Torra Siabba
JF-Expert Member
- Jul 24, 2016
- 243
- 287
Vijijini wanajazwa wanakubali na kuufuata msemo wa Jaza UjazweHiace inabeba abiria wangapi kwani?
Hii ni uroho wa fedha kuhatarisha maisha ya watu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vijijini wanajazwa wanakubali na kuufuata msemo wa Jaza UjazweHiace inabeba abiria wangapi kwani?
Hii ni uroho wa fedha kuhatarisha maisha ya watu.
Nani mwerevu ambaye hata kufa?.Sababu za kufo ndio zakibinadamu ila kifo nijambo ambalo hakuna kiumbe mwenye uwezo wakulikimbia awe mjinga au mwerevu tajiri kwa maskini kifo kiko pale pale.Siku yako ikifika lazima kuwe na sababu yakukufanya uondoke ata kama nisababu ya kijinga.Waafrika wengi wanakufa kutokana na ujinga na upumbavu wao.
Life expectancy unaelewa ni nini?Nani mwerevu ambaye hata kufa?.Sababu za kufo ndio zakibinadamu ila kifo nijambo ambalo hakuna kiumbe mwenye uwezo wakulikimbia awe mjinga au mwerevu tajiri kwa maskini kifo kiko pale pale.Siku yako ikifika lazima kuwe na sababu yakukufanya uondoke ata kama nisababu ya kijinga.
Gari ya kubeba watu 16 inabeba watu 24 kama coaster huku police wakifumbia macho hiyo tabiaWatu 14 wamefariki dunia baada ya gari ya abiria dogo aina ya Toyota Hiace kuligonga lori kwa nyuma wilayani Nzega mkoani Tabora leo Alhamisi Novemba 7, 2024.
Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Tabora, Richard Abwao amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo.
================
Watu 14 wamefariki Dunia na wengine 9 kujeruhiwa katika ajali iliyohusisha gari ya abiria aina ya Toyota Hiace yenye namba T562 DGG ambalo imeligonga Mistubishi Fuso T361 CSB kwa nyuma Wilayani Nzega, leo Novemba 7, 2024.
Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Tabora, Richard Abwao amesema Dereva wa Toyota bado hajafahamika kwa kuwa alikimbia baada ya tukio hilo na chanzo cha ajali imebainika ni uzembe wa dereva wa Hiace alipokuwa akijaribu kulipita Lori na kuligonga kwa nyuma.
Waliofariki Wanaume ni 8, Wanawake 4 na Watoto wenye umri chini ya umri wa mwaka mmoja (wawili).