Watu 14 wafariki dunia kwenye ajali ya Lori na Hiace mkoani Tabora

R.i.P Classmates.....πŸ˜₯
Wameondoka wakiwa ma umri mdogo sana aisee...
 
Fafanua.
Maana humo ndani wengine hawana hatia.
Kifo kikikupigia ni ONE CALL πŸ€™
R.I.P JPM
Kwa nini ukubali kuendeshwa mwendo wa kasi na uridhike tu?

Kwa nini ukubali kuendeshwa na dereva mpumbavu asiyejali uhai wako na wakwake?

Halafu upo comfortable tu, useme kwamba huna hatia?

Utakufa vibaya wewe!!

Ndipo uelewe hata wewe una hatia.
 
Sahihi, Utamaduni wa Kiswahili wa kuishi kwa kutegemea "kudra" tu ni wa hovyo sana na unafifisha uwajibikaji.
 
Kwa nini ukubali kuendeshwa mwendo wa kasi na uridhike tu?

Kwa nini ukubali kuendeshwa na dereva mpumbavu asiyejali uhai wako na wakwake?

Halafu upo comfortable tu, useme kwamba huna hatia?

Utakufa vibaya wewe!!

Ndipo uelewe hata wewe una hatia.
Nimekuelewa mkuu Mimi huwa sinyamazi ikiwezekana nipewe/ rudishiwa nauli yangu nikapande gar lingine
 
Sahihi, Utamaduni wa Kiswahili wa kuishi kwa kutegemea "kudra" tu ni wa hovyo sana na unafifisha uwajibikaji.
Juzi juzi tu hapa, Kuna clip moja niliona na ilitrend sana kwenye social media,

Kuna Boti moja huko DRC Congo ilikuwa imebeba watu wengi sana, Yaani nyomi, Halafu hawaku vaa hata life jackets.

Boti ikaanza kuzama, wakawa wanasali na kupayuka, Oh Yesuuu! Yesuuuu eeeeeh! Tuokoe.

Walizama na kuishia wote kwenye maji wakafa.

Waafrika wengi wanakufa kwa ujinga na uzembe wao.
 
Watu wanafunga mwaka kwenye viringe vyao huko
 
Poleni sana wafiwa, marehemu wapumzike kwa Amani πŸ™
 
Hiace inabeba abiria wangapi kwani?

Hii ni uroho wa fedha kuhatarisha maisha ya watu.
 
Duuh RIP
 
Wapumzike kwa aman πŸ™πŸ™
 
Mbona kila ajali yenye vifo dereva huwa anakimbia? Kwani madereva wao huwa hawafi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…