Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa nini ukubali kuendeshwa mwendo wa kasi na uridhike tu?Fafanua.
Maana humo ndani wengine hawana hatia.
Kifo kikikupigia ni ONE CALL 🤙
R.I.P JPM
Sahihi, Utamaduni wa Kiswahili wa kuishi kwa kutegemea "kudra" tu ni wa hovyo sana na unafifisha uwajibikaji.Kufa si kufa tu.
Life expectancy za nchi za wenzetu haziji kwa kauli za namna hii kwamba eti, kufa ni kufa tu.
Wenzetu wapo very strictly na very seriously kuhusu kulinda uhai wa Raia wao kwanzia kwenye usafiri na Afya.
Sheria ni kali kwenye sekta nzima ya usafiri na lazima zifuatwe.
Huku Afrika ni kuchekeana tu na kuhongana barabarani.
Halafu mijitu ikishakufa inaanza kusema ni mipango ya Mungu.
Na watazidi kufa sana.
Nimekuelewa mkuu Mimi huwa sinyamazi ikiwezekana nipewe/ rudishiwa nauli yangu nikapande gar lingineKwa nini ukubali kuendeshwa mwendo wa kasi na uridhike tu?
Kwa nini ukubali kuendeshwa na dereva mpumbavu asiyejali uhai wako na wakwake?
Halafu upo comfortable tu, useme kwamba huna hatia?
Utakufa vibaya wewe!!
Ndipo uelewe hata wewe una hatia.
Juzi juzi tu hapa, Kuna clip moja niliona na ilitrend sana kwenye social media,Sahihi, Utamaduni wa Kiswahili wa kuishi kwa kutegemea "kudra" tu ni wa hovyo sana na unafifisha uwajibikaji.
Duuh RIPView attachment 3146171
Watu 14 wamefariki dunia baada ya gari ya abiria dogo aina ya Toyota Hiace kuligonga lori kwa nyuma wilayani Nzega mkoani Tabora leo Alhamisi Novemba 7, 2024.
Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Tabora, Richard Abwao amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo.
================
Watu 14 wamefariki Dunia na wengine 9 kujeruhiwa katika ajali iliyohusisha gari ya abiria aina ya Toyota Hiace yenye namba T562 DGG ambalo imeligonga Mistubishi Fuso T361 CSB kwa nyuma Wilayani Nzega, leo Novemba 7, 2024.
Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Tabora, Richard Abwao amesema Dereva wa Toyota bado hajafahamika kwa kuwa alikimbia baada ya tukio hilo na chanzo cha ajali imebainika ni uzembe wa dereva wa Hiace alipokuwa akijaribu kulipita Lori na kuligonga kwa nyuma.
Waliofariki Wanaume ni 8, Wanawake 4 na Watoto wenye umri chini ya umri wa mwaka mmoja (wawili).
Wapumzike kwa aman 🙏🙏View attachment 3146171
Watu 14 wamefariki dunia baada ya gari ya abiria dogo aina ya Toyota Hiace kuligonga lori kwa nyuma wilayani Nzega mkoani Tabora leo Alhamisi Novemba 7, 2024.
Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Tabora, Richard Abwao amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo.
================
Watu 14 wamefariki Dunia na wengine 9 kujeruhiwa katika ajali iliyohusisha gari ya abiria aina ya Toyota Hiace yenye namba T562 DGG ambalo imeligonga Mistubishi Fuso T361 CSB kwa nyuma Wilayani Nzega, leo Novemba 7, 2024.
Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Tabora, Richard Abwao amesema Dereva wa Toyota bado hajafahamika kwa kuwa alikimbia baada ya tukio hilo na chanzo cha ajali imebainika ni uzembe wa dereva wa Hiace alipokuwa akijaribu kulipita Lori na kuligonga kwa nyuma.
Waliofariki Wanaume ni 8, Wanawake 4 na Watoto wenye umri chini ya umri wa mwaka mmoja (wawili).
Sio kweli, haiwezekani ajari zikaisha kabisaaaa, ukizingatia vyombo vinaendeshwa na binadamu.. Hata madereva wawe na PHD bado ajali zitakuwepo tu.
Mshana Jr pita hapa utoe nenoWatu wanafunga mwaka kwenye viringe vyao huko
Kuna bahati mbaya kweli,.....lakini UZEMBE , UJINGA NA UPUMBAVU ndo vimeshamiri,....Waafrika wengi wanakufa kutokana na ujinga na upumbavu wao.