Watoto wangu wote hufariki baada ya kuzaliwa au mimba kuharibika

Watoto wangu wote hufariki baada ya kuzaliwa au mimba kuharibika

Nimesoma maelezo yako lakini naona kama mimba zote zilikuwa na sababu ambazo hazihusiani na wewe kuharibika. Nadhani umepata tu bahati mbaya ya kukutana na wanawake ambao sababu za mimba zao kuharibika ziko wazi.
Wa kwanza umesema alitoa mwenyewe kwa sababu ya mimba kumsumbua. Sioni wewe ulihusika vipi na mimba yake kusumbua.
Wa pili aliharibikiwa mimba kwa sababu umeshasema alikuwa na tatizo hata kabla hamjakutana.
Wa tatu alijifungua mapacha wanne na wote wakafa. Hili nalo halina ajabu yoyote kwani mapacha wanne uwezekano wa kufariki ni mkubwa.
Wa nne naye alijifungua vizuri lakini akamsumbua sana kwa homa na akafariki. Hapa inawezekana alikutana na matatizo mengine tu na sababu siyo wewe.
Wa tano aliharibikiwa mimba ya mapacha. Hapa napo sioni kitu special sana kwani mimba ya mapacha kuharibika siyo ajabu sana.
Asante sana mkuu kwa ushauri wako na kuliona hili kwa jicho la kipekee,Mwakani nitaleta mrejesho ikimpendeza Mungu[emoji120]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]usiogope,wenzio wanaenda kuoga makaburini usiku was manane kutafuta Tiba[emoji23]
[emoji1][emoji1][emoji1] matatizo duniani hapa ni mengi sana aisee unaweza sema una tatizo ila ukikutana na mwenye tatizo zaidi yako unakaa kimya tu
 
[emoji1][emoji1][emoji1] matatizo duniani hapa ni mengi sana aisee unaweza sema una tatizo ila ukikutana na mwenye tatizo zaidi yako unakaa kimya tu
Yaani acha kabisa,kuna mambo ukiadithiwa unaona ni adifhi tu yaani,,kumbe ni kweli.
 
Kama watoto wanaozaliwa wanakua na homa za mara kwa mara na joto kali,kuna tatizo linataka kufanana na bawasiri ila sio bawasiri na sijui linaitwaje kitaalam ni kinyama sehemu ya haja kubwa mwanaume ukiwa na hilo tatizo ndio hutokea hayo matokea watoto wako kufariki wakiwa wachanga au mimba kuharibika halipo sana sababu nilipata maelezo kwa mzee fulani muda kidogo
[emoji478][emoji477][emoji477][emoji477][emoji477][emoji477]
 
Duuuh poleeeeh sanaaaa

Hili ni likango, inatakiwa uende kwa mtaalamu akakukate,
Kinakaa hapo ndani ya mlango wa haja kubwa, tafadhari sio bawaziri, ni kiuvimbe au kinundu ambacho unazaliwa nacho, hakiumi, wala huwezi kujua km kipo.

Fanya hima uwahi ukapate tiba kikikomaa hakitibiki, kuna lecturer yuko UDOM kapoteza watoto na wake zake wawili, kabaki na mtoto m1 tyuuh mkubwa sahivi, yeye naye halitibiki ko akioa au kutaka kuzaa watoto na mama wanakufa

Tafadhari sana fanya hima, vinginevyo utaishia kuona wenzio wakiitwa baba wee kwako n hollah, wahi kapate matibabu.
Nenda kwa wataalamu wa asili, duuuh poleeeh sanaaa.
 
Pole sana mkuu naomba uangalie vitu hivi vitatu vinaweza kua chanzo.
  1. Rhesus factors kati yako na mkeo
  2. Matambiko/maagano katika ukoo wenu.
  3. Kuna mtu anakuchezea
Suluhisho ni...
Nendeni hospital
Nendeni mkaweke sawa matambiko ya koo zenu
Nendeni kanisani mkavunje maagano hayo.

Pole sana mkuu
Naunga mkono hoja
 
sasa nitasitisha na wangapi mkuu
kwani wote unao date nao wanakusababishia mikosi?.

huna hata mmoja ambaye unahisi anaendana na wewe kimaagano/kiroho.

kama ni hivyo basi huna haja ya kujihususha na mahusiano. baki single mpaka kufa kwako.
 
Duuuh poleeeeh sanaaaa

Hili ni likango, inatakiwa uende kwa mtaalamu akakukate,
Kinakaa hapo ndani ya mlango wa haja kubwa, tafadhari sio bawaziri, ni kiuvimbe au kinundu ambacho unazaliwa nacho, hakiumi, wala huwezi kujua km kipo.

Fanya hima uwahi ukapate tiba kikikomaa hakitibiki, kuna lecturer yuko UDOM kapoteza watoto na wake zake wawili, kabaki na mtoto m1 tyuuh mkubwa sahivi, yeye naye halitibiki ko akioa au kutaka kuzaa watoto na mama wanakufa

Tafadhari sana fanya hima, vinginevyo utaishia kuona wenzio wakiitwa baba wee kwako n hollah, wahi kapate matibabu.
Nenda kwa wataalamu wa asili, duuuh poleeeh sanaaa.
Asante sana mkuu cocastic nimeanza kulifanyia kazi hata wife naye ana kinyama ila yeye hua kinauma anapoenda haja kubwa na tulishapoteza mtoto pamoja ila kwa sasa amepatiwa matibabu ya kiasili kwa maelezo yake kile kinyama kimeondoka baada ya kufanyiwa tiba na mtaalamu sasa imebaki mimi kwenda kuwekwa sawa ili mwakani tuje tutoe ushuhuda humu.[emoji1]

Japo mm kuna mzee mmoja mtaalamu aliwahi niangalia akasema kile kinyama ni kwaajili ya kulea lakini kuna kingine hua kwaajili ya kumaliza watoto sa sijui alinipa moyo tu.All in all nashukuru sana kwa ushauri wako hii ndio faida ya j.f [emoji120]
 
kwani wote unao date nao wanakusababishia mikosi?.

huna hata mmoja ambaye unahisi anaendana na wewe kimaagano/kiroho.

kama ni hivyo basi huna haja ya kujihususha na mahusiano. baki single mpaka kufa kwako.
[emoji1][emoji1] sasa mkuu si nitakua mwanachama wa CHAPUTA milele.
 
Wakuu poleni na majukumu ya kujenga nchi..

Nimekuja kwenu kama mwana Jamii Forums nikiwa na uzoefu wa takriban miaka 10 na huu mtandao wetu pendwa unatusaidia kwenye mambo mbalimbali kwenye maisha. Nipo mkoani Dodoma kwa sasa ambapo nafanya biashara zangu na kupata riziki.

Nikiwa kama kijana na approach 30's nimekumbwa na matukio mfululizo ya kufiwa ama kuondokewa na watoto wangu punde tu wanapozaliwa wengine kabla ya kuzaliwa au hata muda mrefu baada ya kuzaliwa

Miaka ya hivi karibuni nilipita kwenye mahusiano na wasichana kadhaa, kati ya hao watano niliwapa ujauzito na mchanganuo wake ulikuwa kama ifuatavyo..

Wa kwanza alitoa mimba ikiwa na miezi minne ilimsumbua sana nusu na yeye aondoke na hakunipa taarifa juu ya hilo hadi nilipobaini na nikamuacha papo hapo.

Wapili aliharibikiwa mimba ikiwa na mwezi mmoja(huyu alikuwa na matatizo ya tumbo kabla ya kukutana na mimi alikuwa hashiki ujauzito hivyo alikuwa anajaribu kama amepona bila mimi kujua badala yake mimba ikaharibika).

Watatu alijifungua mapacha wanne kwa vipindi viwili tofauti na wote walifariki ndani ya wiki moja baada ya kujifungua.Yeye ni mwenyeji wa Tanga na ana uzao mzuri wa watoto mapacha.

Wanne alijifungua mtoto wa kiume mwaka mmoja uliopita na amekaa naye huku akimsumbua sana kwa homa za hapa na pale na wiki moja iliyopita nilipewa taarifa kuwa amefariki baada ya kuugua mfululizo.

Watano alishika ujauzito wa mapacha uliodumu kwa miezi sita na mimba ikaharibika pasi na kutegemea. Alichanganyikiwa sana maana alikuwa na matarajio mengi juu ya hao watoto pindi watakapozaliwa..

Kiujumla nimepoteza watoto 9 ndani ya miaka mitatu kwa sababu mbalimbali, hii kitu imekuwa ikinitesa sana na nashindwa kuelewa tatizo hasa ni nini na nini suluhisho lake maana napoteza viumbe wasio na hatia inaniumiza sana[emoji22]

Naombeni ushauri wenu juu ya hili tatizo linalonikumba nifanyeje niweze kuepukana nalo na kama ni mpango wa Mungu kwanini kila siku mimi ukizingatia umri nao unakwenda wazazi wanataka wajukuu.

Naombeni msaada wenu wa mawazo na ushauri juu ya suala hili
Kacheck Rhesus factor, inachangia sana hali hiyo...
 
Wakuu poleni na majukumu ya kujenga nchi..

Nimekuja kwenu kama mwana Jamii Forums nikiwa na uzoefu wa takriban miaka 10 na huu mtandao wetu pendwa unatusaidia kwenye mambo mbalimbali kwenye maisha. Nipo mkoani Dodoma kwa sasa ambapo nafanya biashara zangu na kupata riziki.

Nikiwa kama kijana na approach 30's nimekumbwa na matukio mfululizo ya kufiwa ama kuondokewa na watoto wangu punde tu wanapozaliwa wengine kabla ya kuzaliwa au hata muda mrefu baada ya kuzaliwa

Miaka ya hivi karibuni nilipita kwenye mahusiano na wasichana kadhaa, kati ya hao watano niliwapa ujauzito na mchanganuo wake ulikuwa kama ifuatavyo..

Wa kwanza alitoa mimba ikiwa na miezi minne ilimsumbua sana nusu na yeye aondoke na hakunipa taarifa juu ya hilo hadi nilipobaini na nikamuacha papo hapo.

Wapili aliharibikiwa mimba ikiwa na mwezi mmoja(huyu alikuwa na matatizo ya tumbo kabla ya kukutana na mimi alikuwa hashiki ujauzito hivyo alikuwa anajaribu kama amepona bila mimi kujua badala yake mimba ikaharibika).

Watatu alijifungua mapacha wanne kwa vipindi viwili tofauti na wote walifariki ndani ya wiki moja baada ya kujifungua.Yeye ni mwenyeji wa Tanga na ana uzao mzuri wa watoto mapacha.

Wanne alijifungua mtoto wa kiume mwaka mmoja uliopita na amekaa naye huku akimsumbua sana kwa homa za hapa na pale na wiki moja iliyopita nilipewa taarifa kuwa amefariki baada ya kuugua mfululizo.

Watano alishika ujauzito wa mapacha uliodumu kwa miezi sita na mimba ikaharibika pasi na kutegemea. Alichanganyikiwa sana maana alikuwa na matarajio mengi juu ya hao watoto pindi watakapozaliwa..

Kiujumla nimepoteza watoto 9 ndani ya miaka mitatu kwa sababu mbalimbali, hii kitu imekuwa ikinitesa sana na nashindwa kuelewa tatizo hasa ni nini na nini suluhisho lake maana napoteza viumbe wasio na hatia inaniumiza sana[emoji22]

Naombeni ushauri wenu juu ya hili tatizo linalonikumba nifanyeje niweze kuepukana nalo na kama ni mpango wa Mungu kwanini kila siku mimi ukizingatia umri nao unakwenda wazazi wanataka wajukuu.

Naombeni msaada wenu wa mawazo na ushauri juu ya suala hili
Labda SICKLE CELL wewe au kwenye ukoo wako.
 
Duuuh poleeeeh sanaaaa

Hili ni likango, inatakiwa uende kwa mtaalamu akakukate,
Kinakaa hapo ndani ya mlango wa haja kubwa, tafadhari sio bawaziri, ni kiuvimbe au kinundu ambacho unazaliwa nacho, hakiumi, wala huwezi kujua km kipo.

Fanya hima uwahi ukapate tiba kikikomaa hakitibiki, kuna lecturer yuko UDOM kapoteza watoto na wake zake wawili, kabaki na mtoto m1 tyuuh mkubwa sahivi, yeye naye halitibiki ko akioa au kutaka kuzaa watoto na mama wanakufa

Tafadhari sana fanya hima, vinginevyo utaishia kuona wenzio wakiitwa baba wee kwako n hollah, wahi kapate matibabu.
Nenda kwa wataalamu wa asili, duuuh poleeeh sanaaa.
Anaogopa kukatwa[emoji23]
 
Sasa si u-oe we unawapa Mimba mademu bila kuwa-oq? Niushamba wanabidi wafe na wewe ufe
 
Back
Top Bottom