Watoto wangu wote hufariki baada ya kuzaliwa au mimba kuharibika

Watoto wangu wote hufariki baada ya kuzaliwa au mimba kuharibika

Pole sana mkuu naomba uangalie vitu hivi vitatu vinaweza kua chanzo.
  1. Rhesus factors kati yako na mkeo
  2. Matambiko/maagano katika ukoo wenu.
  3. Kuna mtu anakuchezea
Suluhisho ni...
Nendeni hospital
Nendeni mkaweke sawa matambiko ya koo zenu
Nendeni kanisani mkavunje maagano hayo.

Pole sana mkuu
 
Pole sana mkuu naomba uangalie vitu hivi vitatu vinaweza kua chanzo.
  1. Rhesus factors kati yako na mkeo
  2. Matambiko/maagano katika ukoo wenu.
  3. Kuna mtu anakuchezea
Suluhisho ni...
Nendeni hospital
Nendeni mkaweke sawa matambiko ya koo zenu
Nendeni kanisani mkavunje maagano hayo.

Pole sana mkuu
Hana mke anatia mimba anaacha nahisi tatizo linaanzia hapa aache uhuni.
 
Habari pole kwa changamoto
Hiyo ni Mizimu inabidi maombi ya kuvunja agano.
Inawezekana umefunga Ndoa na Majini, maali uliyopeleka ni kuwatoa kafara watoto wako , nakafara inafanyika mimba kuaharibika au Mtoto kufa baada ya kuzaliwa.
Mimba huwa zinachukuliwa na majini.

Tatizo lipo kwako nimesoma mada yako nimepata kitu haukai Na wanawake miaka 3 wanawake 5 . Hawa ni wanawake walioshika mimba Bado haujaweka wanawake wa pembeni.
Utakuwa unamikiwa na ulimwengu Mwingine na Ndio unaokufanya usidumu kwenye Mahusiano
 
Wanne alijifungua mtoto wa kiume mwaka mmoja uliopita na amekaa naye huku akimsumbua sana kwa homa za hapa na pale na wiki moja iliyopita nilipewa taarifa kuwa amefariki baada ya kuugua mfululizo

Maandiko yako yameniachia maswali mengi dhidi ya tabia yako, uwajibikaji kwa wanao na huyo aliyebeba ujauzito.

Anyway pole sana.
 
Wanne alijifungua mtoto wa kiume mwaka mmoja uliopita na amekaa naye huku akimsumbua sana kwa homa za hapa na pale na wiki moja iliyopita nilipewa taarifa kuwa amefariki baada ya kuugua mfululizo

Maandiko yako yameniachia maswali mengi dhidi ya tabia yako, uwajibikaji kwa wanao na huyo aliyebeba ujauzito.

Anyway pole sana.
Inaonekana ni muhuni muhuni fulan [emoji3]
 
Kama watoto wanaozaliwa wanakua na homa za mara kwa mara na joto kali,kuna tatizo linataka kufanana na bawasiri ila sio bawasiri na sijui linaitwaje kitaalam ni kinyama sehemu ya haja kubwa mwanaume ukiwa na hilo tatizo ndio hutokea hayo matokea watoto wako kufariki wakiwa wachanga au mimba kuharibika halipo sana sababu nilipata maelezo kwa mzee fulani muda kidogo
dah[emoji22],,huwezi amini mkuu nina hicho kinyama sehemu ya haja kubwa na kimenitokea miezi kadhaa iliyopita
 
Back
Top Bottom