Watu 4 wanaotuhumiwa ‘kutumwa na afande’ kumlawiti na kumbaka binti mkazi wa Yombo Dovya Mkoani Dar, Wafikishwa Mahakamani

Siku nyingine uwe unasoma Uzi mpaka mwisho au ujifunze kuuliza usikimbilie ku comment tu ona sasa unavyojitia aibu.
 
Wakatoliki hutumia neno hilo wakimaanisha MTAKATIFU. Hivyo mwalifu anaweza kujificha kwa kujiita mtakatifu kumbe ni firauni. Ingekuwa inamaana yoyote ya jeshi lolote wangetaja na cheo chao
Samahani mkuu hii comment umeandika ukiwa bar Gani? Kama ya mataputapu ondoka upesi maana unapoelekea utaanza kusaula viwalo vyote uwape watu faida
 

Basi nenda ukawe wakili wao. Naona utashinda kesi hii kirahisi sana learned brother
 
Mkuu Mtaalamu aliyebobea kisimi katika fani ya electronics. Una maana gani?
 

1. MT. 140105 Clinton Honest Damas maarufu Nyundo - JWTZ
2.C.1693 Praygod Edwin Mushi - Jeshi la Magereza
3. Amin Lord Lema - Anon
4.Nickson Idala Jackson - Anon
5.ASP - Afande
 
Aisee! Wote ni wagalatia/makafiri?
 
1. MT. 140105 Clinton Honest Damas maarufu Nyundo - JWTZ
2.C.1693 Praygod Edwin Mushi - Jeshi la Magereza
3. Amin Lord Lema - Anon
4.Nickson Idala Jackson - Anon
5.ASP - Afande
Daah jamaa anaitwa Praygod wakati mwingine kumpa mtoto jina zuri hakusadiki matendo yake kabisa Bora hata angemwita Mende tu.
 
Hii ndo maana halisi ya nguvu ya umma. Kesi tayari imekula kichwa ya RPC. Wahusika lazima wapigwe mvua ili jeshi la polisi lijisafishe.
 
Wahusika wa hili sakata hata kama wakichomoka na hukumu watakuwa wamenyooka na kuwa na staha katika maisha yao.
Dunia imewafunza vya kutosha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…