CARDLESS
JF-Expert Member
- Apr 2, 2017
- 7,840
- 15,918
Yule alikuwa MWEHUIla Magu kwanini alikua haajiri watu Jamani?!dahh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yule alikuwa MWEHUIla Magu kwanini alikua haajiri watu Jamani?!dahh
Mi nna hasira za miaka SITA bila cheoYule alikuwa MWEHU
Pole mkuu.Mi nna hasira za miaka SITA bila cheo
Ahsante [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Pole mkuu.
HALAFU HAZINA MKATABA NSSF WALA KINGA YOYOTE, SIKU BOSI AKICHAFUKWA TU UNARUDI NYUMBANI NA HAKUNA MAFAO NA NDIO MAANA WATU WENGI WANAKIMBILIA KUOMBA AJIRA ZA SEREKALI KILA ZINAPOTANGAZWA.Hizi ajira za kuingia asubui kutoka 12 kwa mshahara wa 250K wengi ndio wanazo hizo[emoji34][emoji34]
Ndio, na ndio maana wanatafuta zenye maslahi zaidiHizi ajira za kuingia asubui kutoka 12 kwa mshahara wa 250K wengi ndio wanazo hizo😠😠
kweli tumepita pagumu, huyu naye alikuwa PM! wapigwe tu!
Ahahahkuna jamaa yangu ameitwa kwenye kada ya udereva…nikamwambia ya Mungu mengi ila usichome nauli..
Inafanyika wapi? si amekuwa shortlisted?kuna jamaa yangu ameitwa kwenye kada ya udereva…nikamwambia ya Mungu mengi ila usichome nauli..