Watoto wangu wote hufariki baada ya kuzaliwa au mimba kuharibika

Watoto wangu wote hufariki baada ya kuzaliwa au mimba kuharibika

umeniwahi aisee. nilitaka nigusie jambo hili.

maagano ya kiukoo yapo very active ktk baadhi ya familia, ni vile tu baadhi yetu huwa tunapuuza kwa kuwa tunakutana kimjini mjini.

yapo maagano ya laana za umasikini, madeni, maradhi nk.

yaani unaweza ukashangaa kuna mwanamke/mwanaume baada tu ya kufunganae pingu za maisha, umasikini wa kipato unaanza kupiga hodi kwenye maisha yako.

hatari sana haya mambo, ndio maana mababu zetu walikuwa wanawachagulia vijana wao familia za kuoa/kuolewa.
maagano yanatatuliwa vp mkuu
 
Ngoja nikwambie ukweli, maana hata mimi nilishawahi kukumbana na kitu kinachofanana na chako. Shida ni wao kukosa uhakika wa kuolewa au kutunzwa na wewe. Mimi ilikuwa hivi

Wa kwanza: Ikiwa imefika miezi mitano, Alikuja kuniambia imeharibika , ila nikaja kigundua alitoa.

Wa pili na watatu: walishika ujauzito kwa pamoja na kwa mpigo, sikutaka wajuane, ila siku mmoja wao akapekua simu akamjua mwenzake, na huyu mwingine nae akapekua simu yamgu akamjua mwenzake, kila mmoja akakaairika wakaamua watoe, mmoja alifanikiwa kwa mateso makali sana, huyu mwingi ilikuwa kidogo afe ila haikutoka, ndio akazaliwa wa kwanza.

Nikaendelea naye huyo aliyezaa, akapata ujauzito tena ndani ya miezi minne tu toka ajifungue,, hakuaniambia, ila akatoa, nikaja kujua tu baadae. Tukaendela akashika ya tatu, akaniambia, akazaa wa pili.

Nikaendelea nae, akashika ya tatu, ilipofika miezi miwili akatoa bila kuniambia, miezi kuenda tumbo halionekani, nikambana ndio akasema ametoa, haya..

Nikaendelea nae, akashika ya nne.., ilipofika miezi 6 ikaharibika, aliumwa sana ila akapona...haya..

Tumeendelea....
 
Ngoja nikwambie ukweli, maana hata mimi nilishawahi kukumbana na kitu kinachofanana na chako. Shida ni wao kukosa uhakika wa kuolewa au kutunzwa na wewe. Mimi ilikuwa hivi

Wa kwanza: Ikiwa imefika miezi mitano, Alikuja kuniambia imeharibika , ila nikaja kigundua alitoa.

Wa pili na watatu: walishika ujauzito kwa pamoja na kwa mpigo, sikutaka wajuane, ila siku mmoja wao akapekua simu akamjua mwenzake, na huyu mwingine nae akapekua simu yamgu akamjua mwenzake, kila mmoja akakaairika wakaamua watoe, mmoja alifanikiwa kwa mateso makali sana, huyu mwingi ilikuwa kidogo afe ila haikutoka, ndio akazaliwa wa kwanza.

Nikaendelea naye huyo aliyezaa, akapata ujauzito tena ndani ya miezi minne tu toka ajifungue,, hakuaniambia, ila akatoa, nikaja kujua tu baadae. Tukaendela akashika ya tatu, akaniambia, akazaa wa pili.

Nikaendelea nae, akashika ya tatu, ilipofika miezi miwili akatoa bila kuniambia, miezi kuenda tumbo halionekani, nikambana ndio akasema ametoa, haya..

Nikaendelea nae, akashika ya nne.., ilipofika miezi 6 ikaharibika, aliumwa sana ila akapona...haya..

Tumeendelea....
mkuu nashukuru ila samahani sidhani kama utakua umenielewa vema..Mimi tatizo langu haswa sio wanawake wangu kutoa ujauzito,tatizo ni kua wanajifungua salama salmini lakini mwishowe watoto wanafariki bila wao kutarajia kasoro wale wawili wa mwanzo tu ila watoto wengine wote karibia 6 wamezaliwa salama kabisa ila hawapati kibali cha kuendelea kuishi hapa duniani kama baba yao..Tofauti na hao wa kwako wanaotoa mimba bila sababu za msingi ilihali watu tunahangaika usiku na mchana ili watoto wazaliwe salama.
 
Wakuu poleni na majukumu ya kujenga nchi..

Nimekuja kwenu kama mwana Jamii Forums nikiwa na uzoefu wa takriban miaka 10 na huu mtandao wetu pendwa unatusaidia kwenye mambo mbalimbali kwenye maisha. Nipo mkoani Dodoma kwa sasa ambapo nafanya biashara zangu na kupata riziki.

Nikiwa kama kijana na approach 30's nimekumbwa na matukio mfululizo ya kufiwa ama kuondokewa na watoto wangu punde tu wanapozaliwa wengine kabla ya kuzaliwa au hata muda mrefu baada ya kuzaliwa

Miaka ya hivi karibuni nilipita kwenye mahusiano na wasichana kadhaa, kati ya hao watano niliwapa ujauzito na mchanganuo wake ulikuwa kama ifuatavyo..

Wa kwanza alitoa mimba ikiwa na miezi minne ilimsumbua sana nusu na yeye aondoke na hakunipa taarifa juu ya hilo hadi nilipobaini na nikamuacha papo hapo.

Wapili aliharibikiwa mimba ikiwa na mwezi mmoja(huyu alikuwa na matatizo ya tumbo kabla ya kukutana na mimi alikuwa hashiki ujauzito hivyo alikuwa anajaribu kama amepona bila mimi kujua badala yake mimba ikaharibika).

Watatu alijifungua mapacha wanne kwa vipindi viwili tofauti na wote walifariki ndani ya wiki moja baada ya kujifungua.Yeye ni mwenyeji wa Tanga na ana uzao mzuri wa watoto mapacha.

Wanne alijifungua mtoto wa kiume mwaka mmoja uliopita na amekaa naye huku akimsumbua sana kwa homa za hapa na pale na wiki moja iliyopita nilipewa taarifa kuwa amefariki baada ya kuugua mfululizo.

Watano alishika ujauzito wa mapacha uliodumu kwa miezi sita na mimba ikaharibika pasi na kutegemea. Alichanganyikiwa sana maana alikuwa na matarajio mengi juu ya hao watoto pindi watakapozaliwa..

Kiujumla nimepoteza watoto 9 ndani ya miaka mitatu kwa sababu mbalimbali, hii kitu imekuwa ikinitesa sana na nashindwa kuelewa tatizo hasa ni nini na nini suluhisho lake maana napoteza viumbe wasio na hatia inaniumiza sana[emoji22]..

Naombeni ushauri wenu juu ya hili tatizo linalonikumba nifanyeje niweze kuepukana nalo na kama ni mpango wa Mungu kwanini kila siku mimi ukizingatia umri nao unakwenda wazazi wanataka wajukuu.

Naombeni msaada wenu wa mawazo na ushauri juu ya suala hili
@Mshana Jr unahitajika huku Mkuu
 
Wakuu poleni na majukumu ya kujenga nchi..

Nimekuja kwenu kama mwana Jamii Forums nikiwa na uzoefu wa takriban miaka 10 na huu mtandao wetu pendwa unatusaidia kwenye mambo mbalimbali kwenye maisha. Nipo mkoani Dodoma kwa sasa ambapo nafanya biashara zangu na kupata riziki.

Nikiwa kama kijana na approach 30's nimekumbwa na matukio mfululizo ya kufiwa ama kuondokewa na watoto wangu punde tu wanapozaliwa wengine kabla ya kuzaliwa au hata muda mrefu baada ya kuzaliwa

Miaka ya hivi karibuni nilipita kwenye mahusiano na wasichana kadhaa, kati ya hao watano niliwapa ujauzito na mchanganuo wake ulikuwa kama ifuatavyo..

Wa kwanza alitoa mimba ikiwa na miezi minne ilimsumbua sana nusu na yeye aondoke na hakunipa taarifa juu ya hilo hadi nilipobaini na nikamuacha papo hapo.

Wapili aliharibikiwa mimba ikiwa na mwezi mmoja(huyu alikuwa na matatizo ya tumbo kabla ya kukutana na mimi alikuwa hashiki ujauzito hivyo alikuwa anajaribu kama amepona bila mimi kujua badala yake mimba ikaharibika).

Watatu alijifungua mapacha wanne kwa vipindi viwili tofauti na wote walifariki ndani ya wiki moja baada ya kujifungua.Yeye ni mwenyeji wa Tanga na ana uzao mzuri wa watoto mapacha.

Wanne alijifungua mtoto wa kiume mwaka mmoja uliopita na amekaa naye huku akimsumbua sana kwa homa za hapa na pale na wiki moja iliyopita nilipewa taarifa kuwa amefariki baada ya kuugua mfululizo.

Watano alishika ujauzito wa mapacha uliodumu kwa miezi sita na mimba ikaharibika pasi na kutegemea. Alichanganyikiwa sana maana alikuwa na matarajio mengi juu ya hao watoto pindi watakapozaliwa..

Kiujumla nimepoteza watoto 9 ndani ya miaka mitatu kwa sababu mbalimbali, hii kitu imekuwa ikinitesa sana na nashindwa kuelewa tatizo hasa ni nini na nini suluhisho lake maana napoteza viumbe wasio na hatia inaniumiza sana[emoji22]..

Naombeni ushauri wenu juu ya hili tatizo linalonikumba nifanyeje niweze kuepukana nalo na kama ni mpango wa Mungu kwanini kila siku mimi ukizingatia umri nao unakwenda wazazi wanataka wajukuu.

Naombeni msaada wenu wa mawazo na ushauri juu ya suala hili
Pole
 
maagano yanatatuliwa vp mkuu
suluhisho pekee la wewe kuwa salama na future yako ni kusitisha mahusiano na huyo mwanaume/mwanamke ambaye baada ya kuanzisha tu mahusiano na yeye mikosi na mabalaa yakaanza kupiga hodi kwenye maisha yako.

shida yenu wengi wenu mnasukumwa na tamaa za chini, mnang'ang'ana na watu kisa tu wamewadadisha kingono mpaka mnafikia stage ya kufunganao ndoa.
 
Kama watoto wanaozaliwa wanakua na homa za mara kwa mara na joto kali,kuna tatizo linataka kufanana na bawasiri ila sio bawasiri na sijui linaitwaje kitaalam ni kinyama sehemu ya haja kubwa mwanaume ukiwa na hilo tatizo ndio hutokea hayo matokea watoto wako kufariki wakiwa wachanga au mimba kuharibika halipo sana sababu nilipata maelezo kwa mzee fulani muda kidogo
Yeah nimehisi hivyo kwa mwanaume au mwanamke pia akiwa nacho ni shida,kwetu wanaita likango.

Kuna rafiki kazika watoto wawili,alivyogundulika na hilo tatizo wakamkata,,,now yupo na watoto watatu[emoji1545]
 
Hii stori ya mtoa mada inafanana ya dogo mmoja Yuko kwenye early 30's Ni jirani yangu

[emoji117]Mwaka huu February kapoteza mtoto wa kiume masaa 6 tu baada ya kuzaliwa, tukazika fasta.

[emoji117]Mwaka Jana September alikua na binti alikua na mimba ya miez 6 ya mapacha (ultrasound ilionyesha)
Miez 8 kaumwa tumbo balaa, hospital wakasema watoto washafariki ikapid apigwe kisu kuwatoa kuokoa Maisha ya mama.

[emoji117]Mwaka juzi Kuna binti alikua hampendi, alikuja kumpa mimba bahat mbaya, kamwambia binti aitoe Hana mpango nae. vinginevyo akizaa wasijuane, binti akakataa kata kata.
Mimba imebebwa mpk miez 9, hospitali binti kafariki pamoja na mtoto wkt wa kujifungua.[emoji26]

[emoji117]Mwaka 2016 Nakumbuka alikuja kupata kesi ya kumpa mimba mwanafunzi,
kabla wazazi na serikali haijajua mchakato mzima ikabidi mzigo uflashiwe chap (nilishiriki kutoa safehouse ya binti kujificha mpk alipopona kabisa, binti wa watu nusu afe. Najuta na SITORUDIA ULE UPUMBAVU TENA[emoji26])

Ukiangalia hiyo Ni series ya watoto 4 dogo kawapoteza, huu msiba wa February ulimkumbusha mengi ya nyuma mpk anajuta kuitoa ile mimba ya kwanza ya yule mwanafunzi. Huenda Ndo alikua mwanae

Nafuatilia comments pia,
Naweza ambulia chochote Cha kumshaur.

Hii kitu iskie TU kwa mwenzako,
Dogo Sahv Kila mwanamke akikutana nae anamwagia ndani TU liwalo na liwe kujaribu bahati yake
 
Back
Top Bottom