Watoto wamefanana na Mimi najuta kuwakataa

Wengine hatuna hata mtoto we unamkataa ngoja aje kuwa star uanze kulia kweny media
 
Kabla hatujaanza kukupa ushaur, kwann umezini kabla ya ndoa?

Ndio tukupe ushaur
 
Yaani bora ukipewa taarifa uwe 50/50 kuliko kukataa mimba siyo yako

Hicho kitu hakiweziw kumuisha huyo mwanamke..

Kwa sasa tafuta mwanamke mwingine piga mimba utulivu.. mwache mama wa watu na maisha yake
 
Bro mie nimepata shida kama hiyo
 
Miaka 26 mdogo? Tena mwanaume unajiita mdogo? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Pole sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…