua wanaume wengi kujifariji na ile kauli yao ya "kataa ndoa ni utapeli" ilihali wengi tunajua hiyo ni "sizitaki mbichi hizi" tu

Na kuhusu hiyo hoja yako it doesn't always work that way kuna mambo unaweza ukajiona wewe siyo mhanga kwa wakati huo ila baada ya muda mrefu ndio uhanga wako unaanza kuonekana, kwa mfano binadamu anapoyachafua mazingira kwa wakati huo mazingira ndio yanaweza kuonekana mhanga ila in the long run wote tunajua madhara ya mazingira machafu kwa binadamu kwahiyo mwisho wa siku huo uchafuzi alioufanya binadamu utaanza kumrudia mwenyewe, na katika muktadha huo hatuwezi kuyaambia eti mazingira yajitunze yenyewe bali binadamu ndio anasisitizwa ayatunze mazingira sababu mwisho wa siku yeye ndiye anahitaji mazingira yawe masafi ili aweze kuishi

Same applies kwenye muktadha wa mahusiano mwanzoni inaweza kuonekana kama mwanamke ndiye mhanga wa ngono kwa sababu ya hizo social constructs na gender stereotype, ila in the long run wanaokuja kupata shida ni wanaume pale watakapofikia wakati wa kuoa na kukosa wanawake wenye sifa wanazozitaka sababu wengi walishawachezea huko nyuma, kwa kisingizio kwamba wanaopata madhara ni wanawake na siyo wao na matokeo yake wanajikuta na options mbili tu either waoe wanawake hao hao waliopo au wasioe kabisa jambo ambalo ni gumu kwao

Japo najua kwenye maandishi huwa mnajifariji kwamba mnaweza ku hit and run kisha mkitaka kuoa mnaoa vibinti vibichi ila tukija kwenye uhalisia wote tunaona ndoa zinazofungwa kila siku wengi wanaoolewa ni hao hao so called masingle mother na malaya, na wenyewe huwa mnajifariji na kauli kwamba "masingle mother huwa wako matured na wanajua nini maana ya maisha" mara sijui "wanawake watu wazima ndio wanajua nini wanaume wanataka hivi vibinti ni visumbufu tu" na kauli nyingine kama hizo, na ukizingatia mabinti wa siku hizi nao hawataki kuolewa at their prime age wanasubiri wawe broke au rejects ndio waanze kutafuta ndoa so hapo unadhani hasara ni kwa mwanamke tu

Ndio maana mara nyingi huwa nawaambia wanaume kwa dunia ya sasa ili kurudisha maadili kwenye jamii ni either wote wanaume na wanawake wakubali kujitunza ili wanaume waje kupata wake wema wa kuoa, au wote muendelee na uzinzi na uasherati halafu mwisho wa siku mje muoe hao hao wanawake ambao mnadai ni wahanga chaguo ni lenu sababu mwisho wa siku wanaume ndio wanaoangalia tabia njema kwenye ndoa na siyo wanawake, kwahiyo ifike mahali tuache kujifariji kwa kauli mufilisi za mfumo dume ambazo hazifanyi kazi tena kwenye dunia ya leo bali zinalazimishwa tu na ifike mahali tuachane na hizi social constructs na kusingizia kwamba ni nature
 
Kwanza kabisa tujifunze kutofautisha kati ya nature na social constructs ukweli ni kwamba mwanamke siyo mhanga ila amefanywa kuwa mhanga na kwa bahati nzuri au mbaya hiyo ilifanya kazi kwenye ancient na medieval eras, ila kwenye hii modern era matokeo yake ndio haya tunayaona wanaume wanalalamika kwamba wanakosa wake wema wa kuoa yani ndoa wanazihitaji ila wanawake wa kuoa ndioa shida, kwa sababu kwa mujibu wao kumejaa ma single mother na malaya hadi kufikia hatua wanaume wengi kujifariji na ile kauli yao ya "kataa ndoa ni utapeli" ilihali wengi tunajua hiyo ni "sizitaki mbichi hizi" tu

Na kuhusu hiyo hoja yako it doesn't always work that way kuna mambo unaweza ukajiona wewe siyo mhanga kwa wakati huo ila baada ya muda mrefu ndio uhanga wako unaanza kuonekana, kwa mfano binadamu anapoyachafua mazingira kwa wakati huo mazingira ndio yanaweza kuonekana mhanga ila in the long run wote tunajua madhara ya mazingira machafu kwa binadamu kwahiyo mwisho wa siku huo uchafuzi alioufanya binadamu utaanza kumrudia mwenyewe, na katika muktadha huo hatuwezi kuyaambia eti mazingira yajitunze yenyewe bali binadamu ndio anasisitizwa ayatunze mazingira sababu mwisho wa siku yeye ndiye anahitaji mazingira yawe masafi ili aweze kuishi

Same applies kwenye muktadha wa mahusiano mwanzoni inaweza kuonekana kama mwanamke ndiye mhanga wa ngono kwa sababu ya hizo social constructs na gender stereotype, ila in the long run wanaokuja kupata shida ni wanaume pale watakapofikia wakati wa kuoa na kukosa wanawake wenye sifa wanazozitaka sababu wengi walishawachezea huko nyuma, kwa kisingizio kwamba wanaopata madhara ni wanawake na siyo wao na matokeo yake wanajikuta na options mbili tu either waoe wanawake hao hao waliopo au wasioe kabisa jambo ambalo ni gumu kwao

Japo najua kwenye maandishi huwa mnajifariji kwamba mnaweza ku hit and run kisha mkitaka kuoa mnaoa vibinti vibichi ila tukija kwenye uhalisia wote tunaona ndoa zinazofungwa kila siku wengi wanaoolewa ni hao hao so called masingle mother na malaya, na wenyewe huwa mnajifariji na kauli kwamba "masingle mother huwa wako matured na wanajua nini maana ya maisha" mara sijui "wanawake watu wazima ndio wanajua nini wanaume wanataka hivi vibinti ni visumbufu tu" na kauli nyingine kama hizo, na ukizingatia mabinti wa siku hizi nao hawataki kuolewa at their prime age wanasubiri wawe broke au rejects ndio waanze kutafuta ndoa so hapo unadhani hasara ni kwa mwanamke tu

Ndio maana mara nyingi huwa nawaambia wanaume kwa dunia ya sasa ili kurudisha maadili kwenye jamii ni either wote wanaume na wanawake wakubali kujitunza ili wanaume waje kupata wake wema wa kuoa, au wote muendelee na uzinzi na uasherati halafu mwisho wa siku mje muoe hao hao wanawake ambao mnadai ni wahanga chaguo ni lenu sababu mwisho wa siku wanaume ndio wanaoangalia tabia njema kwenye ndoa na siyo wanawake, kwahiyo ifike mahali tuache kujifariji kwa kauli mufilisi za mfumo dume ambazo hazifanyi kazi tena kwenye dunia ya leo bali zinalazimishwa tu na ifike mahali tuachane na hizi social constructs na kusingizia kwamba ni nature
Mwanamke ni muhanga ndio maana sheria zinawalinda zaidi. Nguvu mnayofikiri mnayo ni illusion tu ambayo imetokana na kulindwa na mfumo

Hauwezi kusema ni social constracts kwa sababu iyo ipo mpaka kwa wanyama ambao hawana utashi wa kibinadamu.

Ni victim status mliyonayo ndio inawanufaisha kupitia kuonewa huruma pamoja na mifumo kuwapa ulinzi na upendeleo. You are just delusional about your stregth but in reality you are not strong as you think you are.

Tukiwaondolea hizi privileges zote mnazopata kutokana na victim status mlioyonayo ili nanyi mkabiliane na ulimwengu mkiwa jeshi la mtu mmoja kama ilivyo mwanaume, wengi wenu hamtaweza.
 
Mwanamke ni muhanga ndio maana sheria zinawalinda zaidi. Nguvu mnayofikiri mnayo ni illusion tu ambayo imetokana na kulindwa na mfumo

Hauwezi kusema ni social constracts kwa sababu iyo ipo mpaka kwa wanyama ambao hawana utashi wa kibinadamu.

Ni victim status mliyonayo ndio inawanufaisha kupitia kuonewa huruma pamoja na mifumo kuwapa ulinzi na upendeleo. You are just delusional about your stregth but in reality you are not strong as you think you are.

Tukiwaondolea hizi privileges zote mnazopata kutokana na victim status mlioyonayo ili nanyi mkabiliane na ulimwengu mkiwa jeshi la mtu mmoja kama ilivyo mwanaume, wengi wenu hamtaweza.
Hivi kwanza ni nani aliyesema kwamba mwanamke ni physically strong kama mwanaume au ni strength ipi hiyo unayoizungumzia, halafu hadi kufikia hatua vyombo vya sheria vikaona kwamba mwanamke anastahili kutetewa basi ujue ni kweli alikuwa anakandamizwa, wanaume hawatetewi na sheria lakini toka enzi na enzi wamekuwa wakitetewa na tamaduni ambazo zimekuwa zikiwakandamiza wanawake na kuwanufaisha wao huku wakitumia physical strength yao ambayo wanajua wanawake hawana

Mwanamke nguvu yake haiko kwenye physical appearance ila iko kwenye angle nyingine na ukitaka kuijua nguvu ya mwanamke, basi itokee tu siku wanawake wote duniani waamue kwamba hakuna kumfanyia mwanaume yeyote majukumu ya nyumbani wala hakuna mwanamke kuajiriwa kufanya majukumu ya nyumbani, yani kwa kifupi kila mwanaume ahangaikie nyumba yake mwenyewe au kama anaajiri mfanyakazi wa ndani basi awe mwanaume mwenzake

Au itokee wanawake waamue kwamba wakizaa watoto wakae nao kwa miezi sita tu ule muda ambao mtoto anahitaji maziwa ya mama baada ya hapo wawapeleke kwa baba zao wachukue usukani kuanzia hapo, and mind you hapo wamekubaliana hakuna kuajiri wala kumpa mwanamke mwingine akulelee yani unatakiwa ulee mwenyewe na wakati huo huo pesa unatafuta kama kawaida, yani kama tu wanavyofanya baadhi ya single mothers halafu baada ya hapo mtatukuta tumekaa pale mje tuongee lugha moja maana kwa sasa naona kama mnaongea kujifurahisha tu
 
Hivi kwanza ni nani aliyesema kwamba mwanamke ni physically strong kama mwanaume au ni strength ipi hiyo unayoizungumzia, halafu hadi kufikia hatua vyombo vya sheria vikaona kwamba mwanamke anastahili kutetewa basi ujue ni kweli alikuwa anakandamizwa, wanaume hawatetewi na sheria lakini toka enzi na enzi wamekuwa wakitetewa na tamaduni ambazo zimekuwa zikiwakandamiza wanawake na kuwanufaisha wao huku wakitumia physical strength yao ambayo wanajua wanawake hawana

Mwanamke nguvu yake haiko kwenye physical appearance ila iko kwenye angle nyingine na ukitaka kuijua nguvu ya mwanamke, basi itokee tu siku wanawake wote duniani waamue kwamba hakuna kumfanyia mwanaume yeyote majukumu ya nyumbani wala hakuna mwanamke kuajiriwa kufanya majukumu ya nyumbani, yani kwa kifupi kila mwanaume ahangaikie nyumba yake mwenyewe au kama anaajiri mfanyakazi wa ndani basi awe mwanaume mwenzake

Au itokee wanawake waamue kwamba wakizaa watoto wakae nao kwa miezi sita tu ule muda ambao mtoto anahitaji maziwa ya mama baada ya hapo wawapeleke kwa baba zao wachukue usukani kuanzia hapo, and mind you hapo wamekubaliana hakuna kuajiri wala kumpa mwanamke mwingine akulelee yani unatakiwa ulee mwenyewe na wakati huo huo pesa unatafuta kama kawaida, yani kama tu wanavyofanya baadhi ya single mothers halafu baada ya hapo mtatukuta tumekaa pale mje tuongee lugha moja maana kwa sasa naona kama mnaongea kujifurahisha tu
Kila jinsia ina nguvu na udhaifu wake. Nguvu ya mwanaume ni physique na nguvu ya mwanamke ni ushawishi wa ngono. Mwanaume katungiwa sheria za kudhibiti nguvu yake ila kwa upande wa mwanamke hakuna sheria yoyote ya kudhibiti nguvu yake labda uko kwenye nchi za kiarabu.

Tukisema tuondoe sheria na taratibu zote tuishi kwa mfumo wa survival of the fittest, mwanamke hataweza kwenda jino kwa jino na mwanaume. Ndio maana ninakwambia mwanamke ni victim.

Katika interractions za mwanaume na mwanamke, mwanaume anabanwa na mfumo kwaiyo akiweza kuu-outsmart mfumo anabaki salama lakini mwanamke anabanwa na nature ambapo usalama wake ni kuwa katika nafasi sahihi kwa muda sahihi kulingana na nature inavyotaka. Akibugi atalindwa na mfumo lakini nature bado itamuhukumu.
 
Back
Top Bottom