TheForgotten Genious
JF-Expert Member
- Jan 18, 2014
- 2,087
- 3,156
- Thread starter
-
- #21
Siku yakikukuta ndio utajua kwamba hata mtoto ambaye hukumzaa ni wako sambamba na hilo hata wewe kama unahatia yakuchekiwa marinda utapelekwa kwa daktari,mimi sikuletewa kesi labda nikuweke sawa,Hata hivyo hii kesi ulidandia kwa mbele, maana haikuhusu kabisa.. ✍️✍️✍
Kwahiyo unadhani mimi ni mpuuzi mpaka ni taje majina halisi?, acha kuleta umwijaku wako hapo zebedayo weweHuyo mtoto uliyemtaja?Ni jina bandia?Kuwa na maadili.
Umeshaanza kujisikia kupigwa miti.Ulishindwa kuandika kama swali tu?Karunguyeye kabisa!Kwahiyo unadhani mimi ni mpuuzi mpaka ni taje majina halisi?, acha kuleta umwijaku wako hapo zebedayo wewe
Huwezi kunipangia nini cha kuandika as long as nimezingatia misingi, Filho da puta!!Umeshaanza kujisikia kupigwa miti.Ulishindwa kuandika kama swali tu?Karunguyeye kabisa!
Umejibu kwa mihemko sana... Hiyo ni case ya ulawiti, huna mamlaka yeyote ya kuchunguza hilo suala..Siku yakikukuta ndio utajua kwamba hata mtoto ambaye hukumzaa ni wako sambamba na hilo hata wewe kama unahatia yakuchekiwa marinda utapelekwa kwa daktari,mimi sikuletewa kesi labda nikuweke sawa,
Mtoa mada muongo na unalako unataka kuwaonyesha watu hv kwa decal ethics una identify mtu kwa jina publicity halafu kama ww unataka kukomesha mbona hukuchukua hatua even za ki medical ku ensure huyo specimen salum aletwe ofisini wacha kujipa umuhimu ambao hujafikiaWenda shida inaanzia hapa
Nilishamwandikia huyu wala asiwaumize kichwa hamna maabara wala daktari ni boda amesikia story akijipachika uhusika hv dastardly gar kama haujui ipi ni kesi yako ma ipi uiforwadUmejibu kwa mihemko sana... Hiyo ni case ya ulawiti, huna mamlaka yeyote ya kuchunguza hilo suala..
Ulichotakiwa ni kuwapa go ahead waende police, na siyo kuwaambia waludi ofisini kwako...
OK.. Ulitaka waludi kwako.. Ili ufanye nini??
Tatizo uko uswazi vitoto vingi vinajilea vyenyewe,Mama zao wenyewe wameshindikana,Mama analeta wanaume chumba hicho hicho kimoja anacho lala yeye na mwanawe, usiku mzima mtoto anasikia Mama anavyofanyiwa huku kamejifanya kamelala kumbe kanakula chabo! Kesho nako kanawakamata wenzie na kuwafanya mchezo anaofanyiwa Mama yake usiku! Maadili tumefeli sana huko uswazi!!Juzi usiku nilikuwa kijiweni kwangu nikitoa huduma kama kawaida, mara akaingia dada mmoja ambaye namfahamu akiwa ameambatana na wadada wengine ambao nao sio wageni pamoja na watoto wakiume wawili.
Mtoto mmoja namfahamu ni wahuyo dada nikajua wamekuja kwa ajili ya matibabu zaidi maana Siku 2 nyuma mwanae alikuwa anaumwa nikamtibu, lakini mama mtu akaniambia shida ni nyingine kwamba mwanawe na mtoto mwingine wametuhumiwa kumuingilia mtoto wa jirani hivyo wanataka niwachunguze.
Moja ya watoto wanaotuhumiwa anaitwa Salum na anaishi na mama yake Mzazi ktk chumba kimoja,mtoto huyu aliwachukua hawa wengine wawili akawapeleka nyumbani kwao akakavua Nguo kale kadogo kana miaka around 7, huyu mwingine akiwa anamshika ili stering asipate tabu na nilipo mdadisi wakasema alikuwa anatumia mafuta nikajiuliza mtoto wa miaka 12 anajua kama mafuta yanatumika, nikajisemea Subannalah.
Mama mlezi wa mtoto aliyekuwa anafanyiwa tukio aligundua baada yakumtafuta mwanae kwa muda Mrefu Bila kumpata baadae akagundua kwamba wamejifungia ndani kwa jirani,walipo toka alimtndika nakusema (Salum )na (Mogan ) walikuwa wanafanya hivi.
Huyo Salum hasomi na yupo kama chokolaa, nikawaambia wamlete maana anaonekana ni mtaalamu hawajamleta hadi leo.
Huku kitaa kugumu sana kwa hawa watoto.
Watoto wakilala na wazazi ndani ya chumba kimoja huwa hawalali abadani hata ufanyeje ataenda kusinzia mchana huko lakini ashuhudie mechiTatizo uko uswazi vitoto vingi vinajilea vyenyewe,Mama zao wenyewe wameshindikana,Mama analeta wanaume chumba hicho hicho kimoja anacho lala yeye na mwanawe, usiku mzima mtoto anasikia Mama anavyofanyiwa huku kamejifanya kamelala kumbe kanakula chabo! Kesho nako kanawakamata wenzie na kuwafanya mchezo anaofanyiwa Mama yake usiku! Maadili tumefeli sana huko uswazi!!
Hii ndio sababu ilinifanya nikajenge jumba langu nje ya mji.Wamejuaje kutumia mafuta? Hizi nyimbo za kina mbosso, kina jaivah je?
Wavuta bangi, maboda boda wanavyotumia lugha za matusi barabarani je?
Ni ngumu sana kumzuia mtoto asiharibikiwe siku hizi, hasa kama unaishi mitaa ya uswazi uswazi.
Duh,nilipo mdadisi wakasema alikuwa anatumia mafuta nikajiuliza mtoto wa miaka 12 anajua kama mafuta yanatumika, nikajisemea Subannalah.
Kabisa, maana analeta maada ambazo hazieleweki kabisa.. ✍️✍️✍️Nilishamwandikia huyu wala asiwaumize kichwa hamna maabara wala daktari ni boda amesikia story akijipachika uhusika hv dastardly gar kama haujui ipi ni kesi yako ma ipi uiforwad