Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo ana bahati sana ingekuwa ndio mimi nimekuta anapiga mtoto hivyo namshushia kipigo cha mbwa mwizi ajifunze asirudie next time.Nimeshindwa kuiangalia video yote aisee,
Nina inami huyo Mama pamoja na aliyerekodi hiyo clip watakamatwa na kuchukuliwa hatua kali.
Ni wazi kabisa mtu ambaye hajawahi kupigwa na wazazi wake hawezi kuja kumpiga mtoto wake hata iweje.Hapana mzee,huyu akikua atakuwa mtu mwenye chuki sana na wamama design ya huyo aliyemlea,akina junior ni special case.tunaowaponda akina junior,tulipigwa sana ila sio kwa kukanyagwa kichwa na kubamizwa chini,tena tukiwa na umri kati ya 8-14 maana huo ndio umri wenye kila aina ya wenge.sio hako ka malaika.
huyo dada ndio akina junior wenyewe sasa.
Hawakupigwa ndio maana hawajui namna ya kuadhibu,wanadhani unajipigia tu.
Mbeya ipi hiyo mkuu? Siyo tabia ya wanyakyusa, Wandali, Wanyiha au Wanyamwanga hii,labda ni tabia yamtu binafsi
Huyo sidhani kama ni mama yake mzazi.
Kuchukua video siyo vibaya kwa tukio kama hilo anaweza akawa house girl sasa hapo asingeweza kushindana na bosi wake lakini kwa ushahidi huo itasaidia kujua ukweli na muhusika kuchukuliwa hatua.Halafu huu ugonjwa wa kuchukua video matukio ya ajabu umeingia watu sana, kiasi mtu anaweza kuwa anaungua moto mtu yuko busy anarekodi.
Kuna moja wadada wanapigana, mmoja akakabwa, kashikwa kisawa sawa mpaka anaanza kurusha miguu, ishara ya kukata roho jitu linarekodi tu mpaka akatulia, kimyaaaa.
Sasa hapa lengo lilikiwa jema tu, kwamba "oneni anachofanya huyu mama" lakini mtoto ndio anateketea sasa.
AISEE hapo stress za baba anazibeba huyo kiumbe maskin ila mchukua video ni mafia nisingeweza kuvumilia hata sekunde moja
Kuchukua video siyo vibaya kwa tukio kama hilo anaweza akawa house girl sasa hapo asingeweza kushindana na bosi wake lakini kwa ushahidi huo itasaidia kujua ukweli na muhusika kuchukuliwa hatua.
Mm nawewe nani mwenye maarifa mafupi? Maana umedandia gari mbele lazima ugongwe tuUna maarifa kidogo sana mkuu.
Bado upo kizazi kinachoamini kwamba stereotype ya kabila flani wakiwa x basi hutakuja kumkuta mwenye Tabia Y.
Narudia tena una maarifa kidogo mnooo, Panua maarifa
Wewe unachukulia kwamba stereo type ikiwa ya kabila flani basi ni kila moja.Mm nawewe nani mwenye maarifa mafupi? Maana umedandia gari mbele lazima ugongwe tu
Ongezea, na Fimbo anayoitumia kumchapia huyo mtoto ni Fimbo ya kuulia nyoka, ni ile Fimbo kavu iliokauka tunayoiita gongoBora usiitazame du!! nimeumia sana, mtoto anainuliwa anabamizwa chini anakanyagwa kichwani
Kama ni hapa nchini, wanaharakati lazima watoe tamko na hata bunge liseme neno juu ya jambo hili