Sijui hata vijiwe vya kahawa vilipoUna takwimu mkuu.acha kukaa vijiwe vya kahawa
Una takwimu mkuu.acha kukaa vijiwe vya kahawa
AiseeMadereva wengi sshvi ni vichaaa
Ova
Duh..
Tulipumzika kidogo .
Hivi kwanini mwisho wa mwaka ndo haya mambo yanaanza?
Sahihi. Barabarani ziwe panaNouma Sana, kuna wale wa kukaa siti ya mbele, barabara finyu , njia zitanuliwe tuu hamna namna
Alfa ya Mwanza-Dar imepata ajali kwa kugongana uso kwa uso na Lori la Mafuta la kampuni ya GPB Nje kidogo ya Mji wa Nzega..,
Hali ya Abiria
Mpk sasa sina idadi kamili ya vifo Ila sio chini ya watu 7View attachment 2788149
Kama una ndugu yako leo alikuwa anasafiri na Alfa kutokea Mwanza Piga simu Kumjulia Hali maana Hali ni mbaya..
Taarifa Kamili itatolewa na Mamlaka Husika...
Dah poleni Sana wafiwaAlfa ya Mwanza-Dar imepata ajali kwa kugongana uso kwa uso na Lori la Mafuta la kampuni ya GPB Nje kidogo ya Mji wa Nzega..,
Hali ya Abiria
Mpk sasa sina idadi kamili ya vifo Ila sio chini ya watu 7View attachment 2788149
Kama una ndugu yako leo alikuwa anasafiri na Alfa kutokea Mwanza Piga simu Kumjulia Hali maana Hali ni mbaya..
Taarifa Kamili itatolewa na Mamlaka Husika...