Mzeee hujakutana na wehu wa magazeti bado,zamaniii nilikua napenda sana racing kuna mtu tuliwekeana dau kutoka ubungo mataa kabla ya hilo daraja to mwenge 25 seconds nikabisha haiwezekani aisee nikaambiwa ingia kwenye gari saa 5 usiku racing ikaanza hatari na nusu jamaa nililia kwa kihoro cha kufa kabisaaa na alitumia 23 seconds.
Hela yangu alikula na akaenda chini ya muda alioahidi sitak hata kusikia kujaribu tenaaa baada ya washikaj zangu kadhaa kufariki kwa maajali haswa alteza ziliwamaliza sanaaa