Watoto wamefanana na Mimi najuta kuwakataa

Watoto wamefanana na Mimi najuta kuwakataa

Mwanaume unapaswa uwe na uhakika maana ukimtia mimba mwanamke lzm kama umetulia utajua tu

Mie washa jisemea tu na Wala hawakuwa na watoto wangu

Mie ni special sana yaani nikimpa mwanamke mimba mimba lzm imtese balaa hii ni indicator yangu nje ya hapo namwambia tumechangia

Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app
 
Baada ya kulikoroga......... sasa endelea kunywa taratibu hata kama ni chungu, kunywa tu maana ulikiroga mwenyewe kwa mkono wako.
 
26 ni kijana mdogo??

Hivi kwanini wabongo mnapenda utoto?[emoji848][emoji57][emoji57]
Usitujumlishe asimilia kubwa ya wanawake Ndio wanapenda hivyo huyu Mtoa nada ninawasiwasi na jinsia yake
 
Back
Top Bottom