Watoto wote watatu wa Griezmann wanasherehekea siku yao ya kuzaliwa leo

Watoto wote watatu wa Griezmann wanasherehekea siku yao ya kuzaliwa leo

Teko Modise

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2017
Posts
2,331
Reaction score
7,733
Antoine Griezmann ana watoto watatu na wote wamezaliwa April 8 miaka tofauti, hivyo basi leo wanasherehekea siku yao ya kuzaliwa.

Wakwanza ni Mia Griezmann alizaliwa April 8 ya mwaka 2016. Wa pili ni Amaro Griezmann yeye ni wa April 8 ya mwaka 2019. Wa tatu ni Alba Griezmann yeye alizaliwa April 8 ya mwaka 2021.

Hivyo basi leo ni siku ya kuzaliwa kwa watoto watatu wa Griezmann, bahati iliyoje?
IMG_0658.jpeg
 
Antoine Griezmann ana watoto watatu na wote wamezaliwa April 8 miaka tofauti, hivyo basi leo wanasherehekea siku yao ya kuzaliwa.

Wakwanza ni Mia Griezmann alizaliwa April 8 ya mwaka 2016. Wa pili ni Amaro Griezmann yeye ni wa April 8 ya mwaka 2019. Wa tatu ni Alba Griezmann yeye alizaliwa April 8 ya mwaka 2021.

Hivyo basi leo ni siku ya kuzaliwa kwa watoto watatu wa Griezmann, bahati iliyoje?View attachment 2958165
 
Antoine Griezmann ana watoto watatu na wote wamezaliwa April 8 miaka tofauti, hivyo basi leo wanasherehekea siku yao ya kuzaliwa...
Duuuh huyo Jamaa ana bahati ya kipekee kiukweli, wengine tumebahatika kuzaliwa mwezi mmoja Familia ya Watu 6 ila tarehe ni tofauti tofauti.

Ubinadamu ni kazi/Humanity is a work.
 
Duuuh huyo Jamaa ana bahati ya kipekee kiukweli, wengine tumebahatika kuzaliwa mwezi mmoja Familia ya Watu 6 ila tarehe ni tofauti tofauti.

Ubinadamu ni kazi/Humanity is a work.
Sikiliza, ni rahisi sana kuprolong au kuwahisha siku ya uzazi ili kuangukia tarehe fulani. Na kama ni watotocwa test tube unalenga tarehe ya kupamdikiza, na kama ni naatural comception, unahesabu siku ya kurutubisja
 
Nashangaa wana wa israel wanakomaa et bahati, hata kwa kudinyana inawezekana sana tu.
Sure.
Mimi dada zangu wawili, wa kwanza na last born, wamezaliwa tarehe na mwezi mmoja, wanapishana miaka tu.
 
Back
Top Bottom