Watoto wetu wanaosoma English medium wanafanya vizuri kitaaluma, wanapata lishe bora na maisha bora na wanaandaliwa vizuri tofauti na wenzao

Yote hayo mchawi ni Hela Mkuu
 
Kuna jamaa ambae alikuwa kilaza wa kisawasawa, ila nilishangaa kusikia anafundisha hizi shule za medium. Labda ukilaza uliisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…