macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Kwa Tanzania, chukulia kila dereva hasa wa magari ya abiria kuwa ni mvuta bangi na hajui sheria. Hivyo ukiwa abiria inatakiwa muwe wakali kweli kweli mnapoona anafanya ujinga hasa wa mwendo mkali.Na hapo wengi watakuwa wanaume.
Wanaume tunaisha wajameni.
RIP kwako...
Dereva mzembe sana anauwa watu kindezi sana.