Watu 80 wauawa Pakistan katika mapigano kati ya Sunni na Shia

So mnafanya mambo tuliyokuwa tunafanya miaka 1000 nyuma? Ina maana nyie mko nyuma kwa miaka 1000?
 
Hivi bado ukinya unajipangusa makaratasi? Hivi Huo uwezo wa kununuwa toilet papper unao? Wewe Itakuwa unatembea na vinyesi.

Aha ha haaa
Unanilinganisha na nyie makobaz.
😛
 
Wacha kunukisha watu kinyesi , kijana

Sasa uarabuni na mashariki ya kati kwa ujumla, ambako hata maji ya kunywa ni shida, si allahu atawakataa kwa sababu ya kukosa maji. Maana wataendaje kuswali bila kutawadha. Au wanatawadhia mchanga
 
Ni kweli ukristo una amani na ndiyo ukaruhusu ndoa Za jinsia moja makanisani
mbona sasa mashoga wengi ni waisilamu, kuanzia zanzibar huko na kwingine kote wengi mashoga wengi wanatoka kwenu
 
Embu wahi kule peponi kumiliki madanguro ya mabikira 72.
Sivyo hivyo. Iko hivi. "Hakika, tumewafanya wake wa Peponi kuwa viumbe vipya, na tukawafanya kuwa virgo, wenye kutaka sana, sawa kwa umri."
(Surah Al-Waqi'ah, 56:35-37)

WASIKUWA WAISLAM WATAKUWA HIVI

"Na wale waliokufuru na wakafanya maovu, watahukumiwa katika moto wa Jahannam, wakienda humo, hawatapata faraja, wala usalama."
(Surah Al-Mulk, 67:8)
 
Ukishasikia vikundi vya wanamgambo na polisi jua hayo ni mapigano ya kisiasa na sio dini

Dini imeingizwa hapo Ili kuchafua uislam
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…