pye Chang shen
JF-Expert Member
- Jul 11, 2016
- 11,422
- 6,108
S
Hivi sgr haifiki mbeyaMkuu waambie njia mpya wapate kujua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi sgr haifiki mbeyaMkuu waambie njia mpya wapate kujua
Gari limepata ajali Iringa iweje uandike Mbeya ili ionekane mbeya ajali nyingi zinatokea hukoWatu tisa wamefariki dunia na wengine watatu kujeruhiwa katika ajali ya gari aina ya hiace lenye namba za usajili T 249 BWT inayotumika kubeba magazeti iliyokuwa ikitokea jijini Dar es Salaam kuelekea Jijini Mbeya.
Akithibitisha kutokea kwa ajali hiyo Kamanda wa polisi mkoa wa Iringa ACP. Allan Bukumbi amesema ajali hiyo imetokea katika kijiji cha cha Mahenge Wilayani Kilolo Mkoani Iringa majira ya saa 10 alfajiri.
Kamanda Bukumbi amesema chanzo cha ajali hiyo ni mwendo kasi ambapo gari hilo lilimshinda dereva kwenye kona na kupinduka.
Sasa hv kuna rungwe na majinjahSio kweli bhana New Force hana gari ya usiku,zaidi zaidi kuna coaster za hakuna kulala tu
Zipo majinjah na rungwe zinapaki uyole pale kwenda Dar na zinarud cku ya piliIlikuwepo
Majinjah
New Force
Rungwe
Ila zilisitishwa na kwa sasa hakuna kama usemavyo
Ubahili na kutaka faida kubwa ndio kinasababisha hayo yote, usikute gari yenyewe ilikuwa mkangafuIfikie mahala jamaa wangebadili mfumo tu kusafirisha gazeti kwenye hiace sio safe kabisa. Bora hata wangenunua wagons za kijerumani au gari za chini ambazo ziko stable zaidi with powerful engines!
Gazeti likishakamilika linatakiwa kutumwa kwenye printing machine.......
ambapo kimsingi kila mkoa zinapaswa kuwepo
haya mambo ya kusafirisha magazeti yamepitwa na wakati kwa kweli
Gazeti likishakamilika linatakiwa kutumwa kwenye printing machine.......
ambapo kimsingi kila mkoa zinapaswa kuwepo
haya mambo ya kusafirisha magazeti yamepitwa na wakati kwa kweli
Lazima zirudi siku hiyohiyo, kuna magazeri yaliyobaki baada ya kuuzwa lazima yarudishwe darHalafu huwa hazirudi zinakaa huko huko mbeya
Kweli jamaa mwongo sana eti mbeya to dar kapanda gari ya magazeti.
Niliwahi kupanda landcruser moja hivi korogwe to moshi eeeh Mungu baba,njia nzima nasari sala ya toba weeeeNilishaapa sitakaa nipande magari ya magazeti
Unasema?!Ifikie mahala jamaa wangebadili mfumo tu kusafirisha gazeti kwenye hiace sio safe kabisa. Bora hata wangenunua wagons za kijerumani au gari za chini ambazo ziko stable zaidi with powerful engines!
Ajali imetokea mahenge iringa na sio mbeyaPoleni sana Mbeya na viunga vyake. Mungu awafute machozi na kuwaponya majeruhi
Hata mimi hii hunipa kuzunguzungu sana. Gazeti huwa tayari saa 5 usiku lakini Mbeya hadi saa 12-1 asubuhi tayari watu wanasoma gazeti. Huo mwendo ndiyo Mungu nisaidieKwa hyo Leo huko mbeya watu hawajasoma magazeti. Magazeti yanatengenezwa saa ngapi,yanapakiwa saa ngapi, yanatoka dar saa ngapi, na yanafika mbeya saa ngapi?
Nilishaapa sitakaa nipande magari ya magazeti
Hata mimi hii hunipa kuzunguzungu sana. Gazeti huwa tayari saa 5 usiku lakini Mbeya hadi saa 12-1 asubuhi tayari watu wanasoma gazeti. Huo mwendo ndiyo Mungu nisaidie
Zamaniii nilikua napanda gari za magazeti ya mwananchi,aiseee jamaa wanakimbiaaaaaa hakuna mfano, dar mnaondoka saa 4 au 5 usiku mbeya mnafika saa 12.30 asubuhi,saa 5 wanageuza saa 3 wapo dar saa 5 wanageuza mbeya tenaIfikie mahala jamaa wangebadili mfumo tu kusafirisha gazeti kwenye hiace sio safe kabisa. Bora hata wangenunua wagons za kijerumani au gari za chini ambazo ziko stable zaidi with powerful engines!
Mi namba za madereva nilizonazo nmecheki online wote last seen ni mchana wa leo so wote wapo haiThat could have been me in that car. Nimezipanda sana hizi gari. Sana. Nimeshakaa kwenye buti la hizi hiace mara mbili kutoka Mbeya kurudi Dar. Nina namba za simu za madereva 6 tofauti wa hizi Gari. Naogopa hata kuwauliza, si ajabu mmoja wao alikuwa humo.
Mungu ni mwema kwakweli, maana tunapotoka ni mbali.