Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Hio siamini mkuu mbeya mbali bana we! Labda kama wanalazaga mshale 180kph safari nzimaHizi gari mwendo wake ni hatari. Nimeshapanda mara kadhaa kutoka dar kwenda mbeya. Mara ya mwisho nimepanda mwezi wa 9 tulitoka kibo saa 5 na nusu usiku saa 1 tupo uyole.