Watu 23 wa Israel wameuawa kufuatiwa kupigwa risasi na raia wawili wa Palestina

Joined
Jan 6, 2022
Posts
56
Reaction score
336
Raia wawili wenye silaha wanaodaiwa kuwa wametoka Palestina wamewapiga Risasi watu 23 raia wa Israel apo Jana usiku kati kati ya mji mkuu wa Israel Tel Aviv.

Vyombo vya habari vya Israel vimethibitisha.

Wakati huo huo Iran imerusha makombora aina ya ballastic yapatayo 300 leo usiku kama kujibu kisasi cha kuuawa kwa Kamanda Mkuu wa Hezbollah Hassan Nasralaah hapo juzi.

Jijini Tel Aviv ving'ora vimesikika huku taaruki ikiwa imetanda. Iran pia imetishia kujibu kwa vikali iwapo Israel itajibu mashambulizi yake ya leo ya makombora ya ballastic.
 


Sio Raia acha kuwaremba, hao ni MAGAIDI waliofikia kituo cha Treni na kuanza kufyatua risasi kwa mtu yeyote waliyemuona


Your browser is not able to display this video.




Vyoombo vya usalama vimewadhibiti

Your browser is not able to display this video.
 
Aisee hii sasa hatari na ndo maana hawa jamaa wanawapa shida sana IDF maana ni ngumu kuwatambua.

Yaani ukiwaona wameshajilatia tamaa kabisa yaani la kuna na likawe.

Anadhani waliaattack muda walipokuwa wametoa taarifa ya watu waende kujifungia
 
Kwa hakika yamerushwa makombora mangapi itakuwa ngumu kujulikana maana kila mtu anakuja na Idadi yake
 
Freedom fighters anauwa raia hovyo mtaani? Na ndiyo walivyokuwa wanafanya kina Che, Nyerere, na Mandela.
Umkoto wesizwe ya kina Zuma ilianzishwa kuua wanajeshi na Kaburu ndio maana makao yao makuu waliyaweka Msumbiji hapo mkuu na ilikua chini ya ANC.
 
Aisee hii sasa hatari na ndo maana hawa jamaa wanawapa shida sana IDF maana ni ngumu kuwatambua.

Yaani ukiwaona wameshajilatia tamaa kabisa yaani la kuna na likawe.

Anadhani waliaattack muda walipokuwa wametoa taarifa ya watu waende kujifungia
Hata kama ingekua ni wewe Israel Kila siku anawaua wapalestina Tena raia tu hasa watoto na wanawake moyo unakufa ganzi huwezi kuona thamani ya kuishi Tena .hao vijana Wana uchungu wa kuuliwa ndugu zao wanajua wanaenda kufa lakini wapi tayari na wao kuondoka na wayahudi roho zao .
 
Freedom fighters anauwa raia hovyo mtaani? Na ndiyo walivyokuwa wanafanya kina Che, Nyerere, na Mandela.
Sasa mzee si kulipia kisasi ni haki.....sasa kama yeye kauliwa famialia yke yote watoto na wazee...

Vita ni vita...
 
Hakuna vita ngumu kama hii....ya kujitoa muhanga wa mabomu na bunduki.

Yaan upigana na maiti...
 
Hiyo 23 umeitoa wapi?
 

Attachments

  • Screenshot_20241002-060312.jpg
    280.6 KB · Views: 3
✅✔️
 
Freedom fighters anauwa raia hovyo mtaani? Na ndiyo walivyokuwa wanafanya kina Che, Nyerere, na Mandela.

Kwani kule Gaza mbona jeshi la Israeli linaua watu hovyo mitaani, Hawa wapalestina wameshafikishwa kwenye kona na hii chuki itadhidi kuwa mbaya sana.

Tunapoamua kusimamia haki tuangalie pande zote na sio kusimamia upande mmoja.

Ukumbuke Palestina hawana jeshi.
 
Hao ni magaidi wa palestina ndio wameua raia netanyahu akiua ooh anapiga raia hahaha subirini mziki wa nyau🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Aisee kila kukicha kila mtu anakuja na idadi yake sijui ni kwa sababu ya ushabiki au ni kitu gani,vyombo vya habari vimeripoti idadi ya watu waliouawa kwa kupigwa risasi hata 10 hawafiki,idadi ya makombora hata 200 hajafika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…