Kitimoto
JF-Expert Member
- Aug 25, 2012
- 6,941
- 7,808
Siyo magazeti tu, pamoja na yale ya ITNilishaapa sitakaa nipande magari ya magazeti
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siyo magazeti tu, pamoja na yale ya ITNilishaapa sitakaa nipande magari ya magazeti
Italy siku jamaa wamenichukua Airport Fiumicino twende Rome tunaenda dereva analala njiani tunamzindua.Miaka ya nyuma nimepanda gari ya gazeti toka mbeya tupo kitonga dereva ananiambia nimpigishe stori usingizi usimpitie......wapumzike salama walotangulia
New force ya usiku kutoka wapi kwenda wapi?Bado kuna watu wanapanda hizo chinja chinja wakati siku hizi kuna new force ya usiku
Exactly. Wamiliki ni wabahili tu!Gazeti likishakamilika linatakiwa kutumwa kwenye printing machine.......
ambapo kimsingi kila mkoa zinapaswa kuwepo
haya mambo ya kusafirisha magazeti yamepitwa na wakati kwa kweli
Mimi nilipandaga moja ilikuwa inaelekea mbeyaKuna siku nimepata dharula inabidi niende Mbeya. Nimefika Kibo mida ya saaa 3 usiku nakutana na Noah ya magazeti. Dereva anavuta bangi na ana konyagi mkononi. Nikagoma kupanda, kifo hakizuiliki lakini kuchagua kifo siko tayari.
Zilikuwa lini hizo gari za usiku route ya Mbeya Mkuu?Ilikuwepo
Majinjah
New Force
Rungwe
Ila zilisitishwa na kwa sasa hakuna kama usemavyo
Kwa speed gani?Daresalamaa mpaka mbeya ni takribani masaa 13.View attachment 2042968
Mkuu unatafuta kesi na manazi wa kijapan ,wakina mr Toyota watakuuliza TOYOTA HANA MAGARI yenye stability kuliko mjerumani[emoji848] ngoja waje sasa na land cruiser mkongaIfikie mahala jamaa wangebadili mfumo tu kusafirisha gazeti kwenye hiace sio safe kabisa. Bora hata wangenunua wagons za kijerumani au gari za chini ambazo ziko stable zaidi with powerful engines!
Nimeshawahi kupanda na rafiki yangu tunatoka dar tunaenda Domu haki nilijutaHiace ina mzigo wa magazeti wakutosha na bado imebeba watu 12. Na bado inaendeshwa mwendo wa kuwahi kuzimu.
Mambo mengine tunajitakiaga wenyewe.
Hayo magari haunipandishi hata kwa bakoraZamaniii nilikua napanda gari za magazeti ya mwananchi,aiseee jamaa wanakimbiaaaaaa hakuna mfano, dar mnaondoka saa 4 au 5 usiku mbeya mnafika saa 12.30 asubuhi,saa 5 wanageuza saa 3 wapo dar saa 5 wanageuza mbeya tena
Ipo mkuu..inatoka shekilango sati na nusu jion tunduma wanafika saa kumi alfajiri..mimi nimepanda wiki iliyopita.tena usiku kuna abiria wengi sanaSio kweli bhana New Force hana gari ya usiku,zaidi zaidi kuna coaster za hakuna kulala tu
80 kphKwa speed gani?
Hio distance hapana yani saa 4 usiku ufike mbeya saa 12.30am? Hio gari inatembea speed gani ?Zamaniii nilikua napanda gari za magazeti ya mwananchi,aiseee jamaa wanakimbiaaaaaa hakuna mfano, dar mnaondoka saa 4 au 5 usiku mbeya mnafika saa 12.30 asubuhi,saa 5 wanageuza saa 3 wapo dar saa 5 wanageuza mbeya tena
Sasa wanalala saa ngpZamaniii nilikua napanda gari za magazeti ya mwananchi,aiseee jamaa wanakimbiaaaaaa hakuna mfano, dar mnaondoka saa 4 au 5 usiku mbeya mnafika saa 12.30 asubuhi,saa 5 wanageuza saa 3 wapo dar saa 5 wanageuza mbeya tena
Yaani hata MTU wa anayekwenda Arusha mmempita.nyie mmeshafika mbeya.[emoji16][emoji16][emoji16]Hizi gari mwendo wake ni hatari. Nimeshapanda mara kadhaa kutoka dar kwenda mbeya. Mara ya mwisho nimepanda mwezi wa 9 tulitoka kibo saa 5 na nusu usiku saa 1 tupo uyole.