MANAKE MKARI
JF-Expert Member
- Jan 25, 2011
- 299
- 240
Kuna ndege ya kwenda Mbeya saa 12 asubuhi.Kwa nini wasitumie huu usafiri?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wachange wanunue Helikopta!Ifikie mahala jamaa wangebadili mfumo tu kusafirisha gazeti kwenye hiace sio safe kabisa. Bora hata wangenunua wagons za kijerumani au gari za chini ambazo ziko stable zaidi with powerful engines!
This is a point[emoji115]Ifikie mahala jamaa wangebadili mfumo tu kusafirisha gazeti kwenye hiace sio safe kabisa. Bora hata wangenunua wagons za kijerumani au gari za chini ambazo ziko stable zaidi with powerful engines!
Kama saa 10 alfajiri alikuwa Mahenge Mbeya angefika saa 9 alasiri! Magazeti angemuuzia nani! Ni wazi aliamua kunyoosha mguu mpaka kwenye redieta.Watu tisa wamefariki dunia na wengine watatu kujeruhiwa katika ajali ya gari aina ya hiace lenye namba za usajili T 249 BWT inayotumika kubeba magazeti iliyokuwa ikitokea jijini Dar es Salaam kuelekea Jijini Mbeya.
Akithibitisha kutokea kwa ajali hiyo Kamanda wa polisi mkoa wa Iringa ACP. Allan Bukumbi amesema ajali hiyo imetokea katika kijiji cha cha Mahenge Wilayani Kilolo Mkoani Iringa majira ya saa 10 alfajiri.
Kamanda Bukumbi amesema chanzo cha ajali hiyo ni mwendo kasi ambapo gari hilo lilimshinda dereva kwenye kona na kupinduka.
Weee acha hizo! Naona unakwenda kinyumenyume, gari za magazeti hutoka Dar kwenda Mbeya.Miaka ya nyuma nimepanda gari ya gazeti toka mbeya tupo kitonga dereva ananiambia nimpigishe stori usingizi usimpitie......wapumzike salama walotangulia
Aaaaaah kwan zikienda mbeya hazirudi dar?Weee acha hizo! Naona unakwenda kinyumenyume, gari za magazeti hutoka Dar kwenda Mbeya.
Kutoka Dar hadi hapo Mahenge ni 413Km kama hilo gari lilitoka saa 6 usiku jamaa ametumia roughly masaa 4, na kutoka hapo Mahenge hadi Mbeya ni 403 Km saa mbili asubuhi jamaa alikua anafika Mbeya.. ila alikua spidi kali sanaKama saa 10 alfajiri alikuwa Mahenge Mbeya angefika saa 9 alasiri! Magazeti angemuuzia nani! Ni wazi aliamua kunyoosha mguu mpaka kwenye redieta.
Gharama za usafiri biashara haitalipaKuna ndege ya kwenda Mbeya saa 12 asubuhi.Kwa nini wasitumie huu usafiri?
Unaposikia gari inapeleka magazeti mbeya ina vituo vingu sana. Chalinze, moro, mikumi, mahenge, ilula, ir nk mpaka mby.Kuna ndege ya kwenda Mbeya saa 12 asubuhi.Kwa nini wasitumie huu usafiri?
Sio kweli bhana New Force hana gari ya usiku,zaidi zaidi kuna coaster za hakuna kulala tuBado kuna watu wanapanda hizo chinja chinja wakati siku hizi kuna new force ya usiku
Iringa wanapita kuanzia saa 11 mpaka saa1 asubuhi. Mbeya saa around saa 3 hv.Kama saa 10 alfajiri alikuwa Mahenge Mbeya angefika saa 9 alasiri! Magazeti angemuuzia nani! Ni wazi aliamua kunyoosha mguu mpaka kwenye redieta.
[emoji23][emoji23][emoji23]Hiace ina mzigo wa magazeti wakutosha na bado imebeba watu 12. Na bado inaendeshwa mwendo wa kuwahi kuzimu.
Mambo mengine tunajitakiaga wenyewe.
Ila inabidi gazeti liuzwe 10000/- badala ya 1000/-Wachange wanunue Helikopta!
IlikuwepoSio kweli bhana New Force hana gari ya usiku,zaidi zaidi kuna coaster za hakuna kulala tu
Halafu huwa hazirudi zinakaa huko huko mbeyaWeee acha hizo! Naona unakwenda kinyumenyume, gari za magazeti hutoka Dar kwenda Mbeya.