Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna vitu vinaumiza sana, pole.Mwenyewe nishawahi ambiwa sijawahi lala nawe afu sahiz anataka mtoto
Sasa hivi mtoto kawa mtamu baada ya kukua[emoji849]Mwenyewe nishawahi ambiwa sijawahi lala nawe afu sahiz anataka mtoto
Sasa si amzalishe huyo au?Yupo aliyempenda zaidi hakutaka aumie nadhan
Kupenda utoto yaan[emoji1787][emoji1787]Unajidogosha eti MIMI NI KIJANA MDOGO WA MIAKA 26[emoji1787] kwa mindset hiyo acha wakusaidie kulea hao watoto.
MIaka 7 ndo anajua ana mtotoSasa hivi mtoto kawa mtamu baada ya kukua[emoji849]
Wanaume bana, hakuna kumpa mtoto mpaka apate kichaa
Santee cute, tupo duniani yote yetuKuna vitu vinaumiza sana, pole.
PoleMwenyewe nishawahi ambiwa sijawahi lala nawe afu sahiz anataka mtoto
Tatizo hata ukimficha akikua anaenda kumtafuta baba yakeSasa hivi mtoto kawa mtamu baada ya kukua[emoji849]
Wanaume bana, hakuna kumpa mtoto mpaka apate kichaa
Usitujumlishe asimilia kubwa ya wanawake Ndio wanapenda hivyo huyu Mtoa nada ninawasiwasi na jinsia yake26 ni kijana mdogo??
Hivi kwanini wabongo mnapenda utoto?[emoji848][emoji57][emoji57]
Kwenye ngono anapenda ila matokeo ya ngono anakataaDuniani kuna watu wanaroho ngumu sana