KIFOROKOKWINYO
Senior Member
- Sep 16, 2017
- 177
- 108
LATRA mnaonekana hamko kazin kabisa inawezekana hao abiria wasijulikane wakati Basi likoanzia Safari conda huwa anatakiwa orodha ya majina abiria anaosafirisha( man fast ya abiria wanasafiri kwa siku husika iweje wasijulikane? INA maana utaratibu haupo tena.
Tuliowapa majukumu haya kazi imewashinda mtoke ofisi mmeshindwa kuteleza majukum yenu mnayoyasimamia ni kitu kushangaza abiria wasitambulike wakati walikata ticket.
Tuliowapa majukumu haya kazi imewashinda mtoke ofisi mmeshindwa kuteleza majukum yenu mnayoyasimamia ni kitu kushangaza abiria wasitambulike wakati walikata ticket.