Watu 2 wahukumiwa kwa hatia ya kusambaza Huduma ya Internet bila kibali na kuisababishia hasara TCRA

Watu 2 wahukumiwa kwa hatia ya kusambaza Huduma ya Internet bila kibali na kuisababishia hasara TCRA

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imemuhukumu Mhandisi Baraka Mtunga (43) na Rajabu Katunda (42) kulipa faina ya Sh. Milioni 1.5 kwa kila mmoja baada ya kupatikana na hatia ya kusambaza Huduma ya Internet bila kibali na kuisababishia hasara Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) zaidi ya Sh. Milioni 200.

Pia washtakiwa hao, wametakiwa kulipa fidia ya Sh.Mil 267.656.794.30 baada ya kuingia makubaliano na Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka nchini (DPP) kutokana na kukiri kwao makosa hayo.

Washitakiwa hao wamefanikiwa kulipa kiasi cha Sh.Milioni 200 kati ya fedha hizo.

Hukumu hiyo, imetolewa ba Hakimu Mkazi Mkuu, Kassian Matembele baada ya kupokea makubaliano baina ya washtakiwa na DPP na kukiri makosa mawili ya kutumia mitandao kilaghai na kuisababishia hasara TCRA.

Hakimu Matembele alisema Mahakama imezingatia hoja za pande zote mbili, ambapo upande wa mashtaka uliomba adhabu kali itolewe na upande wa utetezi waliomba kupunguziwa adhabu kwa sababu washtakiwa wameonesha busara ya kukiri makosa yao.

Huduma ya internet hipo sana kwenye usambazaji
TCRA kuna free frequency ambayo yapo kimataifa IEEE
Kwenye hizo redio hapo chini
IMG_2231.jpg


Sasa kama unaenda kwa ISP (internet service provider) mfano cat net,simba net,raha dot com,ttcl na n.k wao wana kuuzia speed na inakuwa unlimiteda bando.kununua speed yani ukinunua mfano speed ya 100 mbps kimatumizi binafsi kwa mwezi itakupidi ulipe milioni 2 kwa mwezi na sio share speed hii inakuwa ni ya kwako sio gombania ubwabwa mfano speed ya 100mpbs mpewe watu 200 hapo mpaka mwengine hapunguze matumizi ndio na wewe upate au wapungue watu kwa matumizi.

Ukinunua unaona kitaa watu wanakosa huduma na wewe una sambaza mfano
IMG_2230.jpg

Kule kwenye kampuni wanajua unatumia wewe tu kumbe na wewe unauza
Mfano umenunua speed ya 100 mbps kwa 2 milioni kila mwezi

Imekuja kwako una wateja 100 na kila mmoja una mtoza laki na nusu .
Kumbuka hizi device zinaweza kufanya kuwa base na receiver
 
Huduma ya internet hipo sana kwenye usambazaji
TCRA kuna free frequency ambayo yapo kimataifa IEEE
Kwenye hizo redio hapo chiniView attachment 1634390

Sasa kama unaenda kwa ISP (internet service provider) mfano cat net,simba net,raha dot com,ttcl na n.k wao wana kuuzia speed na inakuwa unlimiteda bando.kununua speed yani ukinunua mfano speed ya 100 mbps kimatumizi binafsi kwa mwezi itakupidi ulipe milioni 2 kwa mwezi na sio share speed hii inakuwa ni ya kwako sio gombania ubwabwa mfano speed ya 100mpbs mpewe watu 200 hapo mpaka mwengine hapunguze matumizi ndio na wewe upate au wapungue watu kwa matumizi.

Ukinunua unaona kitaa watu wanakosa huduma na wewe una sambaza mfanoView attachment 1634391
Kule kwenye kampuni wanajua unatumia wewe tu kumbe na wewe unauza
Mfano umenunua speed ya 100 mbps kwa 2 milioni kila mwezi

Imekuja kwako una wateja 100 na kila mmoja una mtoza laki na nusu .
Kumbuka hizi device zinaweza kufanya kuwa base na receiver
Sasa wawe wanaelewesha kuliko kuacha watu na maswali kibao watu wanakuwa wanadhani watu wanaonewa kumbe ni wahalifu
 
How did it happen? Ina maana wana mitambo ya kutengeneza internet kama wapika gongo wanavyotengeneza Konyagi bandia?
Halafu Raha.Com walienda wapi?

No
Kuna watu wana vibali kuwa ISP kusambaza huduma ila mfano wewe unaweza kumudu garama mfano kwa maitaji yako binafsi kumbe na wewe unaenda kuwauzia na bila kuwa na vibari
 
Hii taarifa haijakamilika.kajipange uje na taarifa kamili....
 
Unanunua internet Voda au Tigo kisha unanunua vifaa vya kurusha wifi kwa watu ndio usambaziji wenyewe.
Mmmh mkuu ya kwel hayo, kwa mfano mm Nina ofisi yangu nikanunua vifurushi vyangu kutoka makampuni husika kisha , nikaweka access point (WI-FI) ikasambaa eneo lote na watu kuaccess kutoka kwangu ndio inakua hivyo au kua utofauti ?

Au hao jamaa walikua wananunua vifurushi kutoka makamuni husika na wakawa wanauza vifurushi kwa watu wengine bila kibali kutoka tcra ?
 
Mmmh mkuu ya kwel hayo, kwa mfano mm Nina ofisi yangu nikanunua vifurushi vyangu kutoka makampuni husika kisha , nikaweka access point (WI-FI) ikasambaa eneo lote na watu kuaccess kutoka kwangu ndio inakua hivyo au kua utofauti ?

Au hao jamaa walikua wananunua vifurushi kutoka makamuni husika na wakawa wanauza vifurushi kwa watu wengine bila kibali kutoka tcra ?

Hapana una nunua direct ISP kisha una sambaza kutumia hivi vifaa
IMG_2231.jpg
 
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imemuhukumu Mhandisi Baraka Mtunga (43) na Rajabu Katunda (42) kulipa faina ya Sh. Milioni 1.5 kwa kila mmoja baada ya kupatikana na hatia ya kusambaza Huduma ya Internet bila kibali na kuisababishia hasara Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) zaidi ya Sh. Milioni 200.

Pia washtakiwa hao, wametakiwa kulipa fidia ya Sh.Mil 267.656.794.30 baada ya kuingia makubaliano na Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka nchini (DPP) kutokana na kukiri kwao makosa hayo.

Washitakiwa hao wamefanikiwa kulipa kiasi cha Sh.Milioni 200 kati ya fedha hizo.

Hukumu hiyo, imetolewa ba Hakimu Mkazi Mkuu, Kassian Matembele baada ya kupokea makubaliano baina ya washtakiwa na DPP na kukiri makosa mawili ya kutumia mitandao kilaghai na kuisababishia hasara TCRA.

Hakimu Matembele alisema Mahakama imezingatia hoja za pande zote mbili, ambapo upande wa mashtaka uliomba adhabu kali itolewe na upande wa utetezi waliomba kupunguziwa adhabu kwa sababu washtakiwa wameonesha busara ya kukiri makosa yao.
Sh.Mil 267.656.794.30 baada ya kuingia makubaliano na Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka nchini (DPP) kutokana na kukiri kwao makosa hayo.
Miss Zomboko hapo kwenye tarakimu za kuhusu milioni ulizoweka kwa mafungu sijakuelewa ,mwalimu aliye kufundisha bila shaka ni wa kuchunguzwa ,hatuweki nukta kwenye tarakimu la sivyo iwe kwenye senti unatakiwa uandike hivi TZS 267,656,794.30
 
Back
Top Bottom