Watoto wangu wote hufariki baada ya kuzaliwa au mimba kuharibika

Watoto wangu wote hufariki baada ya kuzaliwa au mimba kuharibika

Wakuu poleni na majukumu ya kujenga nchi..

Nimekuja kwenu kama mwana Jamii Forums nikiwa na uzoefu wa takriban miaka 10 na huu mtandao wetu pendwa unatusaidia kwenye mambo mbalimbali kwenye maisha. Nipo mkoani Dodoma kwa sasa ambapo nafanya biashara zangu na kupata riziki.

Nikiwa kama kijana na approach 30's nimekumbwa na matukio mfululizo ya kufiwa ama kuondokewa na watoto wangu punde tu wanapozaliwa wengine kabla ya kuzaliwa au hata muda mrefu baada ya kuzaliwa

Miaka ya hivi karibuni nilipita kwenye mahusiano na wasichana kadhaa, kati ya hao watano niliwapa ujauzito na mchanganuo wake ulikuwa kama ifuatavyo..

Wa kwanza alitoa mimba ikiwa na miezi minne ilimsumbua sana nusu na yeye aondoke na hakunipa taarifa juu ya hilo hadi nilipobaini na nikamuacha papo hapo.

Wapili aliharibikiwa mimba ikiwa na mwezi mmoja(huyu alikuwa na matatizo ya tumbo kabla ya kukutana na mimi alikuwa hashiki ujauzito hivyo alikuwa anajaribu kama amepona bila mimi kujua badala yake mimba ikaharibika).

Watatu alijifungua mapacha wanne kwa vipindi viwili tofauti na wote walifariki ndani ya wiki moja baada ya kujifungua.Yeye ni mwenyeji wa Tanga na ana uzao mzuri wa watoto mapacha.

Wanne alijifungua mtoto wa kiume mwaka mmoja uliopita na amekaa naye huku akimsumbua sana kwa homa za hapa na pale na wiki moja iliyopita nilipewa taarifa kuwa amefariki baada ya kuugua mfululizo.

Watano alishika ujauzito wa mapacha uliodumu kwa miezi sita na mimba ikaharibika pasi na kutegemea. Alichanganyikiwa sana maana alikuwa na matarajio mengi juu ya hao watoto pindi watakapozaliwa..

Kiujumla nimepoteza watoto 9 ndani ya miaka mitatu kwa sababu mbalimbali, hii kitu imekuwa ikinitesa sana na nashindwa kuelewa tatizo hasa ni nini na nini suluhisho lake maana napoteza viumbe wasio na hatia inaniumiza sana[emoji22]..

Naombeni ushauri wenu juu ya hili tatizo linalonikumba nifanyeje niweze kuepukana nalo na kama ni mpango wa Mungu kwanini kila siku mimi ukizingatia umri nao unakwenda wazazi wanataka wajukuu.

Naombeni msaada wenu wa mawazo na ushauri juu ya suala hili
Suluhisho lako lipo kwa mganga moto wa radi wa kiburugwa
 
Duuuh!
Hii stori ya mtoa mada inafanana ya dogo mmoja Yuko kwenye early 30's Ni jirani yangu

[emoji117]Mwaka huu February kapoteza mtoto wa kiume masaa 6 tu baada ya kuzaliwa, tukazika fasta.

[emoji117]Mwaka Jana September alikua na binti alikua na mimba ya miez 6 ya mapacha (ultrasound ilionyesha)
Miez 8 kaumwa tumbo balaa, hospital wakasema watoto washafariki ikapid apigwe kisu kuwatoa kuokoa Maisha ya mama.

[emoji117]Mwaka juzi Kuna binti alikua hampendi, alikuja kumpa mimba bahat mbaya, kamwambia binti aitoe Hana mpango nae. vinginevyo akizaa wasijuane, binti akakataa kata kata.
Mimba imebebwa mpk miez 9, hospitali binti kafariki pamoja na mtoto wkt wa kujifungua.[emoji26]

[emoji117]Mwaka 2016 Nakumbuka alikuja kupata kesi ya kumpa mimba mwanafunzi,
kabla wazazi na serikali haijajua mchakato mzima ikabidi mzigo uflashiwe chap (nilishiriki kutoa safehouse ya binti kujificha mpk alipopona kabisa, binti wa watu nusu afe. Najuta na SITORUDIA ULE UPUMBAVU TENA[emoji26])

Ukiangalia hiyo Ni series ya watoto 4 dogo kawapoteza, huu msiba wa February ulimkumbusha mengi ya nyuma mpk anajuta kuitoa ile mimba ya kwanza ya yule mwanafunzi. Huenda Ndo alikua mwanae

Nafuatilia comments pia,
Naweza ambulia chochote Cha kumshaur.

Hii kitu iskie TU kwa mwenzako,
Dogo Sahv Kila mwanamke akikutana nae anamwagia ndani TU liwalo na liwe kujaribu bahati yake
 
Naona tuna tatizo linalofanana, tofaut Ni kwamba mm sijawah bahatika kuzaliwa mtoto. Yaani mtoto anafia tumboni,zimeshafika 5 (tuseme 4 maana moja ilitolewa kwa makusudi) mpaka sasa kati ya wasichana watatu nilowahi kua nao toka mwaka 2018. Vingine tunavyofanana ni kwamba mi pia nakaribia 30's na wiki ilopita nimekumbwa na hilo tatizo la kinyama kwenye njia ya haja kubwa, linaambatana na maumivu kila baada ya siku 2. Nimekua nikitumia dawa za asili hasa hasa Aloe vela na inanisaidia kiukweli kutuliza maumivu na kuelekea kwenye kupona.

Nirudi kwenye ishu la ujauzito kuharibika, huyu wa mwisho mimba ya nne kwangu ambayo ya kwanza kwake iliharibika ilipokua na miezi 4. Tukakaa miezi 7 akabeba nyingine ilipofika miezi 8 ikaharibika (ilianza kumsumbua toka ina miezi 2). Tulijitahidi kwenda hospital tatizo halikuonekana kwenda kwa mtaalamu ikaonekana anachezewa. Mtaalamu akaifunga ila bahati mbaya ikaja kuharibika ilipofika miezi 8 (Kosa letu nadhani hatukurudi tena kucheck Kama bado wanamchezea hadi ikaharibika tuliona amepona kabisa tatizo).

Turudi nyuma kidogo, kipindi mtaalamu amemaliza kumtibu bibie wakati ujauzito una miezi 2 nilimuomba anicheck na baada ya kunicheck niligundulika pia nimefungwa na nina jini ambalo ndio linaloniharibia mimba zangu na kuniambia nisipojitibia sitokuja pata mtoto na wala sitofanikiwa kimaisha. Sijafanikiwa kujitibia mpaka sasa ILA NDIO NIPO KWENYE MCHAKATO baada ya kuona hii kitu ipo serious sasa maana nimeanza kuugua magonjwa ya kishenz sana ambayo kwa umri wng ni nadra kuugua mfano miguu kuwa na ganzi mwezi sasa.

OP nina maswali kidogo hili tupate kuoanisha kama ni kweli 100% tuna tatizo moja.

1. Hiko kinyama kinauma wakati wa kujisaidia haja kubwa mpaka kufikia mda mwingine kushindwa kutembea?

2. Mimba zinapoharibika au mtoto kufariki huwa mahusiano yenu yanayumba na kuambatana na mafarakano mpaka kufikia kuachana?

3. Hisia za kimapenzi/kufanya ngono zinakupungua?

4. Mambo yako ya kutafuta hela yanayumba?

Majibu ya maswali hayo yatakupa mwanga tatizo limeelemea upande gani.

NB: TATIZO LANGU NI LA KIIMANI ZAIDI SIO HOSPITAL.
 
Hii stori ya mtoa mada inafanana ya dogo mmoja Yuko kwenye early 30's Ni jirani yangu

[emoji117]Mwaka huu February kapoteza mtoto wa kiume masaa 6 tu baada ya kuzaliwa, tukazika fasta.

[emoji117]Mwaka Jana September alikua na binti alikua na mimba ya miez 6 ya mapacha (ultrasound ilionyesha)
Miez 8 kaumwa tumbo balaa, hospital wakasema watoto washafariki ikapid apigwe kisu kuwatoa kuokoa Maisha ya mama.

[emoji117]Mwaka juzi Kuna binti alikua hampendi, alikuja kumpa mimba bahat mbaya, kamwambia binti aitoe Hana mpango nae. vinginevyo akizaa wasijuane, binti akakataa kata kata.
Mimba imebebwa mpk miez 9, hospitali binti kafariki pamoja na mtoto wkt wa kujifungua.[emoji26]

[emoji117]Mwaka 2016 Nakumbuka alikuja kupata kesi ya kumpa mimba mwanafunzi,
kabla wazazi na serikali haijajua mchakato mzima ikabidi mzigo uflashiwe chap (nilishiriki kutoa safehouse ya binti kujificha mpk alipopona kabisa, binti wa watu nusu afe. Najuta na SITORUDIA ULE UPUMBAVU TENA[emoji26])

Ukiangalia hiyo Ni series ya watoto 4 dogo kawapoteza, huu msiba wa February ulimkumbusha mengi ya nyuma mpk anajuta kuitoa ile mimba ya kwanza ya yule mwanafunzi. Huenda Ndo alikua mwanae

Nafuatilia comments pia,
Naweza ambulia chochote Cha kumshaur.

Hii kitu iskie TU kwa mwenzako,
Dogo Sahv Kila mwanamke akikutana nae anamwagia ndani TU liwalo na liwe kujaribu bahati yake
Kaka tubu[emoji23], huyo jamaa yako atubu
 
Ni matatizo ya vinasaba hayo mkuu nenda hospital na mwenza wako pindi tu anapopata ujauzito.
 
suluhisho pekee la wewe kuwa salama na future yako ni kusitisha mahusiano na huyo mwanaume/mwanamke ambaye baada ya kuanzisha tu mahusiano na yeye mikosi na mabalaa yakaanza kupiga hodi kwenye maisha yako.

shida yenu wengi wenu mnasukumwa na tamaa za chini, mnang'ang'ana na watu kisa tu wamewadadisha kingono mpaka mnafikia stage ya kufunganao ndoa.
sasa nitasitisha na wangapi mkuu
 
Yeah nimehisi hivyo kwa mwanaume au mwanamke pia akiwa nacho ni shida,kwetu wanaita likango.

Kuna rafiki kazika watoto wawili,alivyogundulika na hilo tatizo wakamkata,,,now yupo na watoto watatu[emoji1545]
ni kweli wanaita hivo na mimi nina kinyama kimetokea mapema mwaka huu ila kuna mzee mmoja alinichek bush moja hivi alisema sio likango la kumaliza watoto ni la kulea watoto au sijui alinipa moyo tu. [emoji1]
 
Naona tuna tatizo linalofanana, tofaut Ni kwamba mm sijawah bahatika kuzaliwa mtoto. Yaani mtoto anafia tumboni,zimeshafika 5 (tuseme 4 maana moja ilitolewa kwa makusudi) mpaka sasa kati ya wasichana watatu nilowahi kua nao toka mwaka 2018. Vingine tunavyofanana ni kwamba mi pia nakaribia 30's na wiki ilopita nimekumbwa na hilo tatizo la kinyama kwenye njia ya haja kubwa, linaambatana na maumivu kila baada ya siku 2. Nimekua nikitumia dawa za asili hasa hasa Aloe vela na inanisaidia kiukweli kutuliza maumivu na kuelekea kwenye kupona.

Nirudi kwenye ishu la ujauzito kuharibika, huyu wa mwisho mimba ya nne kwangu ambayo ya kwanza kwake iliharibika ilipokua na miezi 4. Tukakaa miezi 7 akabeba nyingine ilipofika miezi 8 ikaharibika (ilianza kumsumbua toka ina miezi 2). Tulijitahidi kwenda hospital tatizo halikuonekana kwenda kwa mtaalamu ikaonekana anachezewa. Mtaalamu akaifunga ila bahati mbaya ikaja kuharibika ilipofika miezi 8 (Kosa letu nadhani hatukurudi tena kucheck Kama bado wanamchezea hadi ikaharibika tuliona amepona kabisa tatizo).

Turudi nyuma kidogo, kipindi mtaalamu amemaliza kumtibu bibie wakati ujauzito una miezi 2 nilimuomba anicheck na baada ya kunicheck niligundulika pia nimefungwa na nina jini ambalo ndio linaloniharibia mimba zangu na kuniambia nisipojitibia sitokuja pata mtoto na wala sitofanikiwa kimaisha. Sijafanikiwa kujitibia mpaka sasa ILA NDIO NIPO KWENYE MCHAKATO baada ya kuona hii kitu ipo serious sasa maana nimeanza kuugua magonjwa ya kishenz sana ambayo kwa umri wng ni nadra kuugua mfano miguu kuwa na ganzi mwezi sasa.

OP nina maswali kidogo hili tupate kuoanisha kama ni kweli 100% tuna tatizo moja.

1. Hiko kinyama kinauma wakati wa kujisaidia haja kubwa mpaka kufikia mda mwingine kushindwa kutembea?

2. Mimba zinapoharibika au mtoto kufariki huwa mahusiano yenu yanayumba na kuambatana na mafarakano mpaka kufikia kuachana?

3. Hisia za kimapenzi/kufanya ngono zinakupungua?

4. Mambo yako ya kutafuta hela yanayumba?

Majibu ya maswali hayo yatakupa mwanga tatizo limeelemea upande gani.

NB: TATIZO LANGU NI LA KIIMANI ZAIDI SIO HOSPITAL.
Jitibie bro

Hiyo ya miguu sio poa,nilipatwa na gonjwa aisee lililoambatana na miguu yaani nilirudi utotoni
 
Hii stori ya mtoa mada inafanana ya dogo mmoja Yuko kwenye early 30's Ni jirani yangu

[emoji117]Mwaka huu February kapoteza mtoto wa kiume masaa 6 tu baada ya kuzaliwa, tukazika fasta.

[emoji117]Mwaka Jana September alikua na binti alikua na mimba ya miez 6 ya mapacha (ultrasound ilionyesha)
Miez 8 kaumwa tumbo balaa, hospital wakasema watoto washafariki ikapid apigwe kisu kuwatoa kuokoa Maisha ya mama.

[emoji117]Mwaka juzi Kuna binti alikua hampendi, alikuja kumpa mimba bahat mbaya, kamwambia binti aitoe Hana mpango nae. vinginevyo akizaa wasijuane, binti akakataa kata kata.
Mimba imebebwa mpk miez 9, hospitali binti kafariki pamoja na mtoto wkt wa kujifungua.[emoji26]

[emoji117]Mwaka 2016 Nakumbuka alikuja kupata kesi ya kumpa mimba mwanafunzi,
kabla wazazi na serikali haijajua mchakato mzima ikabidi mzigo uflashiwe chap (nilishiriki kutoa safehouse ya binti kujificha mpk alipopona kabisa, binti wa watu nusu afe. Najuta na SITORUDIA ULE UPUMBAVU TENA[emoji26])

Ukiangalia hiyo Ni series ya watoto 4 dogo kawapoteza, huu msiba wa February ulimkumbusha mengi ya nyuma mpk anajuta kuitoa ile mimba ya kwanza ya yule mwanafunzi. Huenda Ndo alikua mwanae

Nafuatilia comments pia,
Naweza ambulia chochote Cha kumshaur.

Hii kitu iskie TU kwa mwenzako,
Dogo Sahv Kila mwanamke akikutana nae anamwagia ndani TU liwalo na liwe kujaribu bahati yake
mkuu hii kitu inaumiza sana ni vile inawakuta watu wchache hawawezi kuelewa,ila namini yote ni mipango ya Mungu wakati sahihi ukifika nitapata watoto wengi zaidi hata ya niliowapoteza
 
ni kweli wanaita hivo na mimi nina kinyama kimetokea mapema mwaka huu ila kuna mzee mmoja alinichek bush moja hivi alisema sio likango la kumaliza watoto ni la kulea watoto au sijui alinipa moyo tu. [emoji1]
[emoji23][emoji23]alikupa moyo tu[emoji23]. huwa wanakata ujue,labda alikuonea huruma,maana waliokatwa wanasema maumivu
 
Tatizo Mimba mnazopeana hazina Baraka pia kheri uone
 
Naona tuna tatizo linalofanana, tofaut Ni kwamba mm sijawah bahatika kuzaliwa mtoto. Yaani mtoto anafia tumboni,zimeshafika 5 (tuseme 4 maana moja ilitolewa kwa makusudi) mpaka sasa kati ya wasichana watatu nilowahi kua nao toka mwaka 2018. Vingine tunavyofanana ni kwamba mi pia nakaribia 30's na wiki ilopita nimekumbwa na hilo tatizo la kinyama kwenye njia ya haja kubwa, linaambatana na maumivu kila baada ya siku 2. Nimekua nikitumia dawa za asili hasa hasa Aloe vela na inanisaidia kiukweli kutuliza maumivu na kuelekea kwenye kupona.

Nirudi kwenye ishu la ujauzito kuharibika, huyu wa mwisho mimba ya nne kwangu ambayo ya kwanza kwake iliharibika ilipokua na miezi 4. Tukakaa miezi 7 akabeba nyingine ilipofika miezi 8 ikaharibika (ilianza kumsumbua toka ina miezi 2). Tulijitahidi kwenda hospital tatizo halikuonekana kwenda kwa mtaalamu ikaonekana anachezewa. Mtaalamu akaifunga ila bahati mbaya ikaja kuharibika ilipofika miezi 8 (Kosa letu nadhani hatukurudi tena kucheck Kama bado wanamchezea hadi ikaharibika tuliona amepona kabisa tatizo).

Turudi nyuma kidogo, kipindi mtaalamu amemaliza kumtibu bibie wakati ujauzito una miezi 2 nilimuomba anicheck na baada ya kunicheck niligundulika pia nimefungwa na nina jini ambalo ndio linaloniharibia mimba zangu na kuniambia nisipojitibia sitokuja pata mtoto na wala sitofanikiwa kimaisha. Sijafanikiwa kujitibia mpaka sasa ILA NDIO NIPO KWENYE MCHAKATO baada ya kuona hii kitu ipo serious sasa maana nimeanza kuugua magonjwa ya kishenz sana ambayo kwa umri wng ni nadra kuugua mfano miguu kuwa na ganzi mwezi sasa.

OP nina maswali kidogo hili tupate kuoanisha kama ni kweli 100% tuna tatizo moja.

1. Hiko kinyama kinauma wakati wa kujisaidia haja kubwa mpaka kufikia mda mwingine kushindwa kutembea?

2. Mimba zinapoharibika au mtoto kufariki huwa mahusiano yenu yanayumba na kuambatana na mafarakano mpaka kufikia kuachana?

3. Hisia za kimapenzi/kufanya ngono zinakupungua?

4. Mambo yako ya kutafuta hela yanayumba?

Majibu ya maswali hayo yatakupa mwanga tatizo limeelemea upande gani.

NB: TATIZO LANGU NI LA KIIMANI ZAIDI SIO HOSPITAL.
1:mimi kinyama changu hakiumi mkuu kipo kawaida kama kinefifia

2:Mahusiano yangu hayayumbi wala hatugombani kama kuachana tunaachana kwa amani kabisa

3:Biashara zangu zinaenda fresh hazina misukosuko
 
[emoji23][emoji23]alikupa moyo tu[emoji23]. huwa wanakata ujue,labda alikuonea huruma,maana waliokatwa wanasema maumivu
duh hatari,lakini pia nasikia kuna dawa za kienyeji hua wanatumia unawekwa bomba nyuma then unaharisha damu mfululizo kinapasuka unakua fit kama umezaliwa upya ila umpate mtaalam mzuri.
 
Back
Top Bottom