EP MEDICS COSMETICS STORE
JF-Expert Member
- Oct 18, 2015
- 2,826
- 4,593
Haya mambo hayapo ni stori za kiimani basiAgano la mizimu, uchawi...
Yawezekana baba na mama yako aliingia agano na mizimu au uchawi..
Hivyo ndio vinaharibu mimba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya mambo hayapo ni stori za kiimani basiAgano la mizimu, uchawi...
Yawezekana baba na mama yako aliingia agano na mizimu au uchawi..
Hivyo ndio vinaharibu mimba
Naunga mkono hii hojashida yako ni ya kiimani zaidi.
Fanya ibada kwa imani...hiyo inawezekana mkuu maana hapo nyuma nilipitia misukosuko sana kwenye maisha
Hana mke anatia mimba anaacha nahisi tatizo linaanzia hapa aache uhuni.Pole sana mkuu naomba uangalie vitu hivi vitatu vinaweza kua chanzo.
Suluhisho ni...
- Rhesus factors kati yako na mkeo
- Matambiko/maagano katika ukoo wenu.
- Kuna mtu anakuchezea
Nendeni hospital
Nendeni mkaweke sawa matambiko ya koo zenu
Nendeni kanisani mkavunje maagano hayo.
Pole sana mkuu
Yes...nafikir wachache ndo wanaelewa hiyo.Kuna kitu kinaitwa Rhesus ...hebu kapime damu ueleze ..utazaa tu
Endelea kuamini hivyo hivyo mkuuHaya mambo hayapo ni stori za kiimani basi
Inaonekana ni muhuni muhuni fulan [emoji3]Wanne alijifungua mtoto wa kiume mwaka mmoja uliopita na amekaa naye huku akimsumbua sana kwa homa za hapa na pale na wiki moja iliyopita nilipewa taarifa kuwa amefariki baada ya kuugua mfululizo
Maandiko yako yameniachia maswali mengi dhidi ya tabia yako, uwajibikaji kwa wanao na huyo aliyebeba ujauzito.
Anyway pole sana.
dah[emoji22],,huwezi amini mkuu nina hicho kinyama sehemu ya haja kubwa na kimenitokea miezi kadhaa iliyopitaKama watoto wanaozaliwa wanakua na homa za mara kwa mara na joto kali,kuna tatizo linataka kufanana na bawasiri ila sio bawasiri na sijui linaitwaje kitaalam ni kinyama sehemu ya haja kubwa mwanaume ukiwa na hilo tatizo ndio hutokea hayo matokea watoto wako kufariki wakiwa wachanga au mimba kuharibika halipo sana sababu nilipata maelezo kwa mzee fulani muda kidogo