Watoto waliotelekezwa huwa wana bahati sana

Watoto waliotelekezwa huwa wana bahati sana

co fm

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2016
Posts
1,541
Reaction score
2,487
Habarini za humu wana jamii, I hope mmeamka vizuri sana leo pamoja na changamoto ya tozo katika taifa letu hapa Tanzania.

Kuna kautafiti kadogo nimekafanya na nimegundua kwamba asilimia kubwa sana ya watoto waliotelekezwa na baba zao huwa wanakismati sana katika maisha. Yaani hata kama sio kifedha ila kuna angle ambayo he/she is lucky kuliko wale ambao hawajatelekezwa.

Hii ni miongoni mwa mifano hai kabisa:-

Ni mshikaji wangu kabisa yaani toka anazaliwa mpaka leo ni mtu mzima hamjui baba yake yaani hata jina analotumia ni la babu yake kizaa mama yake, sasa huyu mwana tokea anasoma he was very bright na gifted, leo hii anafanya kazi Standard Charted Bank tena position nzuri at very young age na katika darasa lao yeye ndo kafanikiwa kupata kazi nzuri kama hiyo.

Kuna wengine mifano mingi tu

Ushauri: wanaume tusikatae mimba au watoto wakija baadae kufanikiwa utaona aibu kuomba hata msaada; na wanawake, mwanaume akikataa mimba au mtoto just mlee tu Mungu atamsaidia na kuwa sucessful baadae.
 
laana nazo hua hazimuachi mtu salama!

mtu anakataa mimba ya nje alafu ndani hola miaka nenda rudi!

mitihani ya dunia ni mingi sana!

Ni ujinga kukataa mtoto uliyemsababisha wewe, watu wa namna hii huwa wanakuja kujuta katika maisha yao. Mtoto hana hatia yeyote na hapaswi kuingizwa kwenye hatia isiyomhusu.
 
Habarini za humu wana jamii,i hope mmeamka vizuri sana leo pamoja na changamoto ya tozo katika taifa letu hapa Tanzania.

kuna kautafiti kadogo nimekafanya na nimegundua kwamba asilimia kubwa sana ya watoto waliotelekezwa na baba zao huwa wanakismati sana katika maisha.Yaani hata kama sio kifedha ila kuna angle ambayo he/she is lucky kuliko wale ambao hawajatelekezwa.

Hii ni miongoni mwa mifano hai kabisa:-
Ni mshikaji wangu kabisa yaani toka anazaliwa mpaka leo ni mtu mzima hamjui baba yake yaani hata jina analotumia ni la babu yake kizaa mama yake,sasa huyu mwana tokea anasoma he was very bright na gifted, leo hii anafanya kazi standard charted bank tena position nzuri at very young age na katika darasa lao yeye ndo kafanikiwa kupata kazi nzuri kama hiyo.
kuna wengine mifano mingi tu

Ushauri: wanaume tusikatae mimba au watoto wakija baadae kufanikiwa utaona aibu kuomba hata msaada na wanawake mwanaume akikataa mimba au mtoto just mlee tu Mungu atamsaidia na kuwa sucessful baadae
Inabidi tuwatelekeze kadri inavyowezekana ila tupate watu wengi wenye kismart
 
mara nyingi waliokataliwa na baba ndio wanaupiga mwingi waliokataliwa na kina mama kismasi nadra sana na hili halina ubishi
 
Kwaio wa baba wasipokataaa watoto,je tutakoswa watu wenye kisimati na kuupiga mwingi?
 
"Mungu akileta mtoto, analeta na sahani yake"

Ref nyingi Sana.

Nashanga wanaume Huwa hatujifunzi.
Mkishachungulia punani zetu huwa mnawaza masaa ya mbele ...yaki ku explore punani zingine na si ile ambayo tayari mnaijua.
Sasa hapo ndo huwa shida inapoanzia bandugu
 
Back
Top Bottom